Saturday , 18 May 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Mkuu, Spika Ndugai wataka DPP, Takukuru watende haki

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amemshauri Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Sylvester Mwakitalu, aanze majukumu yake mapya kwa kuyapatia ufumbuzi malalamiko...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai ataka Ma-RC wabanwe

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameshauri wakuu wa mikoa (RC), wawajibishwe mikoa yao inapofanya vibaya katika usimamizi wa masuala ya...

MichezoTangulizi

Waziri Bashungwa: Simba ni Timu ya Taifa

  WAZIRI wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo innocent Bashungwa amewataka watanzania kwa pamoja kuinga mkono klabu ya Simba kwenye mchezo wa marudiano...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika awakabidhi Bawacha zigo la katiba mpya, tume huru

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), nchini Tanzania, limepewa jukumu la kupigania upatikanaji wa katiba mpya na tume...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awaapisha majaji 28, Biswalo…

  LICHA ya kelele kutoka kwa baadhi ya wanasiasa wa upinzani na wanaharakati nchini Tanzania, kupinga uteuzi wa Biswalo Mganga, kuwa Jaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kiwanga ashindwa kumrithi Mdee, Sharifa achukua mikoba

  SUSAN Kiwanga na wenzake wawili, wameshindwa kurithi nafasi ya Halima Mdee ya Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na...

Habari za SiasaTangulizi

Manabii wa uongo wachongewa bungeni, Naibu Spika aingilia kati

  MBUNGE wa Konde, Zanzibar (ACT-Wazalendo), Khatibu Said Haji, amehoji Serikali inachukua hatua gani, kuwadhibiti manabii wa uongo na waganga wapiga ramli chonganishi...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yatetea majimbo Buhigwe, Mubambwe

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefanikiwa kutetea majimbo ya Buhigwe na Muhambwe mkoani Kigoma, baada ya kushinda kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika jana Jumapili,...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Buhigwe, Muhambwe: ACT-Wazalendo yakubali kushindwa

  LICHA ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kutotangaza matokeo rasmi ya chaguzi mdogo wa Ubunge wa Buhigwe na Muhambwe, mkoani Kigoma,...

MichezoTangulizi

Simba Vs Yanga kukutana Julai 3

  WATANI wa jadi nchini Tanzania, Simba na Yanga, watakutana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, tarehe 3 Julai 2021. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Biswalo asiapishwe na achunguzwe, yeye asema…

  CHAMA Kikuu cha Upizania nchini Tanzania cha Chadema, kimemshauri Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kutomwapisha Biswalo Mganga, kuwa Jaji wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wakili kumfikisha mahakamani DPP Biswalo

  PETER Madeleka, Wakili wa Mahakama Kuu na mmoja wa watu walioshitakiwa kwa ‘utakasishaji fedha’, ameapa kumfikisha mahakamani, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DDP),...

MichezoTangulizi

Kocha Simba: Tunahitaji kuwa bora ili tupate matokeo

  MARA baada ya kukubali kichapo cha mabao 4-0, dhidi ya Kaizer Chiefs kocha mkuu wa kikosi cha Simba Didier Gomes ameonekana kutofurahishwa...

Habari za SiasaTangulizi

RC Mghwira: Asanteni sana K’njaro, nao wampongeza

  ANNA Elisha Mghwira, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro (RC),nchini Tanzania, amewashukuru wananchi wa mkoa huo akisema “nitawakumbuka daima.” Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awang’oa mabosi Takukuru, Bunge

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na Bunge...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua Ma RC, wakuu wa taasisi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Jumamosi, tarehe 15 Mei 2021, amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na watendaji wakuu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata kesi za Masheikh: Sheikh Ponda, BAKWATA waungana

  KATIBU Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, ameungana na Baraza la Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA),...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bakwata: Rais Samia wasamehe masheikh walioko gerezani

  BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limemuomba, Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, awasamehe masheikh walioko mahabusu na gerezani, wakikabiliwa na...

MichezoTangulizi

Rekodi kuipa Simba kiburi dhidi ya Kaizer Chiefs

  KUELEKEA mchezo wa kesho wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs, Simba inapewa nafasi kubwa ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa salamu Eid El Fitri

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatakoa Watanzania wote sherehe njema ya Eid El Fitri. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amsimamisha DC Sabaya, ateua

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baada ya siku 342 gerezani, DPP awafutia mashtaka bosi MSD, mwenzake

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewaachia huru, aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu na Mkurugenzi...

MichezoTangulizi

Karia afunguka sababu za kuarishwa mechi ya Simba na Yanga

  RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), amesema sababu za kiusalama ndiyo zilipelekea kuarishwa kwa mchezo kati ya Simba na...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu achambua uteuzi DPP Mganga kuwa Jaji

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani, Tanzania- Chadema-Bara, Tundu Lissu, amekosoa uamuzi wa Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kumteua...

MichezoTangulizi

Shabiki wa Yanga awekwa Makumbusho ya Taifa

  SHABIKI wa Yanga, Mansur Hussen aliyetembea kwa miguu kutoka Kigoma hadi Dar es Salaam kwa ajili ya kutazama mchezo wa Simba na...

