SERIKALI ya Tanzania imesema, jumla ya wananchi wake 300,000 wamepata chanjo ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Patricia...
By Masalu ErastoAugust 28, 2021INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro amewataka askari polisi nchini humo wasimuamini kila mtu wanapokuwa katika majukumu yao ya...
By Masalu ErastoAugust 27, 2021VILIO na simanzi vimetawala wakati miili ya askari polisi watatu na mlinzi wa Kampuni ya Ulinzi ya SGA, ikiagwa katika viwanja vya...
By Masalu ErastoAugust 27, 2021MSANII wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Ibrahim Balogum ‘Wizkid’, leo ameachia Deluxe Edition ya albamu yake ya ‘’Made in Lagos.’’ Anaripoti Glory...
By Masalu ErastoAugust 27, 2021MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC) nchini Tanzania, Amos Makalla, amesema majeruhi wa tukio la mauaji lililotokea jirani na Ubalozi...
By Masalu ErastoAugust 27, 2021TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza uchaguzi wa marudio wa ubunge katika majimbo ya Konde mkoa wa Kaskazini Pemba na Ushetu...
By Masalu ErastoAugust 27, 2021NGULI wa muziki barani Afrika kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, Koffie Olomide pamoja na msanii mashuhuri kutoka nchini Tanzania Nandy wanatarajia kutoa...
By Masalu ErastoAugust 27, 2021WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene, anaongoza mamia ya waombolezaji kuaga miili ya askari Polisi watatu na mlinzi wa...
By Masalu ErastoAugust 27, 2021NCHI ya Afghanistan imeendelea kutikisa vichwa vya habari duniani baada ya kundi la Taliban kuipindua serika iliyokuwa madarakani na Rais wa nchi...
By Masalu ErastoAugust 27, 2021TIMU ya Taifa ya wanawake nchini ‘Twiga Stars’ imemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kudhamini...
By Masalu ErastoAugust 26, 2021KLABU ya Bayern Munich imeibuka na ushindi wa mabao 12 -0 dhidi ya Bremer SV katika mchezo wa raundi ya kwanza ndani...
By Masalu ErastoAugust 26, 2021STAA wa Arsenal aliyekuwa na ukame wa magoli, Pierre-Emerick Aubameyang jana tarehe 25 Agosti, 2021 amezinduka na kuifungia timu yake magoli matatu...
By Masalu ErastoAugust 26, 2021MWANAUME mrefu zaidi nchini Marekani aliyejulikana kwa jina la Igor Vovkovinsky, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 38 kutokana na ugonjwa...
By Masalu ErastoAugust 25, 2021KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Hassan Abbas amesema serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sanaa...
By Masalu ErastoAugust 25, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelitaka jeshi la polisi kujipanga vizuri kwenye masuala ya teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama) ili...
By Masalu ErastoAugust 25, 2021KLABU ya Azam imeanza mazoezi yake ya maandalizi ya msimu ujao 2021/22 katika kambi iliopo mji wa Ndola nchini Zambia. Anaripoti Wiston...
By Masalu ErastoAugust 24, 2021KIPIGO cha bao 2-0 kutoka kwa mabingwa wa Ulaya, Chelsea, kimemuweka kikaangoni Kocha Mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta baada ya mashabiki kuutaka...
By Masalu ErastoAugust 23, 2021WASHITAKIWA watatu wenzake na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe wameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,...
By Masalu ErastoAugust 23, 2021JESHI la Indonesia limeondoa rasmi sharti lililodumu kwa miongo kadhaa la ‘ubikra’ kwa mabinti wanaotaka kujiunga na jeshi la nchi hiyo. Anaripoti...
By Masalu ErastoAugust 23, 2021JESHI la Polisi limeimarisha ulinzi ndani na nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam wakati kesi ya kiongozi...
By Masalu ErastoAugust 23, 2021KLABU ya Yanga imevunja kambi ya maandalizi ya michuano mbalimbali ya msimu ujao baada ya wachezaji wake wengi kuitwa kwenye timu zao za...
By Masalu ErastoAugust 23, 2021WAKATI wananchi wakiendelea kuugulia juu ya tozo za miamala ya simu, majengo na mafuta, Serikali inakuja na maumivu mengine ya tozo 17...
By Masalu ErastoAugust 21, 2021VYAMA vitatu vikubwa vya siasa nchini Tanzania – Chama cha Demekrasia na Maendeleo (Chadema), NCCR- Mageuzi naa ACT-Wazalendo – vimegoma kushiriki hafla ya...
By Masalu ErastoAugust 20, 2021SIKU chache baada ya wanamgambo wa Taliban kuipindu Serikali ya Afghanistan, wanajeshi hao wameanza kusaka mahasimu wao. Anaripoti Noela Shila, TUDARCo, kwa...
By Masalu ErastoAugust 20, 2021KLABU ya Soka ya Yanga itaweka wazi benchi lake la ufundi kwenye kilele cha siku ya Mwananchi, mara baada ya kuwepo kwa...
By Masalu ErastoAugust 20, 2021MABINGWA wa Kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam itazindua ‘Wiki ya Mwananchi’ Jumapili hii tarehe 22 Agosti 2021, katika...
