Friday , 26 April 2024

Michezo

Michezo

Michezo

Mtibwa, Coastal zabaki ligi kuu, Waziri Ummy…

  TIMU za Mtibwa Sugar ya Morogoro na Coastal Union ya Tanga zimefanikiwa kubaki Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa msimu ujao wa...

Michezo

Kocha Simba: Sina presha, nimeshawasoma Yanga

  KOCHA wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam nchini Tanzania, Didier Gomes amesema, hana presha kuelekea mchezo wa fainali wa kombe...

Michezo

Azam yawatema wanne wakimataifa, yuko Chirwa

  TIMU ya Azam FC ya Chamanzi Dar es Salaam nchini Tanzania, imetangaza kuachana na wachezaji wake wanne wa kimataifa akiwemo mshambuliaji Obrey...

Michezo

Kocha Yanga aingia mitini Kigoma, TFF yamtimua Siwa

  KOCHA mkuu wa kikosi cha Yanga, Nasriddine Nabi ameshindwa kutokea kwenye mkutano na wanahabari kuelekea mchezo wa fainali wa kombe la Shirikisho,...

Michezo

Tiketi elfu 11 zimeshauzwa mchezo Simba na Yanga

  JUMLA ya tiketi elfu 11 zimeshauzwa kuelekea mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho (FA) kati ya Simba dhidi ya Yanga utakaopigwa...

Michezo

Dk. Abbas aitaka Cosota kuwabana ‘wanaomnyonya’ Mb Dogg

  WIZARA ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania, imeiagiza Taasisi ya Hakimiliki nchini humo (COSOTA), kufuatilia na kuhakikisha msanii Mb Dogg...

Michezo

Mapokezi ya Simba yasimamisha Kigoma

KIKOSI cha klabu ya Simba, kimewasili mkoani Kigoma kwa ajili ya mchezo wa Fainali wa kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga. Anaripoti Kelvin...

Michezo

Kisa Simba, Yanga wamkataa refa wa Fainali

  KLABU ya Yanga imeonekana kusikitishwa na kitendo cha Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kumchagua Ahmed Arajiga kuwa mwamuzi wa mchezo...

Michezo

Simba, Yanga kufanya mazoezi uwanja mmoja Kigoma

  KUELEKEA mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation) siku ya tarehe 25 Julai, 2021, vikosi vya Simba na Yanga...

MichezoTangulizi

Yanga yaiwahi Simba Kigoma, yapokelewa kwa shangwe

  KIKOSI cha klabu ya Yanga kimetua rasmi mkoani Kigoma, kwa ajili ya mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya...

Michezo

Shabiki wa Yanga atisha, atoka Arusha mpaka Kigoma kwa baiskeli

  KUELEKEA mchezo wa Fainali wa Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation), Shabiki wa klabu ya Yanga, Iddi Mkuu (69) ametinga Kigoma leo...

Michezo

Azam FC yaendelea kusajili kimyakimya

  TIMU ya Azam FC ya Chamanzi, Tanzania imeendelea kukisuka kikosi chake cha msimu ujao wa 2021/22, kwa kusajili wachezaji wanne wa Kimataifa....

MichezoTangulizi

Haji Manara atangaza kung’atuka Simba

  HAJI Manara, Msemaji wa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21, Simba ya Dar es Salaam, ametangaza kung’atuka katika nafasi hiyo. Anaripoti...

Michezo

TFF yafungua siku 42, dirisha la usajili

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefungua rasmi dirisha kubwa la usajili litakalodumu kwa siku 42, baada ya kumalizika kwa msimu...

Michezo

Mambo 6 yamponza Miss Tanzania 2020

  KAMATI ya Miss Tanzania imebainisha makosa sita yaliyosababisha Miss Tanzania 2020, Rose Manfere kuvuliwa uwakilishi wa nchi katika mashindano ya urembo duniani....

Michezo

Ali Kiba akwaa ubalozi wa kinywaji

  MSANII wa muziki nchini Tanzania, Ali Kiba amesaini mkataba wa kinywaji cha “Power Horse” kuwa balozi wa kinywaji hicho. Anaripoti Matlida Peter,...

