Monday , 5 June 2023
Home Kitengo Michezo Simba kukabidhiwa kombe lao dhidi ya Namungo FC
Michezo

Simba kukabidhiwa kombe lao dhidi ya Namungo FC

Baadhi ya wachezaji wa Simba
Spread the love

MARA baada ya kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kwa mara ya nne mfululizo, klabu ya Simba itakabidhiwa kombe hilo pamoja na medali, kwenye mchezo wao wa mwisho dhidi ya Namungo FC. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Mchezo huo, utapigwa tarehe 18 Julai 2021, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, ambapo ndiyo itakuwa tamati ya ligi hiyo.

Simba ilitangazwa kuwa mabingwa wa ligi hiyo, tarehe 11 Julai, 2021, kufuatia kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union.

Mabingwa hao walifikisha jumla ya pointi 79, ambazo hazitafikiwa na timu yoyote kwenye msimamo wa ligi hiyo katika michezo miwili iliyosalia.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Samia aipongeza klabu ya Yanga kwa hatua iliyofikia

Spread the love RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia...

Michezo

Yanga waitwa Ikulu kesho Jumatatu

Spread the love RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho Jumatatu, tarehe...

Michezo

Dk. Mkwizu: Afrika tudumishe utamaduni

Spread the love  MWENYEKITI wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Mkoa wa...

Michezo

‘EONII’ kuteka tasnia ya filamu

Spread the love  UZINDUZI wa Filamu ya Kisayansi ya ‘EONII’ uliofanyika Mei...

error: Content is protected !!