Thursday , 2 May 2024
Home erasto
1151 Articles151 Comments
Habari za Siasa

Mbunge Mnzava ahoji wahitimu kutoajiriwa

  MBUNGE wa Viti Maalumu (CCM), Christine Mnzava, ameihoji serikali juu ya kutokuwatumia vizuri wanafunzi wanaohitimu shahada ya sayansi ya menejimenti ya uhandisi...

Habari za Siasa

Mdee, wenzake wachongewa kwa Rais Samia

  UONGOZI wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), umemuomba Rais Samia Suluhu Hasani kuwafukuza wabunge waliopo bungeni bila...

Habari za Siasa

Rais Samia awahakikishia China mazingira mazuri ya biashara

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wafanyabiashara wa China kuandaa mazingira mazuri ya biashara nchini. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea)....

AfyaHabari za Siasa

Bil 14 kujenga hospitali 28

  SERIKALI imetenga Sh. 14 Bilioni kwa ajili ya kuanza ujenzi wa hospitali mpya 28, ikiwepo Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga...

Habari za Siasa

Hatma wateja FBME bado njia panda

  WATEJA wa Benki ya Biashara ya FBME, wameshindwa kulipwa fedha zao kwa haraka kutokana na kutokukamilika kwa taratibu za kisheria. Anaripoti Jemima...

Habari za Siasa

Barabara za Ikungi kuwekwa lami

  SERIKALI imepanga kufanya usanifu na thathmini ya gharama za ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami katika Mji wa Ikungi. Anaripoti Jemima...

Habari za Siasa

Barabara Kibena – Lupembe yatengewa Bil 5.96

  SERIKALI ya Tanzania imetenga jumla ya Sh. 5.96 Bilioni, kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara ya Kibena –Lupembe, mkoani Njombe. Anaripoti...

AfyaHabari za Siasa

Tamisemi: Hospitali Biharamulo ilitengewa Mil 500

  HALIMASHAURI ya Wilaya ya Biharamulo, Kagera ilipatiwa kiasi cha Sh. 500 Milioni katika mwaka wa fedha 2019\20 kwa ajili ya kuanza ujenzi...

Habari za Siasa

Rais Samia, Spika Ndugai wateta Ikulu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo na Spika wa Bunge la nchi hiyo, Job Ndugai. Anaripoti Matilda Peter, Dodoma …...

Habari za Siasa

DED Sengerema asimamishwa kazi

  MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Magesa Mafuru, amesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za miradi...

Habari za Siasa

Majaliwa atoa msimamo uendelezaji Dodoma

  WAZIRI Mkuu wa Tanzanua, Kassim Majaliwa amewatoa hofu Watanzania kuhusu kuendelezwa kwa Makao Makuu ya nchi Dodoma akisema, Serikali imeweka mfumo mzuri...

Habari MchanganyikoTangulizi

Zitto, Fatma Karume wazungumzia ushindi wa Dk. Hoseah TLS

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amemshauri Rais Mteule wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Dk. Edward Hoseah, kuwaunganisha mawakili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali, TLS kukaa meza moja

  Serikali ya Tanzania imewaita mezani viongozi wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kwa ajili ya kujadili namna ya kuimarisha mahusiano ya...

Makala & Uchambuzi

Askofu Dk. Bagonza: TLS imara ni Hoseah

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk. Benson Bagonza, amekitaka Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS),...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba: Rais Samia alenge Tuzo ya Mo Ibrahim

  PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan, katika utawala wake kulenga Tuzo ya Mo Ibrahim....

Tangulizi

Fukuto lapanda uchaguzi TLS

  CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kinatarajia kufanya uchaguzi wa viongozi wa Kanda na Umoja wa Vijana Wanasheria. Anaripoti Regina Mkonde, Arusha …...

Habari za SiasaTangulizi

Ripoti ya CAG yamkaanga Dk. Kigwangalla

  RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kwa mwaka wa fedha wa 2019/2020, imemuweka matatani aliyekuwa Waziri wa...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwigulu ataja sababu ongezeko deni la Taifa

  WAZIRI wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, ametoa sababu ya kuongezeka kwa deni la taifa, kutoka Sh.54.8 trilioni mwaka...

Kimataifa

Wafungwa 1,800 watoroka jela

VIONGOZI wa magereza nchini Nigeria, wameeleza jumla ya wafungwa 1,800 wametoroka jela baada ya watu wenye silaha kuvamia gereza la Owerri, kusini mwa...