By Masalu ErastoAugust 20, 2021SERIKALI ya Tanzania, imetangaza kuanza kuwachukulia hatua za kisheria wafanyabiashara wanaowaongoza wananchi kukwepa kulipa kodi. Anariooti Noela Shila, TUDARCo … (endelea). Onyo...
By Masalu ErastoAugust 20, 2021WAZIRI Ofisi ya Rais-Tamisemi nchini Tanzania, Ummy Mwalimu, amepiga marufuku kitendo cha vikao vya mabaraza ya madiwani, kufanyika bila ya uwepo wa...
By Masalu ErastoAugust 20, 2021MJADALA wa Katiba mpya umeendelea kuchukua sura mpya baada ya vyama 11 visivyokuwa na wabunge bungeni kuiomba Serikali ya Tanzania kuufufua mchakato...
By Masalu ErastoAugust 19, 2021WANACHAMA 19 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waliokamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, wakiwa kanisani, wamepandishwa kizimbani na kusomewa...
By Masalu ErastoAugust 19, 2021Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa stars) Kim poulsen ametangaza majina ya wachezaji 28 watakaoingia kambini kujiandaa na mashinadano ya...
By Masalu ErastoAugust 19, 2021UMOJA wa vyama 11 vya siasa nchini Tanzania vimemtaka Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kuacha kupotosha umma juu...
By Masalu ErastoAugust 19, 2021MSANII wa muziki wa bongo fleva nchini Tanzania, Gift Stanford maarufu Giggy Money ameahidi mashabiki zake kwamba hatofanya makosa tena kamak kama...
By Masalu ErastoAugust 19, 2021NI takribani siku ya tano tangu kutokea kwa tetemeko la ardhi nchini Haiti. Anaripoti Victoria Mwakisimba, TUDARCo kwa msaada wa mashirika ya...
By Masalu ErastoAugust 19, 2021MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imetupilia mbali mapingamizi ya Serikali, katika kesi Na. 16/2021, iliyofunguliwa na Alexandra Bakunguza, kupinga elimu ya juu kutolewa...
By Masalu ErastoAugust 18, 2021MUSSA Nassibu Ismail (21), mwalimu wa madrasa iliyopo maeneo ya Kiboje wilayani Kati, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, amehukumiwa kifungo cha miaka...
By Masalu ErastoAugust 18, 2021WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene amesema shughuli ya mabadiliko ya hadhi ya vyeti vya usajili wa jumuiya utahusisha...
By Masalu ErastoAugust 18, 2021KLABU ya soka ya Simba imefanikiwa kunyaka saini ya kiungo mshambuliaji Jimmyson Mwanuke (18) kutoka klabu ya Gwambina FC yenye maskani yake...
By Masalu ErastoAugust 18, 2021Kampuni ya Bayoteknolojia Moderna leo Jumatano Agosti 18, 2021 inaanza kufanya majaribio ya chanjo za Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwa binadamu. Anaripoti...
By Masalu ErastoAugust 18, 2021KLABU ya Simba imefanikiwa kunasa saini ya kiungo mshambuliaji wa klabu ya Kagera Sugar, Abdulsamad Kassim mwenye umri wa miaka 24. Anaripoti...
By Masalu ErastoAugust 17, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali leo Jumanne, tarehe 17 Agosti 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Taarifa iliyotolewa...
By Masalu ErastoAugust 17, 2021BARAZA la Wazee la chama kikuu nchini Tanzania cha Chadema, limeiomba Serikali imfutie mashtaka ya kula njama za kufanya ugaidi, yanayomkabili kiongozi wa...
By Masalu ErastoAugust 17, 2021RAIS mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete kwa kushirikiana na Rais mstaafu wa Sierra Leone, Ernest Bai Koroma, wamefanikiwa kumaliza utata ulijitokeza katika uchaguzi...
By Masalu ErastoAugust 17, 2021MWANAMITINDO na msanii wa muziki wa bongo fleva Hamisa Mobetto, nyota yake imeendelea ku’ngaa baada ya kusaini mkataba mpya na kampuni ya...
By Masalu ErastoAugust 16, 2021BENKI ya NMB imezindua mbio ndefu (Marathon) ambazo zitakuwa na kauli mbiu ya ‘Mwendo wa Upendo’ zikiwa na lengo ya kuchangia matibabu kwa...
By Masalu ErastoAugust 16, 2021USHINDI wa aliyekuwa mgombea urais wa upinzani nchini Zambia, Hakainde Hichilema, katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 12 Agosti 2021, umeacha fundisho kwa...
By Masalu ErastoAugust 16, 2021WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amepiga marufuku kusafirisha gesi ya Kampuni ya kuzalisha Gesi Asilia ya Kabon Daioksaidi ya Tol Gases Limited...
By Masalu ErastoAugust 16, 2021Klabu ya simba imekamilisha usajili wa beki wa pembeni kutoka klabu ya KMC Israel Patrick Mwenda mwenye umri wa miaka 21. Anaripoti Mintanga...
By Masalu ErastoAugust 16, 2021NAIBU Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew ameitaka Halmashauri ya Shinyanga kutenga fedha kutoka katika mapato ya ndani...
By Masalu ErastoAugust 16, 2021WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania, Innocent Bashungwa ametoa siku saba kuanzia kwa Taasisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA), kufanya...
By Masalu ErastoAugust 9, 2021