WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa amewataka mawaziri walioapishwa leo jijini Dodoma kwenda kuwatumikia wananchi kwa kuwa ndilo jukumu kuu la serikali. Anaripoti Noela...
By Masalu ErastoSeptember 13, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaagiza wakuu wa mikoa na wilaya nchini, wawapange wafanyabiashara ndogo ndogo ‘wamachinga’, katika maeneo rasmi. Anaripoti...
By Masalu ErastoSeptember 13, 2021NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamadi Masauni imetoa wito kwa wafanyabiashara wa maduka ya kubadilisha fedha nchini ‘Bureau de change’...
By Masalu ErastoSeptember 10, 2021WAFANYABIASHARA wadogo maarufu kama ‘wamachinga’ wameiomba Serikali kupitia upya uamuzi wake wa kutaka kuwaondoa katika maeneo ya pembezoni mwa barabara katika soko...
By Masalu ErastoSeptember 10, 2021SERIKALI kwa kumtumia Wakala wa majengo (TBA) imeanza upembuzi yakinifu wa majengo yatakayofanyiwa ukarabati pamoja na yale yatakayobomolewa na kujengwa upya, Anaripoti...
By Masalu ErastoSeptember 10, 2021SERIKLI imesema hadi kufikia tarehe 1 Septemba, 2021 jumla ya watumishi wa umma 174,222 wamepandishwa vyeo na kubadilishiwa mishahara yao. Pia imesema...
By Masalu ErastoSeptember 10, 2021SERIKALI imepanga wa kuongeza upanuzi wa shule 100 ili ziwe na uwezo wa kupokea wanafunzi wa kidato cha tano na sita. Anaripoti...
By Masalu ErastoSeptember 10, 2021SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetoa orodha ya makocha ambao hawaruhusiwi kukaa kwenye benchi la ufundi katika mechi za mashindano...
By Masalu ErastoSeptember 10, 2021RAIS wa zamani wa Marekani, Donald Trump ameahidi kumpiga Joe Biden ambaye ni Rais wa sasa, kama itatokea likaandaliwa pambano litakalowakutanisha ulingoni...
By Masalu ErastoSeptember 10, 2021SERIKALI ya Tanzania imeahidi kuboresha vigezo vilivyowekwa na wizara ya fedha kwenye uchambuzi wa miradi ya kimkakati. Anaripoti Patricia Kighono, TUDARCo…(endelea). Ahadi hiyo...
By Masalu ErastoSeptember 9, 2021SERIKALI ya Tanzania inampango wa kujenga shule 26 za wasichana na shule 1,000 za sekondari kwenye kata zisizo na shule hizo. Anaripoti...
By Masalu ErastoSeptember 9, 2021ALIYEKUWA Mkuu waWilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita, wamesomewa upya mashtaka matano katika Kesi ya Uhujumu Uchumi...
By Masalu ErastoSeptember 9, 2021WATU wawili wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha basi la mwendokasi na pikipiki ‘bodaboda’, kwenye barabara ya mwendokasi, maeneo ya Lumumba jijini Dar...
By Masalu ErastoSeptember 9, 2021SHINDANO la Bongo Star Search (BSS) msimu wa 12 umezinduliwa huku jaji maarufu Salama Jabir akirejea ulingoni. Anaripoti Matilda Buguye (endelea). Salama...
By Masalu ErastoSeptember 9, 2021KLABU ya soka ya Biashara United ya mkoani Mara inatarajia kuondoka leo 9 septemba 2021majira ya saa 10:00 jioni chini kuelekea nchini...
By Masalu ErastoSeptember 9, 2021WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki nchini Tanzania, imeshauri mamlaka kutembelea nchi za kimkakati kwa kuzingatia maslahi ya nchi...
By Masalu ErastoSeptember 8, 2021MBUNGE wa Viti Maalumu (CCM), Juliana Shonza ameitaka Serikali ieleze ni lini jingo la Hospitali ya Tunduma, Mkoa wa Songwe litafunguliwa. Anaripoti...
By Masalu ErastoSeptember 8, 2021SHIRIKA la Kuhudumia Viwanda Vidogo (Sido), Mkoa wa Kigoma limetengeneza sampuli ya vifungashio vya mafuta ya Mawese vitakavyotumiwa na wakulima wa mafuta...
By Masalu ErastoSeptember 8, 2021MJADALA wa mtoto wa kike kuolewa chini ya umri wa miaka 18 haujapoa. Ndivyo unaweza kusema baada ya suala hilo kuulizwa bungeni...
By Masalu ErastoSeptember 8, 2021SIKU chache baada ya kuung’oa madarakani uongozi wa Afghanistan, wanamgambo wa kundi la Taliban wametangaza serikali mpya ya mpito nchini humo. Anaripoti...
By Masalu ErastoSeptember 8, 2021RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameendelea kufanya mabadiliko kwenye serikali kwa kuteua na kutengua...
By Masalu ErastoSeptember 8, 2021MSANII wa muziki wa bongo fleva nchini Tanzania, Zuhura Othman maarufu Zuchu ameonesha jumba la kifahari analoishi kwa sasa. Anaripoti Matilda Buguye,...
By Masalu ErastoSeptember 7, 2021MABINGWA wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara 2020/21, Simba ya jijini Dar es Salaam, imetangaza kuahirisha shughuli ya uzinduzi rasmi wa jezi...
By Masalu ErastoSeptember 4, 2021MSANII wa muziki wa bongo fleva Nandela Charles Mfinanga maarufu Nandy leo Jumamosi tarehe 4 Septemba 2021 anahitimisha kilele cha tamasha lake ‘Nandy...
