Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa AU waitaka DR Congo kusitisha kutangaza matokeo
Kimataifa

AU waitaka DR Congo kusitisha kutangaza matokeo

Felix Tshisekedi, Rais wa DR Congo
Spread the love

JAMHURI ya Kidemokrasia ya Congo imetakiwa kuahirisha utangazaji wa matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika hivi karibuni. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Wito huo umetolewa na Muungano wa Afrika (AU), ambao umoja huo umeonesha kutoridhishwa na matokeo ya awali yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini humo ambayo yalimpa ushindi mgombea wa upinzani Felix Tshisekedi.

Tamko hilo kuhusu uchaguzi wa Congo lilitolea jana tarehe 17 Januari 2019 na viongozi wa A.U walipokutana mjini Addis Ababa nchini Ethiopia.

Kufuatia tamko hilo, AU inaungana na Kanisa Katoliki nchini Congo ambalo pia lilipinga matokeo hayo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Tshsekedi kwa asilimia 38.5 ya kura akichuana kwa ukaribu na Martini Fayulu aliyepata kura asilimia 34.7, wakati mgombea aliyewakilisha muungano wa serikali, Emmanuel S hadary akiambulia asilimia 23.8.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Spread the loveZaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Spread the loveMgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza...

error: Content is protected !!