Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Tangulizi Anayetafutwa na FBI apewa uongozi Afghanistan
Tangulizi

Anayetafutwa na FBI apewa uongozi Afghanistan

Spread the love

 

SIKU chache baada ya kuung’oa madarakani uongozi wa Afghanistan, wanamgambo wa kundi la Taliban wametangaza serikali mpya ya mpito nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Pia, wamemteua Sirajuddin Haqqani mtuhumiwa wa ugaidi anayesakwa na Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi.

Serikali hiyo itaongozwa na Mullah Mohammad Hassan Akhund, huku mwanzilishi mwenzawa Taliban, Mullah Abdul Ghani Baradar atakuwa Naibu Waziri Mkuu.

Fuatilia kujua undani wa habari hi

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

error: Content is protected !!