Saturday , 4 May 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Rais Ethiopia apimwa joto, ‘apakwa’ vitakasa mikono Chato

  KATIKA kuchukua tahadhari dhidi ya kusambaa kwa maambukizo ya virusi vya corona (COVID-19), Sahle – Work Zewde, Rais wa Ethiopia amepimwa joto...

Habari za Siasa

Mama Samia: Amani inatokana na haki

  MAMA Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Tanzania amesema, amani inatokana na haki. Anaripoti Brightness Boaz … (endelea). Akizungumza wakati wa...

Habari za Siasa

Hawa waripotiwe – Waziri Majaliwa 

  KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania ametaka watu wanaosumbua wawekezaji kwa kuwaongezea gharama, waripotiwe. Anaripoti Mwandishi Wetu, Iringa…(endelea). Na kwamba, wawekezaji hao...

Habari za Siasa

Silinde atembelea shule ya King’ongo-Ubungo, atoa maagizo

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), David Silinde ameagiza halmashauri zote nchini Tanzania, kuhakikisha hakuna mwanafunzi...

Habari za Siasa

Aliyekuwa mgombea udiwani NCCR-Mageuzi atimkia Chadema

ALIYEKUWA mgombea Udiwani wa Saranga Jimbo la Kibamba, Dar es Salaam kupitia NCCR-Mageuzi, Frank Rugwana ametangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari za Siasa

Majaliwa amkabidhi binti mwenye ulemavu nyumba, milioni 18

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameendesha harambee ya papo kwa papo na kuchangisha Sh.18.9 milioni, kati ya hizo, Sh.10 milioni zimetolewa na...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo ‘wakimbilia’ kwa Biden

CHAMA cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kimemsihi Joe Biden, Rais wa Marekani kupingana pia kuchukua hatua dhidi ya mataifa ya Kiafrika yanayokandamiza demokrasia. Anaripoti...

Habari za Siasa

Majaliwa awatangazia neema wakulima wa mkonge

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali itahakikisha changamoto zote zilizokuwa zinawakabili wakulima wa zao la mkonge nchini humo, ikiwemo ya kuibiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif: Maendeleo makubwa yanahitaji muda

MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesihi Wazanzibari kuendelea kustahamili shida kabla ya kutarajia matokeo ya haraka ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mkurugenzi TPA: Nachunguzwa

MHANDISI Deusdedit Kakoko, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari (TPA) amesema, yeye ni miongoni mwa watu wanaochunguzwa katika sakata la kuisababishia hasara serikali....

Habari za Siasa

NEC ‘yajitutumua’ kwa Marekani

TUME ya taifa ya uchaguzi nchini (NEC), imeitaka serikali ya Marekani kueleza, ni  namna gani uchaguzi mkuu uliyopita nchini  Tanzania ulivyoingiliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za Siasa

Pigo CCM, mbunge wake afariki

MARTHA Jachi Umbulla, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 21 Januari 2020....

Habari za SiasaTangulizi

NEC yaivimbia Marekani 

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeitaka Marekani kueleza namna Uchaguzi Mkuu wa Tanzania ulivyoingiliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za Siasa

Zao la mkonge, Majaliwa atoa maagizo

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameziagiza Halmashauri zinazolima mkonge nchini pamoja na wakulima wakubwa wa mkonge, watenge ekari kumi kwa akili ya...

AfyaHabari za Siasa

Waziri Gwajima asimamisha watano Ukerewe

WAZIRI wa Afya nchini Tanzania, Dk. Dorothy Gwajima, amewasimamisha watumishi watano wa Hospitali ya Wilaya ya Nansio Ukerewe jijini Mwanza, kupisha uchunguzi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kampuni ya LZ Nickel yafuatayo nyayo za Barrick

KAMPUNI ya LZ Nickel Limited ya nchini Uingereza, imefuata nyayo za Kampuni ya Madini ya Barrick Gold Corparation, kwa kuingia ubia na Serikali...

Habari za Siasa

Mgodi wa Buzwagi kufufuliwa upya

PAMOJA na mmiliki wa sasa wa mgodi wa dhahabu wa Buzwagi, kampuni ya Acacia  Mining, kutangaza kutaka kufunga mgodi wake, serikali ya Tanzania...

Habari za SiasaTangulizi

‘Kada wa Chadema’ akabidhiwa na CCM kuongoza Kamati ya Bunge ya PAC

HATIMAYE Naghenjwa Kaboyoka, aliyekuwa mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), amerejeshwa tena kuongoza nafasi hiyo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yampa uongozi wa LAAC aliyefukuzwa Chadema

ALIYEKUWA katibu mkuu wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), nchini Tanzania, Grace Tendega, amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Kamati...

Habari za Siasa

Magufuli: Vyuo vya ufundi kujengwa kila mkoa

SERIKALI ya Tanzania, imeahidi kujenga vyuo vya ufundi stadi vitakavyokuwa chini ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), katika kila...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli awaweka mtegoni RC Dar, DC Ubungo na DED

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, ameutaka uongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam, kuhakikisha inamaliza tatizo la wanafunzi wa Shule ya Msingi,...

Habari za Siasa

Magufuli amtumbua kigogo tume ya ardhi

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Matumizi ya Ardhi, Dk. Steven Nindi. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR- Mageuzi yafanya mabadiliko ya uongozi

CHAMA cha NCCR- Magezi, nchini Tanzania, kimefanya mabadiliko makubwa katika uongozi wake wa kitaifa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Katika mabadiliko hayo, Martha Chiomba, ambaye alikuwa...

