Thursday , 2 May 2024
Home erasto
1151 Articles151 Comments
Habari Mchanganyiko

Majaliwa ataka Hayati Magufuli aenziwe

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameshauri aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli, aenziwe kwa kutimiza ndoto yake ya uanzishwaji somo...

Habari Mchanganyiko

Mlima Nkongore kumaliza mgogoro wa wananchi, Magereza

  SERIKALI iko katika hatua za mwisho kulifanya eneo la Mlima Nkongore mkoani Mara, kuwa hifadhi ya Taifa. Anaripoti Nasra Bakari, DMC …...

Habari Mchanganyiko

Vigogo Soko la Feri kitanzini

  NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, amesema Vyombo vya Ulinzi na Usalama vinawachunguza baadhi ya viongozi wa Soko la Kimataifa...

Habari Mchanganyiko

Mbunge Nyongo ahoji barabara Maswa-Lalago, serikali yamjibu

  MBUNGE wa Maswa Mashariki (CCM), Stanslaus Nyongo, amehoji lini serikali itaanza ujenzi wa barabara kwa kiwamgo cha lami ya Maswa hadi Lalago....

Habari Mchanganyiko

Mbunge ahoji huduma za afya wazee na watoto, Silinde amjibu

  GRACE Tendega, Mbunge viti maalumu (asiye na chama), ameitaka serikali ya Tanzania, kuona umuhimu wa huduma za afya kwa wazee, watoto na...

Habari za Siasa

Dk. Mpango ataja sifa za kiongozi bora

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amesema, kiongozi yoyote ili aweze kutekeleza majukumu yake ipasavyo lazima awe hodari wa kazi...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika awakabidhi Bawacha zigo la katiba mpya, tume huru

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), nchini Tanzania, limepewa jukumu la kupigania upatikanaji wa katiba mpya na tume...

Habari Mchanganyiko

Wang’aka mauaji mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, IGP…

  WIKI mbili baada ya mauaji ya mtoto mwenye ualbino, mkoani Tabora, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kwa kusirikiana na...

Habari Mchanganyiko

Milioni 500 yatengwa kununua vifaa tiba Mufindi

  SERIKALI ya Tanzania imetenga Sh.500 milioni kwa ajili ya kununua vifaa tiba kwa ajili ya Hospitali ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa....

Habari za Siasa

Mbunge ahoji ubovu barabara za Singida, Serikali yamjibu

  AYSHAROSE Mattenbe, Mbunge viti maalumu (CCM), ameitaka serikali kuona umuhimu wa kuzijenga barabara zinazounganisha jimbo la Singida Kaskazini mkoani humo. Anaripoti Jemima...

Habari za Siasa

Mwakagenda ahoji ubovu barabara, Silinde amjibu

  SOPHIA Mwakagenda, Mbunge viti maalumu (asiye na chama), amehoji lini barabara ya Kiloba Ngugilo yenye urefu wa kilometa saba itajengwa ili kurahisisha...

Habari Mchanganyiko

Maegesho Kayenzi na Kanyinya Kagera kujengwa

  WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanania, imetenga fedha kwa ajili ya kujenga maegesho ya Kayenzi na Kanyinya. Anaripoti Nasra Bakari, DMC...

Habari Mchanganyiko

Serikali yarejesha ununuzi wa mazao kwa vyama vya ushirika

  SERIKALI ya Tanzania imerejesha mfumo wa zamani wa ununuzi wa mazao ya kimkakati, ili kuondoa changamoto za mfumo wa soko huria. Anaripoti...

AfyaHabari za Siasa

Mambo 19 yoliyopendekezwa kuhusu corona Tanzania

  LEO Jumatatu, tarehe 17 Mei 2021, Kamati iliyoundwa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kufanya tathimini ya ugonjwa wa corona (COVID-19),...

Habari Mchanganyiko

Mbunge aomba Serikali iimarishe mawasiliano Igalula

  MBUNGE wa Igalula mkoani Tabora (CCM), Venant Daudi, ameiomba Serikali ipeleke mawasiliano ya simu kwenye vijiji vya jimbo hilo. Anaripoti Jemima Samwel...

Habari Mchanganyiko

Ulaya yafadhili kiwanja cha ndege Sumbawanga

  SERIKALI ya Tanzania, imejikita katika kukamilisha ujenzi wa kiwanja cha ndege cha Sumbawanga kilichopo mkoani Rukwa. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Wamiliki wa nyumba, ardhi ‘wakaidi’ kukiona

  WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeielekeza Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga kuanza kuchukua hatua za kisheria ikiwa ni pamoja...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar yapiga ‘stop’ disko toto

  JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, limepiga marufuku disko toto katika kumbi zote za starehe mkoani humo, wakati wa sherehe...

