MBOBEZI wa sheria nchini na Wakili wa Mahakama Kuu, Prof. Abdallah Safari amesema, iwapoDk. Adelardus Kilangi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), atagoma kutekeleza hukumu...
By Hamisi MgutaMay 24, 2019WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Theresa May ametangaza kujiuzulu wadhifa huo ifikapo tarehe 7 Juni 2019, kufuatia mkakati wake wa kuliondoa taifa hilo kwenye...
By Mwandishi WetuMay 24, 2019AFISA wa Zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA), Kevin Mallory (62) amefungwa miaka 20 jela kwa kosa la kutoa siri za...
By Mwandishi WetuMay 18, 2019SERIKALI ya Nigeria imemshitaki aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Goodluck Jonathan katika Mahakama ya Biashara ya London, kwa tuhuma za kupokea rushwa kutoka...
By Mwandishi WetuMay 11, 2019KANISA Katoliki nchini Sri Lanka limesitisha ibada zake kwa maelezo ya kujihami na shambulio la kigaidi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Hatua hiyo...
By Mwandishi WetuMay 2, 2019SHIRIKA la Ndege la Kenya limetangaza kupata hasara ya kiasi cha Shilingi za Kenya 7. 59 Bil (Takriban 151 Bil za Tanzania )...
By Mwandishi WetuMay 1, 2019MFALME wa Japan, Akihito (85) ameng’atuka katika wadhifa huo baada ya kutawala kwa miongo mitatu, kutokana na kusumbuliwa na maradhi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa...
By Mwandishi WetuMay 1, 2019WATU 15 wanaoshukiwa kuhusika katika shambulio la kigaidi lililopoteza maisha ya watu 253 kwenye makanisa nchini Sri Lanka, wameuawa katika majibizano ya risasi. Inaripoti...
By Mwandishi WetuApril 27, 2019MIILI ya watu waliopoteza maisha katika shambulio la kigaidi kwenye makanisa matatu na hoteli za kifahari nchini Sri Lanka, imefikia 290. Inaripoti Mitandao...
By Mwandishi WetuApril 22, 2019RAIS Mstaafu wa nchi ya Peru, Alan Garcia amejiua kwa kujipiga risasi akikwepa kuingia mikononi mwa Jeshi la Polisi la nchi hiyo, kufuatia...
By Mwandishi WetuApril 18, 2019BALOZI za Palestina duniani kote, leo tarehe 17 Aprili 2019 zinaadhimisha Siku ya Mateka wa Kiapestina wanaoendelea kushikiliwa na Jeshi la Israel kwenye...
By Faki SosiApril 17, 2019ALIYEKUWA Rais wa Sudan, Omar al-Bashir ameanza kusulubiwa, Jeshi la nchi hiyo limempeleka katika gereza lenye ulinzi mkali la Kobar, lililoko mjini Khatoum...
By Mwandishi WetuApril 17, 2019WATU 150 wanahofiwa kufa baada ya boti walilokuwa wanasafiria kuzama kwenye Ziwa Kivu, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Inaripoti Mitandao ya...
By Mwandishi WetuApril 17, 2019WAZIRI wa Ulinzi wa Sudan, ambaye Ijumaa ya tarehe 12 Aprili 2019, aliapishwa kuwa kiongozi mpya wa nchi hiyo, kuchukua nafasi ya Rais...
By Saed KubeneaApril 13, 2019BAADA ya Jeshi la Sudan kumng’oa madarakani Rais wa taifa hilo, Omar al-Bashir, limetangaza hali ya hatari katika kipindi cha miezi mitatu, huku...
By Mwandishi WetuApril 11, 2019UTAWALA wa miaka 30 wa Rais wa Sudan, Omar al-Bashir, umefika kikomo nchini humo. Anaripoti Saed Kubenea … (endelea). Taarifa kutoka mji mkuu...
By Masalu ErastoApril 11, 2019BUNGE la Algeria limemtangaza rasmi Abdelkader Bensalah kurithi mikoba ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Abdelaziz Bouteflika katika kipindi cha miezi mitatu mfululizo....
By Mwandishi WetuApril 9, 2019MTUHUMIWA wa mauaji ya watu 50 katika misikiti miwili iliyoko mjini Christchurch, New Zealand, Brenton Tarrant (28) huenda akakumbwa na adhabu ya kihistoria. Inaripoti...
By Mwandishi WetuApril 4, 2019WATU watatu wameuawa huku 50 wakitafuta hifadhi kwenye vituo vya polisi katika mashambulizi yaliyofanywa na baadhi ya raia wa Afrika Kusini, wanaopinga uwepo...
By Mwandishi WetuApril 1, 2019SERIKALI ya Burundi, imewapiga marufuku waandishi wa shirika la BBC na Sauti ya Marekani (VOA), kutofanya kazi nchini humo. Baraza la taifa la...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2019KUSHAMBULIWA na kuua wa kwa Waiumini wa Dini ya Kiislam msikitini kumeibua mambo mengi nchini New Zealand ikiwa ni pamoja na kuimarisha mshikamano...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2019BAADA ya kuteka Mji wa Jerusalem kutoka Taifa la Palestina na kuukabidhi kwa Israel, sasa Donald Trump, Rais wa Marekani anaelekeza nguvu kuuteka...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2019HAMZA Mustafa (15) na baba yake aliyetajwa kwa jina moja Khalid (44), raia wa Syria waliokimbilia New Zealand, waliuawa kwenye mashambulizi yaliyotokea msikitini...
By Mwandishi WetuMarch 20, 2019TANZANIA imetoa msaada wa kibinadamu kwa nchi za Zimbabwe, Malawi na Msumbiji, baada ya nchi hizo kukumbwa na maafa yaliyotokana na kimbunga cha...