MichezoTangulizi

Man City bingwa mpya EPL

  KLABU ya Manchester City imetangzwa kuwa bingwa mpya wa Ligi Kuu nchini England mara baada ya Manchester United kukubali kichapo cha mabao...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua majaji 28, DPP Biswalo nje, ndani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani saba, amemuongezea muda Jaji wa Mahakama ya Rufani...

MichezoTangulizi

Yanga na Mwadui, Simba na Dodoma Jiji, robo fainali Kombe la Shirikisho

RATIBA ya michuano ya Kombe la Azam Federation CUP (ASFC) nchini Tanzania, hatua ya robo fainali, itashuhudia Yanga ikisafiri kwenda Shinyanga kuwavaa Mwadui...

MichezoTangulizi

Bodi ya Ligi yahairisha tena mechi ya Simba

  MARA baada ya kuahirisha mchezo dhidi ya Yanga bodi ya Ligi Kuu imeahirisha tena mchezo wa Simba dhidi ya Coastal union kutoka...

Habari MchanganyikoTangulizi

MCT, TEF yamwangukia Rais Samia

  BARAZA la Habari Tanzania (MCT) na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limeiomba Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, iondoe sheria zote...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Safari: Ndugai anatumia Katiba ipi?

  PROFSA Abdallah Safari, mmoja wa wananasheria mahiri nchini Tanzania, amesema, hatua ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuendelea kuwakingia kifua wabunge 19,...

MichezoTangulizi

Waziri Mkuu ataka wizara itoe taarifa kuahirishwa mchezo Simba na Yanga

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo kutoa tamko kuhusiana na...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Zitto: Buhigwe msitishwe

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, amewataka wakazi wa Jimbo la Buhigwe, Kigoma wasitishike na watu wanaowashinikiza kuchagua mgombea wa Chama Cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali kuajiri walimu 6,949, wataalamu afya 2,726

SERIKALI imetangaza nafasi za ajira kwa walimu wa shule za msingi na sekondari pamoja na watumishi wa kada mbalimbali za sekta ya afya....

Habari za SiasaTangulizi

Wazee Chadema wamweka mtegoni Rais Samia

BARAZA la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limeishauri  Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, ifanye marekebisho ya Katiba ili nchi...

MichezoTangulizi

Mchezo wa Simba na Yanga waota mbawa

  Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba umeahilishwa kufuatia mkanganyiko wa muda wa kuanza mchezo huo. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar...

MichezoTangulizi

Yanga yaigomea TFF, kuingiza timu saa 11 jioni

  MABINGWA wa Kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam umesema, utaipeleka timu yao katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, muda uliopangwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mzee Mwinyi atimiza miaka 96, kuzindua kitabu chake leo

  MZEE Ali Hassan Mwinyi, Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Tanzania, leo Jumamosi, tarehe 8 Mei 2021, ametimiza miaka 96. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

ATCL yazindua safari Dar- Guangzhou

  SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL), limezindua safari za moja kwa moja za ndege kutoka Dar es Salaam kwenda Guangzhou, nchini China....

HabariHabari MchanganyikoTangulizi

Samia aonya uhalifu Dar, ampa maagizo IGP Sirro

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Inspekta Jenerali wa Polisi nchini humo (IGP), Simon Sirro, akomeshe vitendo vya uhalifu katika Mkoa...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Nitateua yoyote bila kujali chama anachotoka

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema katika serikali yake, atateua mtu yeyote mwenye uwezi kutoka chama chochote cha siasa ili kujenga...

Habari MchanganyikoTangulizi

Barakoa zatawala mkutano Rais Samia, wazee Dar

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekwisha kuwasili ukumbi wa Mliman City, Dar es Salaam, ambapo atazungumza na wazee wa mkoa huo....

MichezoTangulizi

Kocha Simba ahaidi Burudaani dhidi ya Yanga

  KOCHA Msaidizi wa Simba, Seleman Matola amesema kuwa kikosi chake kesho kimepanga kwenda kuonesha burudani kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee, wenzake 18 wamtesa Ndugai

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai analazimika kutoa maelezo ya mara kwa mara kutokana na ‘mashambulizi’ yanayoelekezwa katika kiti chake, kuhusu kushindwa kuwatimua...

MichezoTangulizi

Kocha Yanga: Siwaogopi Simba, awaita mashabiki uwanjani

  WAKATI joto la mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21 kati ya watani wa jadi, Simba dhidi ya Yanga likipamba moto, Kocha...

Habari za SiasaTangulizi

Wenyeviti wa Bunge Tanzania, giza nene

  LICHA ya Kanuni za Bunge la Tanzania, kutaka kuwepo kwa Wenyeviti wa Bunge, mpaka sasa wenyeviti hao hawapo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge Tanzania laweka historia mpya

  KWA mara ya kwanza, kipindi cha maswali kwa waziri mkuu bungeni nchini Tanzania, kimekosa maswali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Dk....

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe azungumzia ziara Rais Samia Kenya “Tanzania tunakusubiri”

  FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania- Chadema, amempongeza Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kwa kauli zenye upatanishi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe akumbuka wema wa Mdee, Zitto Chadema

  FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema, Halima Mdee, Zitto Kabwe na Shaibu Akwilombe ni miongoni mwa watu...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Kenya kuna Uhuru, Tanzania kuna Suluhu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia mazingira mazuri wafanyabiashara wa Kenya na Tanzania, akisema upande mmoja kuna uhuru wa kufanyabiashara na...

error: Content is protected !!