Habari Mchanganyiko

‘Sheria uhujumu uchumi inatumika kama nyundo’

  PETER Madeleka, Wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania na mtetezi wa haki za binadamu, amedai sheria ya uhujumu uchumi inatumika kama nyundo kwa...

Habari za Siasa

Mwanasheria Bawacha: Spika atimize wajibu wake

  MHAZINI wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), katika jimbo la Kawe, Esther Dafi amesema, amesikitishwa na upotoshaji...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaanza kukamilisha mfumo wa gesi asilia

  SERIKALI ya Tanzania, kupitia Shirika la Petroli Tanzania (TPDC) linaendelea na kazi ya ujenzi wa miundombinu ya kusambaza gesi asilia katika mikoa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Bilioni 9.8 kujenga Hospitali ya Rufaa mkoa wa Katavi

  SERIKALI ya Tanzania, imetenga kiasi cha Sh. 57 bilioni kwa ajili ya ukamilishaji wa miundombinu ya hospitali za rufaa za mikoa ukiwemo...

Habari Mchanganyiko

Bil 3.61 kutumika ujenzi barabara ya Lumecha – Londo

  SERIKALI imetenga jumla ya Sh. 3.61 bilion kwa ajili ya matengenezo ya barabara ya Lumecha – Londo. Anaripoti Jemima Samwel DMC…(endelea). Kauli...

Habari Mchanganyiko

‘Serikali inatengeneza mazingira wezeshi’

  SERIKALI ya Tanzania, imeendelea kuweka mazingira rafiki na wezeshi kwa sekta binafsi ili iweze kuanzisha na kuendeleza shughuli za viwanda nchini. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaunda kikosi kukabili wanyamapori waharibifu

  SERIKALI ya Tanzania, imeunda kikosi maalum kitachoshirikiana na wadau mbalimbali, kwa ajili ya kudhibiti wanyamapori wakali na wahalibifu katika maeneo yanayozunguka hifadhi....

Habari MchanganyikoTangulizi

Barakoa zatawala mkutano Rais Samia, wazee Dar

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekwisha kuwasili ukumbi wa Mliman City, Dar es Salaam, ambapo atazungumza na wazee wa mkoa huo....

Michezo

Wachezaji Simba, Yanga kufturu wakati wa mchezo

  KUELEKEA mchezo wa watani wa jadi (Simba na Yanga) Shirikisho  la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema kuwa wachezaji wa timu zote mbili...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yaanza kukikuza Kiswahili kimataifa

  SERIKALI ya Tanzania, imenunua vifaa vya kisasa vya mafunzo ya ukalimani kwa vitendo na matumizi ya tehama katika ukuzaji wa Lugha ya...

Elimu

Mbunge ahoji vyuo vya kikanda, Serikali yamjibu

  SERIKALI ya Tanzania, imepanga kuboresha vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu, kwa kukarabati na kujenga miundombinu mipya pamoja na kuongeza...

Habari Mchanganyiko

Mzee miaka 61 akutwa na funguo 83 bandia, misumari 47 Dar

  KAMANDA wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema, wanamshikilia Mzee Said Abdallah (61), baada ya kumkuta akiwa na...

Habari Mchanganyiko

Bara, Z’bar kumaliza utata bei ya umeme

  SERIKALI ya Tanzania na ile ya Zanzibar zitakutana, kujadili na kushughulikia bei ya kuuza na kununua umeme. Anaripoti Jemima Samwel DMC …...

Habari za Siasa

Kampeni Buhigwe: Majaliwa amwaga sera, ahadi

  SERIKALI ya Tanzania, imetenga zaidi ya Sh.1 bilioni kwa ajili ya kuboresha hospitali ya wilaya Kibondo, mkoani Kigoma, ili kuhakikisha wakazi wa...

Habari za Siasa

Serikali yaweka nguvu barabara ya Handeni – Kiteto -Singida

  SERIKALI ya Tanzania, imetenga Sh. 6 Bilioni kwa ajili ya kuanza maandalizi ya ujenzi wa barabara ya Handeni – Kiberashi – Kiteto...

