Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Rais Samia kushiriki mkutano SADC Msumbiji
Habari Mchanganyiko

Rais Samia kushiriki mkutano SADC Msumbiji

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, yupo Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Mkutano huo, utafanyika leo Jumatano tarehe 23 Juni, 2021.

Mkutano huo unafanyika mjini Maputo Msumbiji ambapo Rais Filipe Nyusi ndio Mwenyekiti wa sasa wa SADC.

Rais Samia aliondoa katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma kwenda Msumbiji jana jioni, tarehe 22 Juni 2021.

Uwanjani hapo, Rais Samia aliagana na viongozi mbalimbali akiwemo, Dk. Philip Mpango, Makamu wa Rais wa Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Watendaji Kata, Mitaa watakaoshindwa kusimamia usafi kukiona

Spread the love  WATENDAJI wa kata, mitaa na vitongoji na maofisa afya...

Habari Mchanganyiko

Mtia nia urais TLS kukata rufaa kupinga kuenguliwa

Spread the love  MTIA nia ya kugombea Urais wa Chama cha Mawakili...

Habari Mchanganyiko

NBC yazindua kampeni ya mkeka wa ushindi na ATM zake

Spread the loveBENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza uzinduzi wa kampeni...

Habari Mchanganyiko

Uholanzi wampongeza Rais Samia kuimarisha vyombo vya habari, demokrasia

Spread the love  UBALOZI wa Uholanzi nchini Tanzania, umempongeza Rais Samia Suluhu...

error: Content is protected !!