Habari za Siasa

Ya Lema yamkuta Gambo

MRISHO Gambo, Mbunge wa Arusha Mjini anapiga yowe kwamba, anahujumiwa na baadhi ya viongozi wa Serikali ya Chama Chama Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Hospitali ya Uhuru yapokea wagonjwa wa nje

HOSPITALI ya Uhuru, Dodoma inayojengwa kwa gharama ya Sh. 3.9 Bilioni, imeanza kutoa huduma kwa wagonjwa wa nje. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Kauli hiyo imetolewa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli aeleza corona ilivyo fursa

RAIS John Magufuli amewataka Watanzania, kulima mazao hasa ya chakula, ili kuzisaidia nchi ambazo zinashindwa kulima kutokana na kufungiwa ndani, kujikinga na maambukizi...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwinyi, Maalim Seif ni ‘kazi kazi’ Z’bar

KAZI ya kumwaga sumu ya ubaguzi miongoni mwa Wazanzibari, inayofanywa na Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na makamu wake wa kwanza...

Habari za SiasaTangulizi

‘Tulizeni akili, mtanunua makaburi Dodoma’

JOSEPH Mafuru, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, amewataka wananchi wanaokwenda kununua ardhi jijini humo kutuliza akili, vinginevyo watanunua sehemu zilizotengwa kwa ajili ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia: Katiba mpya ni lazima, hatutapiga magoti

CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania, NCCR-Mageuzi “Katiba Mpya ni takwa la lazima kwa Watanzania, penda usipende.” Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...

Habari za Siasa

Utumbuaji sasa wapiga hodi kwa vikosi vya SMZ

MAOFISA kadhaa wa ngazi ya juu, kutoka vikosi vya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi...

Habari za Siasa

Mhagama ataka ripoti mabaraza ya kazi

JENISTA Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Sera, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu amemwagiza Msajili wa Vyama vya Wafanyakazi na...

Habari za Siasa

Profesa Jay: Mimi ni mbunge nje ya Bunge, Bob Wine… 

JOSEPH Haule, maarufu Profesa Jay amesema, yeye ni mbunge nje ya Bunge. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Amesema hayo leo...

Habari za Siasa

CCM wabanana mbavu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Iringa kimetengeneza utaratibu mpya wa kuwapima madiwani na wabunge wake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Iringa … (endelea). Sasa...

Habari za SiasaTangulizi

JPM amwangukia Maalim Seif

DAKTARI John Magufuli, Rais wa Tanzania amemwomba Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar kumsaidia Dk. Hussein Ali Mwinyi, rais...

Habari za SiasaTangulizi

Alichokisema Rais Mwinyi miaka 57 ya Mapinduzi

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi, amewaomba Wazanzibar kushirikiana na Serikali yake kufanya mageuzi ya kiuchumi, ili kuyaenzi mapinduzi matukufu ya tarehe 12 Januari...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi asamehe wafungwa 49

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi, ametoa msamaha kwa wafungwa 49, waliokuwa wakitumikia magereza ya Unguja na Pemba. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli aizungumzia Chato

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amesema Wilaya ya Chato iliyoko mkoani Geita, ilianza kujengwa na Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli, Nyusi waweka jiwe la msingi hospitali ya Kanda Chato

MARAIS John Magufuli wa Tanzania na Filipe Nyusi wa Msumbiji, wametoa maagizo kwa watendaji wanaosimamia ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif aripoti ofisini kwake, atoa maagizo

MAALIM Seif Sharif Hamad, Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, amewataka watumishi wa ofisi yake, wanakuwa nadhifu kuanzia mavazi mpaka maeneo yao...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru ‘amshambulia’ Mbowe

DAKTARI Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amekinzana na kauli aliyoitoa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari za Siasa

JPM ateta na kigogo wa China, aomba msamaha

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe wa Baraza la Taifa na Waziri wa Mambo ya Nje wa...

Habari za SiasaTangulizi

SUK ni ‘sherehe’ Z’bar

UAMUZI wa Chama cha ACT-Wazalendo kushiriki katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa visiwani Zanzibar (SUK), unaonekana kuwa wa busara. Anaandika Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Upinzani una faida kubwa kwa Nchi – Aman Karume

DK. Aman Abeid Karume, rais mstaafu wa Zanzibar amesema, kukosekana kwa wawakilishi wa vyama vya upinzani bungeni na  Baraza la Wawakilishi, kunachochea Serikali...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif aeleza tiba ajira za ubaguzi Z’bar

MAALIM Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, ameeleza kuanzishwa kwa mfumo mpya wa ajira ikiwa ni hatua za kutibu ubaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Karume, azungumzia muungano wa Maalim Seif na Dk. Mwinyi

RAIS mstaafu wa Zanzibar, Aman Abeid Karume, amesifu hatua ya Maalim Seif Sharif Hamad, kukubali kujiunga katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa visiwani...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Msiogope

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amewataka Watanzania waliosimama na upinzani katika uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2020, wasiogope. Anaripoti Mwamdishi...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: Membe ametupa funzo  

HATUA ya Bernard Membe, aliyekuwa mshauri mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, kukitelekeza chama hicho, imekera viongozi wake. Anaripoti Brigthness Boaz, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Maalim Seif aanza kuwakamua sumu Wazanzibari

MAALIM Self Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, ameeleza athari  zinazotokana na siasa za mivutano. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar …...

Habari za Siasa

Mbatia aanza mwaka kwa maneno mazito

JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi amesema, uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 2020, umelivua nguo Taifa. Anaandika Yusuph Katimba, Dar es Salaam…(endelea). Katika...

Habari za Siasa

Lissu: Tusishiriki tena uchaguzi hadi…

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara nchini Tanzania, Tundu Lissu, amevishauri vyama vya siasa vya upinzani nchini humo, kutoshiriki...

error: Content is protected !!