HEKAHEKA imeibuka ndani ya ndege ya Jet Blue, ambapo abiriwa waliokuwa wakitoka katika uwanja wa Ndege wa San Juan (Carolina) kwenda Miami, waligoma kusafiri. Unaripoti...
By Mwandishi WetuMay 14, 2020SIKU ya Sikukuu ya Eid el Fitr na siku nne mbele, wananchi wa Saudi Arabia wametangaziwa kutotoka nje. Utekelezaji wa tangazo hilo utaanzia...
By Mwandishi WetuMay 13, 2020MKUTANO wa Rais wa Marekani, Donald Trump na wanahabari, umevunjika baada ya rais huyo kuulizwa maswali yaliyomchefua. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Mkutano huo ulifanyika...
By Hamisi MgutaMay 12, 2020BARACK Obama, Rais Mstaafu wa Marekani, amemtuhumu rais wa sasa Donald Trump kwamba ameshindwa kuukabili ugonjwa wa mapafu unaosababishwa na virusi vya corona...
By Mwandishi WetuMay 10, 2020SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limetoa tahadhari kwa dawa za mitishamba zinazotengenezwa ili kukabiliana na virusi vinavyosababisha homa ya mapafu (corona). Inaripoti Mitandao ya...
By Mwandishi WetuMay 5, 2020TAIFA la China limeidhinisha matumizi ya nyongo ya dubu kuwatibu wagonjwa wa corona (COVID-19). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Kwa kujibu wa taarifa ya Shirika la...
By Mwandishi WetuApril 3, 2020SERIKALI jijini Nairobi, imetangaza kuongezeka wagonjwa 25 wa visa vya karibuni vya maambukizi ya Corona, kwatu tisa. Kati yao, saba ni raia wa...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2020MGOMO umeibuka katika wodi iliyotengwa kuwahudumia watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Kenya. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea). Taarifa zaidi kutoka nchini humo...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2020KENYA inakuwa nchi ya kwanza katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kuripotiwa kugundulika kwa mtu mwenye virusi vya Corona (COVID-19, mamlaka ya nchi hiyo...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2020IBADA ya Umra inayotekelezwa na Waislamu nchini Saud Arabia, imezuiwa kwa muda kutokana na hofu ya kusambaa kwa virusi vya Corona. Inaripoti Mitandao ya...
By Mwandishi WetuFebruary 27, 2020RAIS wa zamani wa Mirsi, Hosni Mubarak (91) amefariki dunia leo tarehe 25 Februari 2020, wakati akipatiwa matibabu jijini Cairo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea)....
By Mwandishi WetuFebruary 25, 2020RAIS wa Marekani, Donald Trump anataka dunia itambue, kwamba anashughulika kutatua mgogoro kati ya Israel na Palestina. Anaandika Mwandishi Wetu… (endelea). Harakati na...
By Mwandishi WetuFebruary 12, 2020MAELFU ya raia na viongozi wa Serikali ya Kenya, leo tarehe 8 Februari 2020, wamejitokeza katika viwanja vya bunge jijini Nairobi, kutoa heshima...
By Mwandishi WetuFebruary 8, 2020TEDROS Adhanom, Kiongozi Mkuu wa Shirika la Afya duniani (WHO), ametangaza kwamba virusi vya Corona sasa ni janga la dharura duniani. Inaripoti Mitandao ya...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2020NI majonzi. Ni simamizi. Ni vilio kote duniani, kufuatia kifo cha ghafla cha nyota wa mpira wa kipaku nchini Marekani, Kobe Bryant. Mwanamichezo...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2020HATIMAYE Serikali mjini Tehran, imekiri madai kuwa imeidungua ndege ya abiria Ukraine, runinga ya taifa ya Iran imeripoti. Kwa mujibu wa taarifa hiyo,...
By Mwandishi MaalumJanuary 11, 2020AZIMIO la kumzuia Rais wa Marekani, Donald Trump kuanzisha vita na Iran, limezua mvutano baina ya Chama cha Democrats na Republicans. Inaripoti Mitandao...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2020NCHI ya Marekani imetangaza kuiwekea vikwazo vya kiuchumi vya kihistoria Iran, hadi pale taifa hilo litakapoacha kufadhili vikundi vya ugaidi pamoja na matumizi...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2020VIASHIRIA vya Vita ya Tatu vya Dunia tayari vimedhihiri, Iran imeanza kutekeleza kile ilichoahidi kwamba, itashambulia Marekani kulipiza kisasi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2020ZAIDI ya watu 30, wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa katika msongamano wa watu, waliojitokeza kumzika Qasem Soleiman, aliyekuwa kiongozi mwandamizi wa Jeshi...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2020BARAZA la Wawakilishi nchini Marekani, limepanga kupiga kura ya Azimio la Kumdhibiti Rais wa nchi hiyo, Donald Trump, kutumia nguvu za Kijeshi dhidi...
By Mwandishi WetuJanuary 6, 2020PERVES Musharraf, aliyekuwa Rais wa Pakistan (76) amehukumiwa adhabu ya kifo, baada ya kukutwa na hatia ya kosa la uhaini. Inaripoti Mitandao ya...
By Mwandishi WetuDecember 17, 2019CHAMA cha Conservative cha Uingereza, kimeshinda uchaguzi wa mapema nchini humo. Kimepata viti 364, kutoka 326 ilivyokuwa inavihitaji kutangazwa mshindi. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuDecember 13, 2019UBALOZI wa Palestina nchini Tanzania umelaani mauaji ya wafungwa katika magereza ya Israel. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Taarifa hiyo imetolewa na...
