MTENDAJI Mkuu wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Daniel Loya amefariki dunia asubuhi ya leo Jumatano, katika Hospitali ya Lugalo alikokuwa anapatiwa...
By Mwandishi WetuFebruary 10, 2021HALIMA Mdee, mbunge asiye na chama bungeni, amekosoa Mpango wa Maendeleo wa Serikali, kwamba ‘hakuna kitu.’ Anaripoti Mwandshi Wetu, Dodoma…(endelea). Akichangia mpango huo...
By Mwandishi WetuFebruary 10, 2021RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amesema katika siku 100 za uongozi wake, amefanikiwa kuimarisha umoja wa Wazanzibari na kuongeza ukusanyaji mapato....
By Masalu ErastoFebruary 9, 2021KIWANGO kikubwa cha kodi kwa wafanyabiashara, kimesababisha biasharanyingi kufungwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Kauli hiyo imetolewa na Nape Nnauye, Mbunge...
By Mwandishi WetuFebruary 9, 2021KASI ya kutaka Katiba Mpya kabla ya uchaguzi mkuu 2025, imevisukuma vyama vya upinzani kutaka kuungana. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...
By Masalu ErastoFebruary 9, 2021CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema, kimewapeleka wanachama wake wanne bungeni ili wakasimamie ajenda tano za chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....
By Regina MkondeFebruary 9, 2021HUMPHREY Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema mwenyekiti wake Rais John Magufuli hatoongeza...
By Hamisi MgutaFebruary 9, 2021WAKATI Tundu Lissu, Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akieleza chama hicho ‘kujivuwa’ kuwapeleka mahakamani Halima Mdee na wenzake,...
By Hamisi MgutaFebruary 9, 2021HATUA iliyochukuliwa na Rais John Magufuli kuanzisha Mahakama ya Mafisadi mwaka 2016, mahakama hiyo sasa inaanzishwa visiwani Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar...
By Mwandishi WetuFebruary 9, 2021JOSEPH Msukuma, Mbunge wa Shinyanga Vijijini amesema, serikali imekuwa ikiwekeza mabilioni ya fedha katika miradi ambayo haina faida kwa Taifa. Anaripoti Mwamdishi Wetu,...
By Hamisi MgutaFebruary 8, 2021AHADI aliyoitoa Rais wa Tanzania, John Magufuli wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2020, Itigi mkoani Singida, kwamba atajenga barabara za...
By Mwandishi WetuFebruary 8, 2021YUSTINA Rahhi, Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), ameapishwa leo Jumatatu tarehe 8 Februari 2021, kuchukuna nafasi ya Martha Jecha Umbulla aliyefariki dunia tarehe...
By Mwandishi WetuFebruary 8, 2021JOSEPH Butiku, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, ametaka mjadala wa Rais John Magufuli kuongezewa muda wa kutawala, uachwe huru. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeFebruary 6, 2021TUHUMA kwamba Bunge la Tanzania nidhaifu zilizotolewa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), zimepingwa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeFebruary 6, 2021MALALAMIKO kuhusu katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, muungano na masheikh wa Uamsho viliibuka bungeni wakati wa mjadala wa Hotuba ya Rais John...
By Kelvin MwaipunguFebruary 6, 2021TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amebadili mbinu ya kuwakabili Halima Mdee na wenzake 18 kuwazuia kuhudhuria...
By Kelvin MwaipunguFebruary 6, 2021LICHA ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa na wabunge kutoka upinzani, Godbless Lemba ambaye alikuwa Mbunge wa Arusha Mjini...
By Kelvin MwaipunguFebruary 6, 2021DAKTARI Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametetea chama chake kwamba hakijapetea katika misingi ya demokrasia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea)....
By Mwandishi WetuFebruary 6, 2021JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, ametahadharisha wabunge, wasikae kimya vinginevyo watashindwa kurudi bungeni mwaka 2025. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuFebruary 5, 2021SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameshtushwa na gharama kubwa za mashine za kusaidia upumuaji kwa watu wenye tatizo hilo, zinazotolewa...
By Mwandishi WetuFebruary 5, 2021PROF. Abdallah Safari, wakili wa Mahakama Kuu nchini Tanzania na gwiji wa sheria za jinai katika Afrika Mashariki anasema, ni uamuzi sahihi...
By Yusuph KatimbaFebruary 3, 2021CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefanyia mabadiliko makubwa muundo wake wa sektarieti ya Kamati Kuu (CC), kwa lengo la kujipanga ili...
By Masalu ErastoFebruary 3, 2021MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tanzania Bara, Tundu Antipas Lissu, amekosoa hatua ya Spika wa Bunge, Job Ndugai,...
By Danson KaijageFebruary 2, 2021RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameonesha kukerwa na hatua ya Wizara ya Katiba na Sheria, inayoongozwa na Waziri, Dk. Mwigulu Nchemba kwa...
