Thursday , 30 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa THRDC na siku 100 za Rais Samia
Habari za SiasaTangulizi

THRDC na siku 100 za Rais Samia

Spread the love

SIKU 100 za Rais Samia Suluhu Hassan, zimerudisha matumaini kwa Watanzania pamoja na kutibu waliokuwa na majeraha, hasa waliokutana na changamoto ya kesi za kubambikizwa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea).

Hiyo ni kauli ya Onesmo Ole Ngurumwa, Mratibu Mkazi wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) alipozungumza na Mwanahalisi TV kuhusu siku 100 za uongozi wa rais huyo.

Jumapili tarehe 27 Juni 2021, Rais Samia anafikisha siku 100 za kuiongoza Tanzania, ni baada ya kuingia madarakani tarehe 19 Machi 2021, kufuatia kifo cha mtangulizi wake Hayati John Magufuli.

Fuatana na mahojiano haya kwa kubonyeza link haypo chini…

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

TEMESA iliyokarabati Kivuko kwa Bil 7.5 yapata hati chafu

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yakusanya Mil 8.5/- kodi ya zuio na kutokomea nazo

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

DC Kasilda Mgeni ahamasisha chakula shuleni

Spread the love  MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni...

Habari za Siasa

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka 2 ya SSH

Spread the love  ZAIDI ya Sh. bilioni 223.9 zimepelekwa Wilaya ya Tunduru...

error: Content is protected !!