Monday , 29 May 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Omar al-Bashir aanza kusulubiwa
Kimataifa

Omar al-Bashir aanza kusulubiwa

Omar al-Bashir
Spread the love

ALIYEKUWA Rais wa Sudan, Omar al-Bashir ameanza kusulubiwa, Jeshi la nchi hiyo limempeleka katika gereza lenye ulinzi mkali la Kobar, lililoko mjini Khatoum nchini humo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa, al-Bashir aliyeng’olewa madarakani na jeshi, amewekwa katika chumba cha peke yake huku kukiwa na ulinzi mkali, baada ya kukamatwa jana tarehe 16 Aprili 2019.

Familia ya al-Bashir imethibitisha taarifa ya kukamatwa kwake rais huyo aliyeiongoza Sudan kwa miaka 30, ikisema kwmaba alikamatwa akiwa nyumbani kwake.

Kabla ya kukamatwa, al-Bashir aliwekwa kizuizini na jeshi akiwa nyumbani kwake tangu alipopinduliwa tarehe 11 Aprili 2019.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Mkutano wa Quad Hiroshima waibuka na kutafuta amani na ustawi wa Indo-Pacific

Spread the love  JITIHADA za mazungumzo ya Pande Nne (Quad), hazikuthaminiwa na...

KimataifaTangulizi

Mtuhumiwa wa mauaji ya halaiki ya Rwanda akamatwa Afrika Kusini

Spread the love  MMOJA wa watuhumiwa wakuu wa mauaji ya Kimbari ya...

Kimataifa

Kiwango cha ukosefu wa ajira nchini China chaongezeka

Spread the love  WAKATI kiwango cha ukosefu wa ajira kwa vijana nchini...

Kimataifa

Kampuni za kigeni zahofia kuendelea na biashara China

Spread the love OPERESHENI ya kiuchunguzi inayofanywa na Serikali ya China kwa...

error: Content is protected !!