Friday , 29 September 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Raia Ethiopia kumrejesha Abiy uwaziri mkuu?
Kimataifa

Raia Ethiopia kumrejesha Abiy uwaziri mkuu?

ABIY Ahmed, Waziri Mkuu wa Ethiopia
Spread the love

 

ABIY Ahmed, Waziri Mkuu wa Ethiopia anayetetea nafasi hiyo, ambapo wananchi wa taifa hilo, wanapiga kura kuchagua waziri mkuu mpya leo tarehe 21 Juni 2021. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Abiy ameongoza taifa hilo katika miaka mitatu iliyopita ambapo amepata  sifa kemkem kutokana na utlizu wake na umakini katika kuunganisha Waethiopia, anapwa nafasi kubwa ya kutwaa madaraka hayo kwa mara ya pili.

Ethiopita imeinga kwenye uchagauzi huo wakati huu ambapo bado kuna mapigano na sintofahamu katika Jimbo la Tigrey. Abiy anapambana na wagombea wenzake wawili.

Taarifa zaidi zinambeba Abiy kwamba, kwa kiwango kikubwa alifanikiwa kupunguza hali ya wasiwasi Ethiopia, lakini pia kuuunganisha watu waliokuwa wakiasimiana kwa muda mrefu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Wadukuzi wa Kichana waiba barua pepe 60,000 za Serikali ya Marekani

Spread the loveWADUKUZI wa kichana wamedukua barua pepe 60000 serikali ya Marekani...

Kimataifa

Mahakama yamkuta na hatia Donald Trump

Spread the love  ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, amekutwa na hatia...

Kimataifa

Harusi yageuka msiba 100 wakifariki kwa ajali ya moto

Spread the love  WATU takribani 100, akiwemo bibi na bwana harusi, wamefariki...

Kimataifa

Kampuni ya mali ya China Oceanwide yapata agizo la kufilisiwa huko Bermuda

Spread the love  MAHAKAMA ya Bermuda imetoa amri ya kufilisiwa kwa Kamapuni...

error: Content is protected !!