
Spread the love
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Kununua ya Africa Mashariki (EAC). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).
Wajumbe wa mkutano huo leo tarehe 1 Februari 2019 wamemchagua Rais Kagame kushika nafasi hiyo baada ya Rais Yower Museveni wa Uganda kumaliza muda wake.
Rais Kagame amewahakikishia wajumbe wa mkutano huo uliofanyika Arusha kwamba, ataitende haki nafasi hiyo.
More Stories
Uholanzi, Uturuki ‘waingia’ vitani
Mauaji ya Jamal Khashoggi, CIA yaivua nguo Saudia Arabia
Marekani yafanya ‘uchochezi,’ yawaonya wanaokuja Tanzania