By Mwandishi WetuFebruary 2, 2021WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Mwigulu Nchemba amesema, wizara yake imezungumza na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), kwa ajili...
By Regina MkondeFebruary 2, 2021WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamewakaribisha wabunge kutoka Chama cha ACT-Wazalendo na wale waliotimuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...
By Regina MkondeFebruary 2, 2021RAIS wa Tanzania, John Magufuli amempandisha cheo Jaji Zepharine Galeba, Jaji wa Mahakama Kuu, Kanda ya Musoma kuwa Jaji wa Mahakama ya...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2021PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amemkumbusa Rais wa Tanzania, John Magufuli kutekeleza ahadi yake aliyoitoa Mwaka 2015 ya...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2021MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amepata maambukizi ya virusi hatari vya Corona (Covid 19). Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2021WATUMISHI wa serikali na wale wanaopewa kazi na serikali, wametakiwa kuzifanya kwa ufanisi mkubwa kwa kuwa, Rais John Magufuli atakuwa mkali zaidi...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2021SERIKALI imeeleza kwamba, kutokana na muingiliano na mataifa mengine duniani, haiwezi kuepuka tahadhari juu ya maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti...
By Regina MkondeJanuary 31, 2021RAIS John Magufuli amewaambia wakazi wa Bahi, Dodoma na Tanzania kwa ujumla kwamba, ‘hakuna vya bure.’ Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2021BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), linapanga mkakati mzito unaolenga kumzika kabisa kisiasa, aliyekuwa mwenyekiti wao wa taifa,...
By Masalu ErastoJanuary 31, 2021WIKI mbili zilizopita, Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume, alizungumzia kwa kirefu historia ya Mapinduzi Visiwani. Akakumbusha jinsi mwafaka wa...
By Masalu ErastoJanuary 30, 2021RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameagiza madaktari wanaopangiwa ajira katika hospitali za umma kisha wanakimbilia kwenye hospitali binafsi kwa kigezo cha masilahi...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2021RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amewasisitiza viongozi aliowateua kwenda kwa wananchi kuwasikiliza changamoto walizonazo na kuyatafutia ufumbuzi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar …...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2021SIKU chache kupita baada ya viongozi wa Kanisa Katoliki Tanzania kutoa mwongozo kuhusu kujikinga na maambukizi mapya ya virusi vya corona, Chama...
By Hamisi MgutaJanuary 29, 2021MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Makurumla Manispaa ya Ubungo, Bakari Kimwanga na mwenzake wa Mzimuni Manispaa ya Kinondoni, Manfred Lyoto...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2021CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimekana taarifa kuwa kimekuwa kikipokea ruzuku ya mamilioni ya shilingi kutoka serikalini, tangu kumalizika kwa...
By Regina MkondeJanuary 29, 2021RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amemuagiza Waziri wa Maji, Jumaa Aweso kutowachekea wakandarasi wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Hamisi MgutaJanuary 29, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, vitambulisho vipya vya Wamachinga vilivyofanyiwa maboresho vikiwa na picha ya muhusika na baadhi ya kumbukumbu...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2021MKANG’ANYIKO wa taarifa juu ya virusi hatari vya corona (Covid-19), nchini Tanzania, unazidi kuwaweka wananchi njia panda. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2021RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemsamehe kumfuta kazi, Anderson Msumba, Mkurugenzi wa Halmshauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga aliyetuhumiwa kununua gari kinyume...
By Hamisi MgutaJanuary 28, 2021CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), nchini Tanzania, kimejifungia Visiwani Zanzibar, kuweka mkakati wake wa kisiasa, ili kuweza kukabiliana na Chama Cha Mapinduzi...
By Hamisi MgutaJanuary 28, 2021JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi, ameshauri wananchi kuendelea kuchukua tahadhari ya maambukizi ya virusi...
By Masalu ErastoJanuary 27, 2021RAIS wa Tanzania, John Magufuli amesema, hana mpango wa kuifungia nchi (lock down), kutokana na hofu ya maambukizi ya virusi vya corona...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2021RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, ametangaza msahama wa wafungwa na mahabusu 1,789 wa Ethiopia wanaoshikiliwa katika mahabusu na magereza mbalimbali nchini...
By Mwandishi WetuJanuary 26, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameshiriki mazishi ya Mary Ndugai, dada wa Spika wa Bunge, Job Ndugai. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mpwapwa...
By Mwandishi WetuJanuary 25, 2021KATIKA kuchukua tahadhari dhidi ya kusambaa kwa maambukizo ya virusi vya corona (COVID-19), Sahle – Work Zewde, Rais wa Ethiopia amepimwa joto...
By Hamisi MgutaJanuary 25, 2021MAMA Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Tanzania amesema, amani inatokana na haki. Anaripoti Brightness Boaz … (endelea). Akizungumza wakati wa...
By Masalu ErastoJanuary 24, 2021