MichezoTangulizi

TFF kicheko Mahakamani, zuio la uchaguzi laondolewa

  MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam, imeiweka pembeni kesi ndogo namba 305, ya zuio la shughuli za uchaguzi TFF, na kutaka...

Michezo

Rais Fifa aipongeza Simba kutwaa ubingwa

  RAIS wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (Fifa), Gianni Infantino, ameipongeza timu ya soka ya Simba ya Dar es Salaam...

Michezo

Biashara United kupanda ndege kimataifa mwakani

  KLABU ya Biashara United, kutoka Mara imefanikiwa kushiriki michuano ya kimataifa kwa msimu ujao, mara baada ya kumaliza katika nafasi ya nne...

Michezo

Gomes, Bocco wapeta tuzo mwezi Juni

  KOCHA wa klabu ya Simba, Didier Gomes pamoja na mshambuliaji wa klabu hiyo John Bocco wameshinda tuzo, mwezi Juni kwenye Ligi Kuu...

MichezoTangulizi

Fei Toto ampa zawadi ya mabao Niyonzima

  KIUNGO wa klabu ya Yanga, Feisal Salum ambaye ndiye mfunga wa mabao yote mawili kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, dhidi...

MichezoTangulizi

Rasmi Yanga kuweka kambi nchini Morocco

  KLABU ya Soka ya Yanga imepenga kwenda kufanya maandalizi  (Pre Season) kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano nchini Morroco, siku chache...

Michezo

Dube, Sure Boy kuikosa Simba

MSHAMBULIAJI wa klabu ya Azam FC, Prince Dube pamoja na kiungo wa klabu hiyo, Salum Abubakar ‘Sure Boy’ wataokusa mchezo dhidi ya Simba...

MichezoTangulizi

Mashabiki elfu 10, kutazama fainali Simba na Yanga Kigoma 

  KUELEKEA mchezo wa fainali wa kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup), idadi ya mashabiki watakaoruhusiwa kutazama mchezo huo ni elfu 10...

Michezo

Bocco, Dube na Mugalu waingia kwenye Ligi Mpya

  KUFUATIA klabu ya Simba kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2020/21, washambuliaji Prince Dube wa Azam FC,...

Michezo

Maguire, Sterling waingia kikosi bora Euro, Ronaldo atupwa nje

NAHODHA wa Timu ya Taifa ya Uingereza Harry Maguire, Rahim Sterling na Kyle Walker wamejumuhishwa kwenye kikosi cha wachezaji 11 bora wa michuano...

Michezo

Niyonzima kuagwa Yanga, Juni 15

KIUNGO mshambuliaji Raia wa Rwanda, Haruna Niyonzima, ataagwa rasmi ndani ya klabu ya Yanga tarehe 15 Julai, 2021, baada ya kuhudumu kwenye kikosi...

Michezo

Simba kukabidhiwa kombe lao dhidi ya Namungo FC

MARA baada ya kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kwa mara ya nne mfululizo, klabu ya Simba itakabidhiwa kombe hilo...

Michezo

Mastaa wawili Yanga warejea kambini 

  WACHEZAJI Haruna Niyonzima pamoja na Lamine Moro wamerejea kwenye kambi ya klabu hiyo, Kigamboni Jijini Dar es Salaam mara baada ya kusimamishwa...

Michezo

Mchezo wa Azam FC dhidi ya Simba, wasogezwa mbele

  KUFUATIA kupata ajali mbaya ya gari, kwa kikosi cha timu ya Polisi Tanzania mkoani Kilimanjaro, bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imesogeza...

Michezo

Ronaldo, Donnarumma watamba Tuzo Euro

STAA na Nahodha wa timu ya Taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo, pamoja na mlinda mlango wa timu ya Taifa ya Italia, Gianluigi Donnarumma,...

MichezoTangulizi

Simba Bingwa, mara nne mfululizo

  MABAO mawili ya John Bocco na Chriss Mugalu yalitosha kuifanya Simba kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu...

Michezo

Kisa ajali, michezo ya Ligi Kuu kusogezwa mbele

  KUFUATIA kupata ajali mbaya ya gari, kwa kikosi cha timu ya Polisi Tanzania mkoani Kilimanjaro, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imesogeza...