By Masalu ErastoSeptember 4, 2021WIZARA ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari nchini Tanzania, imewataka vijana kutumia teknolojia ya habari na mawasiliano kwa maslahi mapana ya nchi...
By Masalu ErastoSeptember 4, 2021MABINGWA wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara 2020/21, Simba ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imemtoa kwa mkopo wa mwaka mmoja...
By Masalu ErastoSeptember 4, 2021SERIKALI imesema itatekeleza ahadi zote zilizotolewa na Rais wa awamu ya tano hayati Dk. John Magufuli ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya barabara...
By Masalu ErastoSeptember 3, 2021MBUNGE wa Mtama, Nape Nnauye (CCM) ameitaka Serikali kutoa mikopo kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita kama ilivyo kwa wanafunzi...
By Masalu ErastoSeptember 3, 2021KLABU ya soka ya Simba imetangaza kuwa leo tarehe 3 Septemba 2021 jezi zake zitakazotumika katika msimu ujao wa mwaka 2021/2022 zitaanza...
By Masalu ErastoSeptember 3, 2021MKURUGENZI wa lebo ya Konde Gang, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ hivi karibuni aliweka ratiba ya shoo zake nyingi za nchini Marekani, Bara la...
By Masalu ErastoSeptember 3, 2021SARE ya bao 1-1, ilitosha kuifanya timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kuondoka na pointi moja kwenye mchezo wa kusaka tiketi...
By Masalu ErastoSeptember 2, 2021MBUNGE wa Muhambwe mkoani Kigoma (CCM), Dk. Florence Samizi, ameihoji Serikali lini itatekeleza ahadi ya ujenzi wa Kituo cha Afya, cha Kata...
By Masalu ErastoSeptember 2, 2021WABUNGE wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamehoji mikakati ya Serikali kutokomeza changamoto ya ucheleweshaji wa mafao ya wastaafu...
By Masalu ErastoSeptember 2, 2021SERIKALI ya Tanzania imesema, mradi wa ujenzi wa Mto Msimbazi jijini Dar es Salaam unatarajia kuanza Julai 2022. Anaripoti Helena Mkonyi, (TUDARCo)...
By Masalu ErastoSeptember 2, 2021SERIKALI ya Tanzania, imeweka mkakati mpya kwa wanafunzi waliokatisha masomo kwa kupata ujauzito kuwawezesha kuwaendelea kimasomo. Anaripoti Mwanaharusi Abdallah, TUDARCo … (endelea)....
By Masalu ErastoSeptember 2, 2021JESHI la Polisi nchini Tanzania limesema, Hamza Mohamed aliyewaua askari polisi watatu na mlinzi mmoja wa kampuni ya SGA kisha kuuawa, alikuwa...
By Masalu ErastoSeptember 2, 2021MSHINDI wa mashindano ya Miss East Africa 2021, anatarajia kujinyakulia gari jipya aina ya Nissan x Trail, toleo la mwaka 2021 lenye...
By Masalu ErastoSeptember 2, 2021RAPA kutoka Marekani, Dominique Jones ‘Lil Baby’ amejitolea kumsaidia Msanii Pierre Delince (Jack Boy) katika ujenzi wa hospitali huko nchini Haiti. Anaripoti...
By Masalu ErastoSeptember 2, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, tozo zitakazotozwa katika miamala ya simu Septemba na Oktoba 2021, zitakwenda kujenga vyumba vya madarasa...
By Masalu ErastoSeptember 2, 2021BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa muda wa wiki mbili kwa wanafunzi ambao hawajakamilisha maombi ya mkopo...
By Masalu ErastoSeptember 1, 2021KAMATI ya maandalizi ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) imesema jumla ya waandishi 59 wameteuliwa kuwania tuzo hizo...
By Masalu ErastoSeptember 1, 2021MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amerejea tena katika Ligi kuu ya Ubelgiji baada ya jana tarehe 31 Agosti, 2021 kusajiliwa...
By Masalu ErastoSeptember 1, 2021SERIKALI ya Tanzania, imefanya marekebisho ya tozo za miamala ya simu, kwa kupunguza viwango vyake kwa asilimia 30. Anaripoti Mwanaharusi Abdallah, TUDARCo...
By Masalu ErastoAugust 31, 2021WATAFITI na wanataaluma wa vinasaba nchini wamesema kuna uhitaji mkubwa ufanyikaji wa utafiti za vinasaba vya binadamu ili kubaini vyanzo mbalimbali vya...
By Masalu ErastoAugust 31, 2021WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima (Kawe) na Jerry Silaa (Ukonga), wamepewa adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili mfululizo ya...
By Masalu ErastoAugust 31, 2021WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Agosti 30, 2021 amefungua majengo ya Makao Makuu ya Polisi Mkoa wa Singida na Ofisi za Mkuu...
By Masalu ErastoAugust 30, 2021SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limesaini mkataba wa uchorongaji na Mgodi wa Madini wa Buckreef (Buckreef Gold Company Ltd) ambayo ni...
By Masalu ErastoAugust 30, 2021KLABU ya soka ya Coastal Union imemtambulisha Kocha wake mpya, Melis Medo kwa mkataba wa miaka miwili, leo tarehe 30 Agosti, 2021...
By Masalu ErastoAugust 30, 2021RAIS wa Zambia, Hakainde Hichilema amefanya mabadiliko ya uongozi katika vyombo vya ulinzi na usalama, siku sita baada ya kuingia madarakani, tarehe...
By Masalu ErastoAugust 30, 2021NYUMBA 19 zimeteketea kwa moto katika kitongoji cha Shaurimoyo, kijiji cha Nyamwage wilayani Rufiji mkoani Pwani baada ya mwananchi mmoja kuwasha moto...
By Masalu ErastoAugust 30, 2021