Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Samia kushiriki mkutano SADC Msumbiji
Habari Mchanganyiko

Rais Samia kushiriki mkutano SADC Msumbiji

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, yupo Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Mkutano huo, utafanyika leo Jumatano tarehe 23 Juni, 2021.

Mkutano huo unafanyika mjini Maputo Msumbiji ambapo Rais Filipe Nyusi ndio Mwenyekiti wa sasa wa SADC.

Rais Samia aliondoa katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma kwenda Msumbiji jana jioni, tarehe 22 Juni 2021.

Uwanjani hapo, Rais Samia aliagana na viongozi mbalimbali akiwemo, Dk. Philip Mpango, Makamu wa Rais wa Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!