By Regina MkondeMarch 19, 2019ZAIDI ya watu 120 wamepoteza maisha huku kadhaa wakipotea kusikojuliakana kutokana na kimbunga kilichotokea katika nchi ya Msumbiji na Zimbabwe. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2019BRENTON Tarrant (28) aliyeshiriki kufanya mauaji msikitini nchini New Zealand jana tarehe 15 Machi 2019 na kusababisha vifo vya waumini wa dini ya...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2019HALI ya taharuki, wasiwasi na hofu imetanda kwa saa kadhaa katika mji wa Christchurch nchini New Zealand baada ya watu kadhaa kufanya shambulizi...
By Mwandishi MaalumMarch 15, 2019WATU kadhaa ikiwemo wanafunzi wanahofiwa kufunikwa na kifusi baada ya jengo moja lililoko katika maeneo ya Ita Faji kwenye mji kibiashara wa Nigeria,...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2019RAIS wa Rwanda, Paul Kagame (62), amemtuhumu “swahiba wake wa miaka mingi,” Rais wa Uganda, Yower Musseven, kwamba anapanga njama za kuangusha serikali...
By Yusuph KatimbaMarch 12, 2019NDEGE ya kampuni ya Ethiopia aina ya Boeing 737 iliyokuwa ikisafiri kutoka Adis Ababa kuelekea Nairobi imeanguka Jumapili asubuhi. Anaripoti Mwandishi Wetu …...
By Mwandishi WetuMarch 10, 2019PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, ameanza kumtumia Edward Lowassa...
By Regina MkondeMarch 6, 2019RAIS wa Nigeria, Muhamadu Buhari ameshinda katika matokeo ya awali ya kinyang’anyiro cha uchaguzi wa urais uliofanyika Jumamosi ya tarehe 23 Februari 2019...
By Mwandishi WetuFebruary 27, 2019PALESTINA haihitaji kupendelewa, kubebwa wala kubembelezwa bali inahitaji haki yake na hiki ndio itasimamia milele. Anaripoti Yusuph Katimba … (endelea). Akizungumza na waandishi wa...
By Yusuph KatimbaFebruary 21, 2019RAIS wa Marekani, Donald Trump ameshtakiwa katika mahakama ya wilaya ya Kaskazini iliyoko kwenye jimbo la Calfornia, kwa kutangaza hali ya dharura ili...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2019UCHAGUZI wa rais nchini Nigeria uliopangwa kufanyika leo tarehe 16 Februari 2019, umeahirishwa. Vinaripoti vyombo vya habari vya kimataifa…(endelea). Taarifa zaidi kutoka katika Tume...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2019MUUNGANO wa Wauguzi nchini Kenya umepanga kufanya mgomo kuanzia leo Jumatatu tarehe 4 Februari 2019 ili kuishinikiza serikali ya nchi hiyo kuwalipa stahiki...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2019AMA kwa hakika duniani ni wawili wawili. Hivi ndivyo unavyoweza kusema pale utakapokutana na Cresencio Extreme pia Howard X kwenye mitaa ya Hong Kong. Vinaripoti...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2019RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Kununua ya Africa Mashariki (EAC). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Wajumbe wa mkutano...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2019WABUNGE kutoka chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wale kutoka vyama vya upinzani wameanza kumenyana kuhusu Muswada mpya wa Vyama vya Siasa...
By Danson KaijageJanuary 29, 2019MUSWADA wa Sheria ya Marekebisho ya Vyama vya siasa umetua bungeni leo huku Kambi Rasmi ya Upinzani ikianisha hoja zake kupinga muswada huo. Anaripoti...
By Danson KaijageJanuary 29, 2019RAIS mteule wa DRC- Kongo, Felix Tshisekedi Tshilombo, mtoto wa mwanasiasa mkongwe nchini Ettiene Tshisekedi, ameridhia uundwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa...
By Mwandishi WetuJanuary 21, 2019RAIS Joseph Kamembe Kabila, amegomea wito wa Muungano wa Afrika (AU), wanaotaka kucheleweshwa kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa rais nchini mwake. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJanuary 18, 2019JAMHURI ya Kidemokrasia ya Congo imetakiwa kuahirisha utangazaji wa matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika hivi karibuni. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Wito...
By Mwandishi WetuJanuary 18, 2019UWANJA wa Ndege wa Kimataifa wa Louisville uliopo Kentucky, Marekani sasa utabadilishwa jina na kuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mohammed Ali....
By Mwandishi WetuJanuary 18, 2019KUNDI la kigaidi la Al Shabab linalojinasibisha na Uislam lililofanya mashambulizi jana kwenye moja ya jengo kubwa katika Mji Mkuu wa Kenya, Nairobi...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2019SERIKALI ya Kenya na Tanzania zimeungana kwa pamoja kulinda rasilimali za asili zilizoko katika mipaka ya nchi hizo. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeJanuary 15, 2019MGOMBEA wa upinzani, Felix Tshisekedi wa Chama cha UDPS ameshinda uchaguzi wa urais nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), tume ya uchaguzi...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2019RAIS wa Benki ya Dunia (W.B), Jim Yong Kim aliyehudumu katika wadhifa huo tangu mwaka 2012 hadi mwanzoni mwa mwaka huu, amejiuzulu ghafla....
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2019SERIKALI ya Somalia imemfukuza Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Mataifa (U.N) nchini humo, Nicholas Haysom kwa sababu ya kuingilia mambo ya ndani ya...
By Mwandishi WetuJanuary 2, 2019ZIARA ya Rais wa Marekani, Donald Trump na mkewe Melania imefanywa kimyakimya nchini Iraq. Vinaripoti vyombo vya kimataifa … (endelea). Hata hivyo inaelezwa...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2018