Tuesday , 21 May 2024

Month: June 2021

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aagiza mabaraza ya biashara yafufuliwe

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaagiza wakuu wa mikoa na wilaya, kufufua mabaraza ya biashara katika maeneo yao. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

Siku 100 Madarakani: Rais Samia hajagusa ‘mtima’

  KATIBA na baadhi ya sheria kandamizi, zimetajwa kukwamisha kiu ya haki katika uongozi wa Rais wa Awamu ya Sita, Samia Suluhu Hassan. Anaripoti...

Habari za Siasa

CUF kumkabidhi Rais Samia ilani zake

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimesema kitamkabidhi ilani za chama hicho kuanzia Uchaguzi Mkuu wa 1995 hadi 2020 pindi ombo lao la kukutana...

Habari za SiasaTangulizi

Siku 100 za Rais Samia: Fatma Karume “katika hili, ametuangusha”

  FATMA Karume, wakili na aliyekuwa Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), amesema siku 100 za uongozi wa Rais Samia Suluhu...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Tunafufua mradi Bandari Bagamoyo

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema, serikali imeanza mazungumzo ya kufufua mradi wa Bandari ya Bagamoyo pamoja na ule wa Mchuchuma na Liganga. Anaripti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Siku 100 za uhuru mahakamani

  TAREHE 27 Juni 2021, Rais Samia Suluhu Hassan atatimiza miaka 100 akiwa madarakani. Aliapishwa 19 Machi 2021, baada ya mtangulizi wake Rais...

Michezo

Yanga yatangulia fainali, yazisubiri Simba au Azam

  GOLI pekee ya mshambuliaji wa kimataifa kutoka Ghana wa Yanga ya Dar es Salaam, Yacouba Sogne, limeipeleka fainali ya michuano ya Azam...

Michezo

Kelvin John atua Genk

  MSHAMBULIAJI kinda wa Timu ya Taifa ya Tanzania, (Taifa Stars) Kelvin John amesajiliwa kwa mkataba wa miaka mitatu na klabu ya KRC...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sheikh Farid: Nilitishwa

  SHEIKH Farid Had, mmoja wa viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislam visiwani Zanzibar (JUMIK) alipokuwa gerezani Zanzibar, ameeleza alitolewa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa tahadhari wimbi la tatu la Covid-19

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kuchukua tahadhari dhidi ya mlipuko wa tatu wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu wambebesha mizigo Rais Samia

  BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limemuomba Rais wa Awamu ya Sita, Samia Suluhu Hassan, apitie upya sera ya ushirikiano baina ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yafuta hukumu ya Mbowe, kurejeshewa mamilioni

  HUKUMU ya kesi ya Jinai Na. 112/2018 iliyotolewa na Mahakama ya Hakim Mkazi Kisutu, Dar es Salaam iliyomuhusu Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa...

Afya

Corona-19: WHO, Tanzania kukaameza moja

  TANZANIA na Shirika la Afya Duniani (WHO), wanatarajia kukaa meza moja ili kuangalia namna ya kukabiliana na maambukizi ya Virusi vya Corona...

Habari za Siasa

Adhabu ya mkwepa kodi yaanikwa

  MFANYABIASHARA ama mtoa huduma ambaye atabainika kuwepa kulipa kodi, akikamatwa atalazimika kulipa asilimia 100 ya kodi aliyotakiwa kulipa kama adhabu. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Corona: Maambukizi mapya yashtua Uganda

  JUMLA ya watu 126 nchini Uganda wameripotiwa kufariki dunia ndani ya siku nne zilizopita kutokana na virusi vya corona (COVID-19). Inaripoti mitandao...

Habari za SiasaTangulizi

THRDC na siku 100 za Rais Samia

SIKU 100 za Rais Samia Suluhu Hassan, zimerudisha matumaini kwa Watanzania pamoja na kutibu waliokuwa na majeraha, hasa waliokutana na changamoto ya kesi...

