Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Watu 150 wahofiwa kufa ziwani
Kimataifa

Watu 150 wahofiwa kufa ziwani

Ziwa Kivu
Spread the love

WATU 150 wanahofiwa kufa baada ya boti walilokuwa wanasafiria kuzama kwenye Ziwa Kivu, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Taarifa ya tukio hilo imethibitishwa na Rais wa Congo-DRC, Felix Tshisekedi jana terehe 16 Aprili 2019 kupitia akaunti yake ya mtandao wa Twitter.

Katika andiko lake hilo, Rais Tshisekedi alitoa salamu za pole huku akielezwa kusikitishwa kwake na mkasa huo.

Gavana wa Mkoa wa Mashambani wa Tshupa Kaskazini mwa Congo alinukuliwa na vyombo vya habari akisema tukio hilo limetokea katika Ziwa Kivu karibu na eneo la Kalehe  jioni ya Jumatatu tarehe 15 Aprili 2019.

 Kwa mujibu wa taarifa ya za vyombo vya habari nchini Congo-DRC, miili ya watu watatu imeopolewa, na manusura 33 katia kadhia hiyo imeokolewa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

error: Content is protected !!