MichezoTangulizi

Argentina yaipiga Brazil, Messi ampiku Neymar

  HATIMAYE Lionel Messi wa Argentina, amenyakua taji la ubingwa wa kwanza la Copa America, akiwa na timu ya Taifa, baada ya kuifunga...

MichezoTangulizi

Hamta ya uchaguzi TFF kujulikana Julai 16

  MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam, itatoa maamuzi ya kesi ndogo ya zuio la uchaguzi namba 305, iliyofunguliwa na mwanamichezo Ally...

Michezo

Yanga yalamba dili la bilioni 41

  KLABU ya soka ya Yanga, imeingia mktaba wenye thamani ya shilini 41 bilioni, katika kipindi cha miaka 1o na kampuni ya Azam...

Michezo

Kisa Simba, Yanga yapigwa faini ya mil 3

  KLABU ya Soka ya Yanga, imepigwa faini ya Shilingi milioni tatu, mara baada ya kufanya makossa manne kwenye mchezo wa Ligi Kuu...

Michezo

Messi, Neymar kukutana fainali, Copa America

  FAINALI ya michuano ya Copa America, itapigwa siku ya Jumapili ambapo itaikutanisha miamba ya soka barani humo, tumu ya Taifa ya Argentina...

Michezo

Simba kumalizana na ubingwa mapema

KIKOSI cha klabu ya Simba leo kitashuka dimbani, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya KMC, ambapo Kocha Msaidizi, Selaman Matola...

Michezo

Simba kushiriki michuano mipya Barani Afrika

  KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) itakutana Julai 16, 2021, nchini Morocco kujadili mfumo wa mashindano mapya...

Michezo

Djuma Shabani rasmi atua Yanga

  ALIYEKUWA mlinzi wa kulia wa klabu ya AS Vita ya nchini DR Congo, Djuma Shaban rasmi kukipiga ndani ya Yanga, kwenye msimu...

Michezo

Azam FC yashusha kifaa kutoka Zambia

  KLABU ya soka ya Azam FC, imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Charles Zulu raia wa Zambia, aliyekuwa anakipiga kwenye klabu ya Cape...

MichezoTangulizi

Manara: Tukifungwa na Yanga Kigoma naacha kazi

  KUFUATIA klabu yake ya Simba kupoteza mchezo wao dhidi ya Yanga, kwa bao 1-0, Afisa Habari wa klabu hiyo, Haji Manara ameahidi...

MichezoTangulizi

Mambo matano makubwa mchezo Simba na Yanga

  MARA baada ya kufanyika kwa mchezo mkubwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kati ya Simba ambao walikuwa wenyeji mbele ya Yanga na...

Michezo

Yanga yapita mlango mdogo, wagoma kuingia vyumbani

  Katika hali ya kustajabisha, kwenye mchezo watani wa jadi kati ya Simba na Yanga, kikosi cha klabu ya Yanga ambao walikuwa wageni...

Michezo

Kocha Yanga: Tulitaka kuwaonesha sisi ni wakubwa

  MARA baada ya kuondoka na ushindi wa bao 1-0. kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kocha Mkuu wa klabu ya Yanga,...

MichezoTangulizi

Yanga yaipiga Simba mbele ya Rais Samia

  TIMU ya Yanga ya Dar es Salaam, imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya watani zao Simba, katika mchezo wa Ligi Kuu...

Michezo

Simba waapa kutangaza ubingwa mbele ya Yanga

  KESHO Mafahari wawili kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara, klabu za Simba na Yanga, zinashuka dimbani kusaka pointi tatu, huku kila upande ukijinasibu...

Michezo

TEF yamuonya Manara, kuisusia Simba

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), wameutaka uongozi wa Klabu ya Simba umwonye, msemaji wake, Haji Manara kwa udhalilishaji alioufanya dhidi ya Mwandishi...

MichezoTangulizi

Jaji atoa uamuzi kupinga uchguzi TFF

  MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, imetoa mwongozo wa kesi ya zuio la uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), isikilizwe...

error: Content is protected !!