Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo Ali Kiba akwaa ubalozi wa kinywaji
Michezo

Ali Kiba akwaa ubalozi wa kinywaji

Spread the love

 

MSANII wa muziki nchini Tanzania, Ali Kiba amesaini mkataba wa kinywaji cha “Power Horse” kuwa balozi wa kinywaji hicho. Anaripoti Matlida Peter, Dar es Salaam … (endelea).

Mkataba huo, umesainiwa leo Ijumaa, tarehe 16 Julai 2021, jijini Dar es Salaam, ikuhusika pande mbili za Ali Kiba na kampuni ya kinywaji hicho.

Mara baada ya kusaini mkataba huo, Ali Kiba amesema, atatumia nafasi hiyo kukitangaza kinywaji hicho nchi nzima.

https://www.youtube.com/watch?v=EOPcJvI6UZE

Msanii huyo, amewateua Mwijaku, Soudybrown, pamoja Danzak trainer kuwa wahamasishaji wa kinywaji hicho.

Awali, kampuni ya Power Horse imesema, imeamua kumchagua Ali Kiba kuwa balozi wao kutokana na umaarufu wake na ushawishi wake kwenye jamii.

Power Horse wamesema, Ali Kiba atatumia nafasi yake ya usanii kukitangaza vyema kinywaji hicho kisichokuwa na kilevi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!