Habari za Siasa

Mchakato uvunjaji Jiji la Dar wahojiwa bungeni

  SERIKALI imeombwa kupitia upya mchakato wa ugawaji mali za iliyokuwa Jiji la Dar es Salaam, baada ya kuvunjwa na aliyekuwa Rais wa...

Habari Mchanganyiko

Muarobaini wizi wa dawa za Serikali waja

SERIKALI iko katika hatua za mwisho za maandalizi ya mfumo wa kielektroniki,  wa kufuatilia usambazaji wa dawa katika hospitali, vituo vya afya na...

Habari za SiasaTangulizi

Wakazi ataka mchakato Katiba Mpya uendelee

  MSANII wa HipHop nchini Tanzania, Webiro Wakazi Wassira maarufu ‘Wakazi,’ amesema ni muhimu kuhuisha mchakato wa Katiba Mpya. Anaripoti Matilda Peter…(endelea). Amesema, anatamani...

Michezo

Nusu Fainali FA Cup, Yanga, Biashara United watambiana

  Kuelekea mchezo wa kesho wa nusu fainali ya michuano ya kombe la FA (Azam Federation Cup) kati ya Yanga dhidi ya Biashara...

Michezo

TFF yamtoa kifungoni Mwakalebela

  Kamati ya maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imemuondoa kifungoni Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Fedrick Mwakalebela, mara...

Habari za Siasa

Mbunge CCM: Serikali imeingizwa mkenge

  JERRY Slaa, Mbunge wa Ukonga, jijini Dar es Salaam (CCM), amesema serikali imeingizwa mkenge katika pendekezo lake la kufuta adhabu ya asilimia...

Habari Mchanganyiko

RC Makalla ataka barakoa kuvaliwa Dar

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla, amewataka wananchi mkoani humo kuchukua tahadhari ya maambukuzi ya corona (COVID-19), kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu atua Kenya kuzindua kitabu chake

  TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrais na Maendeleo (Chadema), yupo nchini Kenya kwa maandalizi ya uzinduzi wa kitabu chake. Anaripoti...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi awapa ujumbe baraza la wawakilishi

  RAIS wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi, amewataka wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kutanguliza uzalendo wa kweli, ili kuisaidia Serikali na wananchi wa...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yateua mrithi wa Khatib

  MOHAMMED Said Issa, ameteuliwa na Chama cha ACT-Wazalendo, kugombea Jimbo la Konde, visiwani Zanzibar, katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika tarehe 18 Julai...

MichezoTangulizi

Dk. Mwinyi amteuwa kiongozi Yanga

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ally Mwinyi amemteuwa Arafat Ally Haji ambaye ni mjumbe wa kamati...

Makala & Uchambuzi

Tunajadili bila hatua, tunaangamia

MOJA ya nchi yenye mfumo bora katika elimu ni Indonesia. Kila mwaka hutenga zaidi ya asilimia 21 katika elimu peke yake. Anaandika Yusuph...

Kimataifa

SADC kupeleka jeshi Msumbiji

  NCHI Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (​SADC), zimekubaliana kupeleka wanajeshi kukabiliana na ugaidi katika Jimbo la Cabo Delgado, Msumbiji. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea)....

Michezo

Ni Uingereza dhidi ya Ujeruman robo fainali Euro

  MARA baada ya kukamilika hatua ya makundi ya michuano ya Euro 2020, hatimaye michezo ya 16 bora itaanza kupigwa siku ya Jumamosi,...

Afya

EWURA yapeleka ‘zawadi’ vituo vya afya

KATIKA kuadhimisha kilele cha wiki ya utumishi wa Umma, Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetoa msaada wa shuka 431 katika vituo...

Habari Mchanganyiko

Waziri Majaliwa mgeni rasmi kilele cha dawa za kulevya

  KASIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimishi ya kilele cha dawa za kulevya duniani tarehe 26 Juni...

