Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mazishi ya Soleiman; 30 wapoteza maisha
Kimataifa

Mazishi ya Soleiman; 30 wapoteza maisha

Mazishi ya Qasem Soleiman
Spread the love

ZAIDI ya watu 30, wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa katika msongamano wa watu, waliojitokeza kumzika Qasem Soleiman, aliyekuwa kiongozi mwandamizi wa Jeshi la Irani. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Kwa mujibu wa mitandao ya kimataifa, tukio hilo limetokea leo tarehe 7 Januari 2020 katika Mji wa Kerman, kufuatia msongamano mkubwa wa mamilioni ya watu, waliojitokeza kumzika Jenerali Soleiman, aliyefariki dunia tarehe 3 Januari 2020, nchini Iraqi.

Jenerali Soleiman aliuawa katika shambulio la anga, lililotekelezwa na Nchi ya Marekani, mjini Baghdad nchini Iraqi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!