Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Raia Ethiopia kumrejesha Abiy uwaziri mkuu?
Kimataifa

Raia Ethiopia kumrejesha Abiy uwaziri mkuu?

ABIY Ahmed, Waziri Mkuu wa Ethiopia
Spread the love

 

ABIY Ahmed, Waziri Mkuu wa Ethiopia anayetetea nafasi hiyo, ambapo wananchi wa taifa hilo, wanapiga kura kuchagua waziri mkuu mpya leo tarehe 21 Juni 2021. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Abiy ameongoza taifa hilo katika miaka mitatu iliyopita ambapo amepata  sifa kemkem kutokana na utlizu wake na umakini katika kuunganisha Waethiopia, anapwa nafasi kubwa ya kutwaa madaraka hayo kwa mara ya pili.

Ethiopita imeinga kwenye uchagauzi huo wakati huu ambapo bado kuna mapigano na sintofahamu katika Jimbo la Tigrey. Abiy anapambana na wagombea wenzake wawili.

Taarifa zaidi zinambeba Abiy kwamba, kwa kiwango kikubwa alifanikiwa kupunguza hali ya wasiwasi Ethiopia, lakini pia kuuunganisha watu waliokuwa wakiasimiana kwa muda mrefu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!