Habari Mchanganyiko

Kero Daraja Mto Buhu kumalizwa

  GHARAMA za ujenzi wa Daraja la Mto Buhu (Munguri B), lililopo Kondoa, mkoani Dodoma, zitaingizwa katika bajeti ya Mwaka wa Fedha 2021/22....

Elimu

Mil 250 kukamilisha zahanati Minyeye, Mnung’una, Msikii

  SERIKALI ya Tanzania, imetenga Sh. 250 milioni kwa ajili ya kukamilisha maboma matano ya Zahanati ya Minyeye, Mnung’una na Msikii katika Wilaya...

Habari za Siasa

Kiwanja cha ndege Manyara kujegwa

  SERIKALI nchini Tanzania, inatarajia kuanza ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Mwada, mkoani Manyara. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea). Kauli hiyo...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia atumbua vigogo watatu, avunja bodi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi watatu na kuivunja Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Posta Tanzania. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Vijana kupatiwa mbinu tete, stadi za maisha

  NUSRAT Hanje, Mbunge wa Viti Maalum asiye na chama bungeni, ameihoji serikali ni kwanini haioni umuhimu wa kurekebisha mfumo wa elimu na...

Habari za Siasa

Watumishi 99 wadai milioni 300, Silinde atoa maagizo

  NASHON Bidyanguze, Mbunge wa Kigoma Kusini (CCM), amehoji lini watumishi waliohamishiwa halmashauri ya Uvinza kutoka Kigoma Vijijini watalipwa stahiki zao. Anaripoti Jemima...

Elimu

Bilioni 7.15 kutatua tatizo la madawati shule za msingi

  SERIKALI ya Tanzania, imetenga Sh.7.15 bilioni, kwa ajili ya kutengeneza madawati 710,000 kwa mwaka wa fedha 2021/2022 yatakayotumika shule za msingi. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Serikali kujenga mabwawa 88

  BWAWA la Choma cha Nkola lipo katika Kijiji cha Choma, Kata ya Choma iliyopo Wilaya ya Igunga, Tabora lina uwezo wa kutunza...

Habari za Siasa

Serikali kununua vifaa tiba vya Mil 500 Busega

  SERIKALI imetenga Sh. 500 Milioni kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba katika Hospitali ya Busega, Simiyu. Anaripoti Jemima Samwel DMC …...

Habari za Siasa

Mbunge CCM alia ukata vituo vya Afya Segerea

  BONNA Kamoli, Mbunge wa Segerea, jijini Dar es Salaam (CCM), ameihoji Serikali, lini itaongeza vituo vya afya katika jimbo hilo, ili kuondoa...

Habari za Siasa

Tumieni mbinu mbadala kujilinda na wanyamapori- Serikali

  WIZARA ya Maliasili na Utalii nchini Tanzania, imewahimiza wananchi walio karibu na hifadhi za wanyamapori, kutumia mbinu mbadala ili kuwadhibiti wasiingie kwenye...

Habari za Siasa

Bilioni 8.4 zatengwa ujenzi mifereji ya maji Mbweni

  SERIKALI ya Tanzania, imetenga Sh.8.4 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa mirefeji ya maji katika maeneo ya Mbweni mkoani Dar es Salaam....

Habari za Siasa

Waziri Aweso awatumia salamu wahandisi, wakandarasi

  WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amewataka wahandisi na wakandarasi kujiandaa na mabadiliko yatakayofanyika yenye lengo la kuboresha ufanisi. Anaripoti Jemima Samwel, DMC...

Afya

Bilioni 57 kuboresha hospitali za rufaa Tanzania

  SERIKALI imetenga Sh.57 Bilioni kwa ajili ya ukamilishaji wa miundombinu ya Hospitali za Rufaa za Mikoa, ikiwemo ya Mawenzi, mkoani Kilimanjaro. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Vijiji vyote kufikishiwa umeme Desemba 2022

  SERIKALI ya Tanzania, imesisitiza ifikapo Desemba 2022, vijiji vyote vya Tanzania Bara, vitakuwa vimefikishiwa umeme na Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Anaripoti...

Habari za Siasa

Rais Samia aendelea kuteua viongozi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea). Uteuzi huo, umetangazwa jana Alhamisi,...

Habari za Siasa

Mbunge CCM aomba hospitali, serikali yamjibu

  JAFARI Chege, Mbunge wa Rorya (CCM), mkoani Mara, amehoji serikali lini itakipandisha hadhi kituo cha afya Kinesi kinachohudumia vijiji 27 ili kiwe...

error: Content is protected !!