By Masalu ErastoNovember 27, 2019JOB Ndugai, Spika wa Bunge ameipongeza Kenya kwa kuzindua Kanuni za Kudumu za Bunge lake, kwa lugha ya Kiswahili. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeOctober 31, 2019SIRI juu ya mauaji ya mwandishi wa habari wa kimataifa raia wa Saudia, Jamal Khashoggi, zimeanza kufichuka. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa kutoka...
By Mwandishi WetuOctober 2, 2019RAIS wa Marekani, Donald Trump ameanza kuonja machungu baada ya mchakato wa kung’olewa kushika kasi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Kupitia tamko...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2019MWILI wa Robert Mugabe, aliyekuwa Rais Mstaafu wa Zimbabwe unatarajiwa kuwasili nchini mwake tarehe 11 Septemba 2019, ukitokea Singapore alikofariki dunia wakati anapatiwa...
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2019ROBERT Mugabe, aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zimbabwe, amefariki dunia. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Taarifa kutoka ndani ya familia ya gwiji...
By Mwandishi WetuSeptember 6, 2019SERIKALI imesitisha safari za Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kwenda Afrika Kusini, kufuatia vurugu zinazoendelea nchini humo. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Raia...
By Regina MkondeSeptember 5, 2019WABUNGE watano kutoka Chama cha Wananchi (CUF), tarehe 3 Agosti 2019 walikamatwa na kuhojiwa na Jeshi la Polisi wilayani Handeni, Tanga kwa madai...
By Danson KaijageAugust 4, 2019WAKAZI wa Palestina ni moja ya raia wanaoishi katika mateso makubwa ndani ya ardhi yao. Wananyanyaswa, wanateswa na hata kuuawa. Kutoka katika mitandao...
By Mwandishi MaalumAugust 4, 2019SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano, yaweza kujiingiza kwenye mgogoro mwingine wa kidplomasia na mataifa ya Magharibi, kufuatia uamuzi wake wa kumpokea na kumruhusu...
By Mwandishi WetuAugust 3, 2019NCHI ya Saudi Arabia imegoma kutoa hati ya kusafiria ‘Viza’ kwa mahujaji kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ikihofia mlipuko wa ugonjwa...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2019MWANAJESHI wa zamani wa serikali ya Yahya Jammeh, iliyotawala taifa la Gambia kwa miaka 22, Luteni Malick Jatta, amekiri kufanya mauaji ya wahamiaji...
By Mwandishi WetuJuly 24, 2019HENRY Rotich, Waziri wa Fedha nchini Kenya amejisalimisha kwa maafisa wa upelelezi, saa kadhaa baada ya Noordin Haji, Mkurugenzi wa Mashtaka kuagiza akamatwe. Inaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 22, 2019IJUMAA ya tarehe 12 Julai 2019, imebaki katika kumbukumbu hasi kwa wakazi wa Kijiji cha Kufr Qaddoum kilichopo Kaskazini mwa Mji wa West Bank. Inaripotiwa...
By Mwandishi MaalumJuly 16, 2019RAIS John Magufuli leo tarehe 16 Julai 2019, ametoa zawadi ya magunia 15 ya mchele pamoja na ng’ombe watatu kwa wafungwa na mahabusu...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2019MAHAKAMA ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), imemtia hatiani kwa makosa ya uhalifu wa kivita na binadamu Bosco Ntaganda, kiongozi wa zamani...
By Mwandishi WetuJuly 8, 2019BAADHI ya wabunge kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameeleza kutofurahishwa na kitendo cha Job Ndugai, Spika wa Bunge kumvua ubunge Tundu Lissu. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2019JOGOO mmoja katika kisiwa cha Oléron nchini Ufaransa, jana tarehe 4 Julai 2019 alipandishwa kizimbani akituhumiwa kuwika hivyo kusababisha usumbufu. Vinaripoti vyombo vya kimataifa...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeendelea kusikiliza kesi namba 112 ya mwaka 2018 ya viongozi wa Chadema leo tarehe 1 Julai 2019.Anaripoti Faki Sosi...
By Faki SosiJuly 1, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, amepinga pendekezo la serikali la kurejesha Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kwenye taulo za...
By Mwandishi WetuJune 21, 2019NCHI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), imeomba kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Hayo amesema Felix...
By Masalu ErastoJune 14, 2019MATAIFA matano ya Afrika Mashariki jana tarehe 13 Juni 2019, yalitazamiwa kusoma bajeti zao kwa Mwaka wa Fedha 2019/20. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....
By Mwandishi WetuJune 14, 2019KWA mara ya kwanza, Prof. Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amekiri kwamba, chama chake kinahemea pomoni. Anaandika Mwandishi Wetu …(endelea)....
By Mwandishi WetuJune 9, 2019MBOBEZI wa sheria nchini na Wakili wa Mahakama Kuu, Prof. Abdallah Safari amesema, iwapoDk. Adelardus Kilangi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), atagoma kutekeleza hukumu...
By Hamisi MgutaMay 24, 2019WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Theresa May ametangaza kujiuzulu wadhifa huo ifikapo tarehe 7 Juni 2019, kufuatia mkakati wake wa kuliondoa taifa hilo kwenye...
By Mwandishi WetuMay 24, 2019AFISA wa Zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA), Kevin Mallory (62) amefungwa miaka 20 jela kwa kosa la kutoa siri za...
By Mwandishi WetuMay 18, 2019SERIKALI ya Nigeria imemshitaki aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Goodluck Jonathan katika Mahakama ya Biashara ya London, kwa tuhuma za kupokea rushwa kutoka...
By Mwandishi WetuMay 11, 2019