Habari za SiasaTangulizi

Bajeti yamuibua Rungwe, amshangaa Spika Ndugai

  MWENYEKITI wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe, amestaajabishwa na hatua ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kushangilia Bajeti Kuu...

Habari za SiasaTangulizi

Rungwe apeleka sera ya ‘ubwabwa’ Ikulu

  HASHIMU Rungwe, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania, kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) mwaka 2020, ameshauri Rais Samia Suluhu Hassan aifanyie...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ashiriki mkutano wa SADC Msumbiji

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameshiriki mkutano wa dharura wa wakuu wa nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa...

Habari za Siasa

Bunge lambana Dk. Mwigulu ‘msala’ wa ATCL

  DAKTARI Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, ameshindwa kutoa malelezo kuhusu namna ya kulitoa Shirika la Ndege la Tanzania...

Kimataifa

Corona: Bunge la Uganda kufungwa

  KUANZIA Jumatatu, tarehe 28 Juni hadi 11 Julai 2021, Bunge la Uganda litasitisha shughuli yake kutokana na hofu ya kuenea kwa virusi...

Habari za Siasa

Bawacha bado si shwari, waliovuliwa uongozi, warejeshwa

  KATIBU Mkuu wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Catherine Ruge, amevunja uongozi wa baraza hilo, kwenye majimbo...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia kushiriki mkutano SADC Msumbiji

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, yupo Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa dharura wa Wakuu wa Nchi na...

Habari za SiasaTangulizi

Vigogo matatani tuhuma dawa za kulevya

  MAOFISA wandamizi katika jeshi la polisi na taasisi nyingine za umma nchini Tanzania, wanatuhumiwa kusaidia mtandao wa wafanyabiashara wa dawa za kulevya...

Kimataifa

Ratiba mazishi ya Kaunda, kuzikwa Julai 7

  TARATIBU za mazishi ya Rais mstaafu wa kwanza wa Zambia, Dk. Kenneth David Kaunda zimeanza rasmi leo Jumatano, tarehe 23 Julai 2021...

Afya

Serikali: Z’bar hakuna corona

  SERIKALI ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK), imeeleza, hakuna mgonjwa yeyote wa corona visiwani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Kauli...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua Ma- DC 2

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya (DC) wawili. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Uteuzi huo, umetangazwa jana Jumanne,...

Habari za Siasa

CCM yaanza safari kulisaka jimbo la Konde

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimemteua Sheha Mpemba Faki, kuwa mgombea wake katika uchaguzi mdogo wa Konde, visiwani Zanzibar, unaotarajiwa kufanyika tarehe 18...

Tangulizi

Samatta, Edo kumwembe, Mobetto watoa neno, mara baada ya kuteuliwa kuwa mabalozi

MARA baada ya kuteuliwa kuwa mabalozi wa kuamasisha ulipaji kodi na Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba, mwanandika Mbwana Samatta, mchambuzi...

AfyaTangulizi

COVID-19: Muhimbili yaweka sharti uvaaji barakoa

  HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH)- Upanga na Mlonganzila, Mkoa wa Dar es Salaam, imeweka sharti kwa wananchi, wafanyakazi na wanafunzi wanaokuwa...

Habari za SiasaTangulizi

UVCCM yaanza kusukwa upya

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza kusuka upya uongozi wa umoja wake wa vijana (UVCCM). Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Michezo

Simba, Mbeya City ni kufa au kupona

Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambao utakaopigwa hii leo kati ya Simba dhidi ya Mbeya City, utakuwa na umuhimu kwa kila timu,...

Habari za Siasa

RC Mtaka awafunda Ma-DC ‘epukeni balehe ya madaraka’

  MKUU wa Mkoa wa Dodoma (RC), Antony Mtaka amewataka wakuu wa wilaya (DC), kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na kuachana na...

Habari Mchanganyiko

Spika Ndugai aota uchaguzi 2025

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amesema, mwenendo wa utendaji wa Serikali ya Awamu ya Sita, katika kutenga fedha za miradi ya maendeleo,...

error: Content is protected !!