Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Omar al-Bashir aanza kusulubiwa
Kimataifa

Omar al-Bashir aanza kusulubiwa

Omar al-Bashir
Spread the love

ALIYEKUWA Rais wa Sudan, Omar al-Bashir ameanza kusulubiwa, Jeshi la nchi hiyo limempeleka katika gereza lenye ulinzi mkali la Kobar, lililoko mjini Khatoum nchini humo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa, al-Bashir aliyeng’olewa madarakani na jeshi, amewekwa katika chumba cha peke yake huku kukiwa na ulinzi mkali, baada ya kukamatwa jana tarehe 16 Aprili 2019.

Familia ya al-Bashir imethibitisha taarifa ya kukamatwa kwake rais huyo aliyeiongoza Sudan kwa miaka 30, ikisema kwmaba alikamatwa akiwa nyumbani kwake.

Kabla ya kukamatwa, al-Bashir aliwekwa kizuizini na jeshi akiwa nyumbani kwake tangu alipopinduliwa tarehe 11 Aprili 2019.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!