Friday , 19 April 2024

Michezo

Michezo

Michezo

Kipa Simba afiwa na Mama Yake

Mlinda mlango namba mbili wa klabu ya Simba Beno Kakolanya, amepata pigo la kufiwa na Mama yake mzazi Eva Mwankusye leo asubuhi Jijini...

MichezoTangulizi

Poulsen aita 28 Stars, Kabwili ndani

  Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa stars) Kim poulsen ametangaza majina ya wachezaji 28 watakaoingia kambini kujiandaa na mashinadano ya...

Michezo

Giggy Money amaliza kifungo ‘Zanzibar nakuja kivingine’

  MSANII wa muziki wa bongo fleva nchini Tanzania, Gift Stanford maarufu Giggy Money ameahidi mashabiki zake kwamba hatofanya makosa tena kamak kama...

Michezo

Yanga kushusha chuma kingine

  Klabu ya Yanga ipo mbioni hivi karibuni kumtambulisha mchezaji mwengine mpya atakayejiunga na timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano....

Michezo

Simba yashusha chuma kingine

  KLABU ya soka ya Simba imefanikiwa kunyaka saini ya kiungo mshambuliaji Jimmyson Mwanuke (18) kutoka klabu ya Gwambina FC yenye maskani yake...

Michezo

Yanga kuanzia Zanzibar, Tamasha wiki ya Mwananchi

  Klabu ya soka ya Yanga itazindua rasmi wiki ya Mwananchi visiwani Zanzibar Agost 22, mwaka huu, kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii,...

Michezo

Simba yatambulisha mwingine

  KLABU ya Simba imefanikiwa kunasa saini ya kiungo mshambuliaji wa klabu ya Kagera Sugar, Abdulsamad Kassim mwenye umri wa miaka 24. Anaripoti...

Michezo

NMB yazindua Marathon, mapato kutibu wagonjwa Fistula

BENKI ya NMB imezindua mbio ndefu (Marathon) ambazo zitakuwa na kauli mbiu ya ‘Mwendo wa Upendo’ zikiwa na lengo ya kuchangia matibabu kwa...

Michezo

Simba yang’oa beki KMC

Klabu ya simba imekamilisha usajili wa beki wa pembeni kutoka klabu ya KMC Israel Patrick Mwenda mwenye umri wa miaka 21. Anaripoti Mintanga...

Michezo

Kiongozi Yanga, aibukia Azam FC

  KLABU ya Soka ya Azam Fc imemtambulisha katibu Mkuu wa zamani wa klabu ya Yanga, Dk. Jonas Tiboroha kuwa mkurugenzi Mkuu wa...

Michezo

Majaliwa mashindano ya SHIMIWI yarejeshwe

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameziagiza wizara zote zinazohusika na uratibu na uandaaji wa Michezo ya Wizara na Idara za Serikali...

Michezo

Simba yashusha kifaa kingine kutoka Senegal

  KLABU ya Soka ya Simba imefanikiwa kunasa saini ya mchezaji wa kimataifa wa Senegal Pape Ousmane Sakho (24), kuuelekea msimu mpya wa...

Michezo

Simba yamshusha mrithi wa Miquissone

  KLABU ya Simba, imefanikiwa kunyakuwa winga wa kimataifa wa Malawi, Duncan Nyoni ambaye amejiunga rasmi na kikosi hiko, kwa ajili ya msimu...

Michezo

Majaliwa ateta na Rais wa CAF

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu...

Michezo

Winga mpya Yanga: Mimi ni hatari kuliko Kisinda

  WINGA  mpya wa klabu ya Yanga raia wa Jamhuri ya Congo, Jesus Moloko amesema kuwa atawafurahisha mashabiki wa Yanga,  zaidi ya Tusila...

Michezo

Yanga, Simba kuweka kambi Morocco

  TIMU kongwe nchini Tanzania za Simba na Yanga zote za jijini Dar es Salaam, zinatarajia kukwea pipa kwenda nchini Morocco kwa ajili...

MichezoTangulizi

Mnata, Shikalo watemwa Yanga, Haucho atambulishwa

  MABINGWA wa kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya Dar es Salaam, imeendelea kujiimalisha kwa msimu wa 2021/22 kwa kumsajili kiungo mkabaji, Kharid Haucho....

