Friday , 29 September 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Mfalme wa Japan ang’atuka mwenyewe
Kimataifa

Mfalme wa Japan ang’atuka mwenyewe

Mfalme wa Japan, Akihito
Spread the love

MFALME wa Japan, Akihito (85) ameng’atuka katika wadhifa huo baada ya kutawala kwa miongo mitatu, kutokana na kusumbuliwa na maradhi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Mfalme Akihito ameachia ngazi jana tarehe 30 Aprili 2019 na nafasi yake kuchukuliwa na mtoto wake, Naruhito.

Mfalme mpya, Naruhito anayetarajiwa kukasimishwa mamlaka ya ufalme leo Jumatano tarehe 1 Mei 2019, anaanza majukumu yake rasmi kwa mujibu wa katiba na sheria za Japan.  

Mfalme Naruhito wakati akiapa, aliahidi kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa katiba na sheria za taifa hilo.

Mfalme aliyemaliza muda wake, Akihito alishukuru wananchi wa Japan  na kuwahimiza kuendelea kuienzi amani.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Wadukuzi wa Kichana waiba barua pepe 60,000 za Serikali ya Marekani

Spread the loveWADUKUZI wa kichana wamedukua barua pepe 60000 serikali ya Marekani...

Kimataifa

Mahakama yamkuta na hatia Donald Trump

Spread the love  ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, amekutwa na hatia...

Kimataifa

Harusi yageuka msiba 100 wakifariki kwa ajali ya moto

Spread the love  WATU takribani 100, akiwemo bibi na bwana harusi, wamefariki...

Kimataifa

Kampuni ya mali ya China Oceanwide yapata agizo la kufilisiwa huko Bermuda

Spread the love  MAHAKAMA ya Bermuda imetoa amri ya kufilisiwa kwa Kamapuni...

error: Content is protected !!