Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Bawacha bado si shwari, waliovuliwa uongozi, warejeshwa
Habari za Siasa

Bawacha bado si shwari, waliovuliwa uongozi, warejeshwa

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema
Spread the love

 

KATIBU Mkuu wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Catherine Ruge, amevunja uongozi wa baraza hilo, kwenye majimbo ya Ilemela na Nyamaga, mkoani Mwanza. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa za uhakika ambazo tumezipata zinasema, Ruge amechukua hatua hiyo, kama sehemu ya kulipiza kisasi, kufuatia baadhi ya viongozi hao, kutomuunga wakati wa uchaguzi wa kujaza nafasi ya katibu mkuu wa baraza hilo.

Katika uchaguzi huo, Ruge alikabiliana na upinzani mkali kutoka kwa wagombea wawili wa chama hicho, Ester Dafi na Asia Msangi. Tangu kumalizika uchaguzi huo, Ruge amekuwa akiwasaka wote waliokuwa wanampinga na kumtuhumu kutumia rushwa kusaka ushindi.

Kwa mujibu wa barua yake ya tarehe 4 Juni mwaka huu, Ruge anadai kuwa viongozi hao walifanya vurugu katika mkutano maalum wa baraza hilo, uliofanyika katika tarehe 3 Juni 2021, katika

Undani wa habari hii, kujua viongozi waliovuliwa na hatua ambazo, kaimu mwenyekiti wa Bawacha, Sharifa Suleman alivyoupinga uamuzi huo, soma gazeti la Raia Mwema, toleo la leo Jumatano, tarehe 23 Juni 2021.

1 Comment

  • Jaman…I was there wanamsingizia Ruge,biongozi haswa wa nyamagana the ladies I saw there wanadharau sana n walimwonyesha Ruge dharau ya wazi hasa pale wanawake wa BAWACHA waliposema wazi kua uongozi n mmbovu nawanajidai miungu watu badala yakudili nawalishtaki they start to fight Ruge….
    The ladies were toooo STUPID AND HAWAJIHESHIM THAT WHY WALIMTUKANA RUGE MATUSI TENA YANGUON…
    NTASIMAMA KUMTETEA RUGE COZ I WAS THERE N NDO FIRST TIME NAMWONA RUGE NAHAO DADAZ LIVE

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!