Michezo

Tuisila Kisinda kuikacha Yanga, kutua Morocco

  UONGOZI wa mabingwa wa kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya Dar es Salaam umesema, unakamilisha majadiliano na moja ya timu nchini Morocco kwa...

Michezo

Waziri Bashungwa aipa siku 7 COSOTA

  WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania, Innocent Bashungwa ametoa siku saba kuanzia kwa Taasisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA), kufanya...

Michezo

Jonas Mkude arejea Simba

  JONAS Mkunde, Kiungo mkabaji wa mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara 2020/21 na kombe la shirikisho, Simba ya jijini Dar es Salaam,...

MichezoTangulizi

Messi atokwa machozi, akiaga Barcelona

  MARA baada ya kucheza kwa miaka 21, hatimaye mchezaji hatari kwa sasa Duniani, Lionel Messi ameiaga rasmi klabu yake ya Barcelona, Uwanjani...

MichezoTangulizi

Yanga yampata mrithi wa Shikalo

  KLABU ya soka ya Yanga, imekamilisha usajili wa mlinda mlango Djigui Diarra, kutoka nchini Mali ambaye ameingia mkataba wa miaka miwili na...

Michezo

Karia athibitishwa Rais TFF

  WAJUMBE wa mkutano mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), wamemuthibitisha Wallace Karia kuendelea kuwa Rais wa shirikisho hilo kwa...

Michezo

Lulu atambulisha jina la mwanae, amwandikia ujumbe

  MSANII wa maigizo nchini Tanzania, Elizabeth Michael maarufu Lulu amemwandikia ujumbe mwaanae mwenye siku 21 akichambua jina alilompa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Michezo

Diamond amuaga Maulid Kitenge, arejea EFM

  MTANGAZAJI maarufu nchini Tanzania wa vipindi vya michezo, Maulid Kitenge leo Ijumaa, tarehe 6 Agosti 2021, amerejea kituo cha Redio cha EFM,...

MichezoTangulizi

Manara: Umarufu na Biashara zimeniondoa Simba

   ALIYEKUWA Afisa Habari na mawasiliano wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema kuwa sababu za kufanya biashara na kampuni zingine na umaarufu...

MichezoTangulizi

Peter Banda afungua usajili Simba

  Winga wa kimataifa wa Malawi Peter Banda, amekuwa mchezaji wa kwanza kufungua dirisha la usajilin ndani ya klabu ya Simba mara baada...

Michezo

Ligi Kuu Bara kuanza rasmi Septemba 29

  LIGI Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2021/22, itaanza kupigwa kuanzia tarehe 29 Septemba 2021, mara baada ya kuchezwa mchezo wa...

Michezo

Yanga wakana kumsajili Banda

   KLABU ya Soka ya Yanga, imekana kuhusishwa na kumsajili winga wa kimataifa wa Malawi, Peter Banda kufuatia tetesi za kuwa fundi huyo...

Michezo

TBC yaingia mkataba mnono na TFF

  SHIRIKA la Utangazaji Tanzania (TBC) limeingia mkataba wa miaka 10, wa matangazo ya matnagazo ya Radio kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara na...

Michezo

Ni vikumbo vita ya usajili

  IKIWA Ligi Kuu Tanzania Bara imemalizika na Shirikisho la Mpira Tanzania (TFF), limeshafungua dirisha la usajili kwa klabu za Ligi Kuu na...

MichezoTangulizi

Yanga yavuta mwengine

  KLABU ya soka ya Yanga, imefanikiwa kunasa saini ya mshambuliaji Yusuph Athuman Akitokea klabu ya Biashara United, Mara iliyokuwa inashiriki Ligi Kuu...

Michezo

Rais Samia awapongeza vijana U23, atoa maagizo

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania ameipongeza timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 23 (U23), kwa kutwaa ubingwa wa mashindano...

Michezo

Michuano ya Kagame kuanza kutimua vumbi kesho

MICHUANO ya klabu kwa ukanda wa Afrika Mashariki na kati (CECAFA Kagame Cup) yataanza kutimu vumbi rasmi kesho kwa jumla ya timu tisa...

MichezoTangulizi

Azam Fc yasaini mwengine kutoka Congo

KLABU ya Azam FC imefanikiwa kunasa saini ya mshambuliaji raiawa kidemokrasia ya Congo, Idris Mbombo kwa mkataba wa miaka miwili. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)...

MichezoTangulizi

MO Dewji akata Ngebe, aweka Bil 20

Mfanyabiashara na mwekezaji ndani ya klabu ya Simba, Mohammed Dewji (MO), ameweka rasmi kiasi cha pesa shilingi 20 bilioni, kama sehemu ya uwekezaji...

MichezoTangulizi

Morrison, Mukoko wafungiwa michezo mitatu

  Wachezaji Bernad Morrison wa klabu ya Simba na Mukoko Tonombe kutoka Yanga wamefungiwa kutocheza michezo mitatu na kamati ya mashindano ara baaada...

Michezo

Hukumu kesi ya Yanga vs Morrison CAS, kutolewa ndani ya siku 26

  MAHAKAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Kimichezo (CAS), itatoa hukumu ya kesi ya rufaa kati ya klabu ya Yanga na mchezaji, Bernard...

Michezo

Karia, Kidao wachanjwa

  RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia ni miongoni mwa viuongozi waliopata chanjo ya corona, katika hafla iliyofanyika...

Michezo

Lamine ampewa mkono wa kwaheri Yanga

  KLABU ya Yanga imeachana rasmi na mlinzi wake wa kati, ambaye pia alikuwa nahodha wa kikosi hicho, Lamine Moro baada ya makubaliano...

Michezo

Simba haishikiki, yatwaa tena kombe mbele ya Yanga

BAO la dakika ya 79, lilofungwa na Thadeo Lwanga, lillitosha kuifanya Simba kutetea ubingwa wake wa kombe la Shirikisho (ASFC), dhidi ya Yanga,...

Michezo

Simba Vs Yanga: Mashabiki kupewa barakoa bure

  CHAMA cha soka Mkoa wa Kigoma nchini Tanzania, kitagawa barakoa bure kwa mashabiki watakaoudhuria mchezo wa fainali kombe la shirikisho utakaowakutanisha Simba...

Michezo

Mtibwa, Coastal zabaki ligi kuu, Waziri Ummy…

  TIMU za Mtibwa Sugar ya Morogoro na Coastal Union ya Tanga zimefanikiwa kubaki Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa msimu ujao wa...

Michezo

Kocha Simba: Sina presha, nimeshawasoma Yanga

  KOCHA wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam nchini Tanzania, Didier Gomes amesema, hana presha kuelekea mchezo wa fainali wa kombe...

Michezo

Azam yawatema wanne wakimataifa, yuko Chirwa

  TIMU ya Azam FC ya Chamanzi Dar es Salaam nchini Tanzania, imetangaza kuachana na wachezaji wake wanne wa kimataifa akiwemo mshambuliaji Obrey...

Michezo

Kocha Yanga aingia mitini Kigoma, TFF yamtimua Siwa

  KOCHA mkuu wa kikosi cha Yanga, Nasriddine Nabi ameshindwa kutokea kwenye mkutano na wanahabari kuelekea mchezo wa fainali wa kombe la Shirikisho,...

Michezo

Tiketi elfu 11 zimeshauzwa mchezo Simba na Yanga

  JUMLA ya tiketi elfu 11 zimeshauzwa kuelekea mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho (FA) kati ya Simba dhidi ya Yanga utakaopigwa...

Michezo

Dk. Abbas aitaka Cosota kuwabana ‘wanaomnyonya’ Mb Dogg

  WIZARA ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania, imeiagiza Taasisi ya Hakimiliki nchini humo (COSOTA), kufuatilia na kuhakikisha msanii Mb Dogg...

Michezo

Mapokezi ya Simba yasimamisha Kigoma

KIKOSI cha klabu ya Simba, kimewasili mkoani Kigoma kwa ajili ya mchezo wa Fainali wa kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga. Anaripoti Kelvin...

Michezo

Kisa Simba, Yanga wamkataa refa wa Fainali

  KLABU ya Yanga imeonekana kusikitishwa na kitendo cha Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kumchagua Ahmed Arajiga kuwa mwamuzi wa mchezo...

error: Content is protected !!