Habari za Siasa

UVCCM wawaangukia Watanzania, wataka yaishe

  UMOJA wa Vijana wa Chama tawala Tanzania (UVCCM), umewaomba radhi Watanzania kwa kauli na matendo waliyotoa katika utawala uliopita wa Hayati John...

Habari Mchanganyiko

AU: Magufuli ameitingisha Afrika

  UMOJA wa Afrika (AU) umesema, kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, kimelitingisha Bara la Afrika. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Magufuli aacha watoto 7, siri jina la Pombe…

  ALIYEKUWA Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Joseph Magufuli (61), hadi mauti yanamfika saa 12:00 jioni ya Jumatano tarehe 17 Machi 2021,...

Habari za Siasa

Kikwete alivyomzungumzia Magufuli, ampongeza Rais Samia

  RAIS mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema, kifo cha aliyekiwa Rais wa Taifa hilo, Dk. John Pombe Magufuli, kimewashtua wengi nani pigo...

Habari

Dunia yamlilia Dk. Magufuli

  VIONGOZI wa kimataifa wameungana na Watanzania kuomboleza kifo cha Rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam…(endelea). Rais Magufuli...

Habari za Siasa

Jinsi Zitto, Prof. Lipumba wanavyomzungumza JPM

  VYAMA vya Siasa nchini Tanzania vimeungana na viongozi mbalimbali kutoa salamu zao za rambirambi kufuatia kifo cha Rais John Magufuli kilichotokea jana...

Habari za Siasa

Tanzania yakumbwa na msiba mwingine mzito

  JOHN Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anakuwa kiongozi wa tatu wa juu wa taifa hilo, kufariki dunia ndani...

Michezo

Samatta amlilia Rais Magufuli

  NAHODHA wa timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Mbwana Samatta amewaomba wananchi, kushikamana katika kipindi hiki cha majonzi ya kumpoteza, Rais...

Habari za Siasa

Madiwani wakwapuaji waahidiwa kibano

  MAKAMU wa Rais Tanzania, Samia Suluhu Hassani amewaonya tabia ya madiwani kutumia fedha za mifuko ya kuwezesha wananchi kwa ajili ya masilahi...

Habari za Siasa

Mambosasa aonya wanaomzushia Magufuli ugonjwa

  LAZARO Mambosasa, Kamanda wa Jeshi la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, amewataka watu wanaosambaza taarifa, kwamba Rais John Magufuli mgonjwa,...

Habari za SiasaTangulizi

Katibu Mkuu mpya CCM huyu hapa

MJADALA wa nani atakayeshika nafasi ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), umeanza kushika kasi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Kimataifa

Papa Francis atembelea Iraq

  KIONGOZI wa Kanisa Katoliki ulimwenguni, Papa Francis, amepanga ziara ya historia nchini Iraq, kuanzia leo Ijumaa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa...

Habari za Siasa

Uchaguzi wa wanawake Chadema waingiliwa

HALIMA James Mdee, mmoja watu “waliodekezwa” ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), hadi kujigeuza “mungu mtu,” anatajwa kutaka kujimilikisha baraza la...

Habari za Siasa

Waziri Majaliwa aitaka TPA kuongeza umakini

  KASIMU Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania, ameiagiza Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), kuimarisha usimamizi wa mitambo ya mita za upimaji wa mafuta...

Michezo

Monalisa awa msemaji wa Simba Queen

  KLABU ya Simba ya Dar es Salaam nchini Tanzania, imemtangaza muigizaji maarufu nchini humo, Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ kuwa msemaji wa timu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Mwinyi ateua mrithi wa Maalim Seif

  RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi, amemteua Othuman Masoud Othuman wa ACT-Wazalendo kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais visiwani humo, kuchukua nafasi ya...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Uholanzi, Uturuki ‘waingia’ vitani

  BUNGE nchini Uholanzi, limepitisha muswaada unaoelekeza serikali ya nchi hiyo, kuyatambua mauaji ya Waarmenia, yaliyofanyika wakati wa Vita vya Kwanza vya Dunia,...

AfyaTangulizi

COVID-19: Serikali yaja na mambo manane

  WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeeleza mambo manane yanayoweza kumsaidia Mtanzania kujilinda na magonjwa ya kuambukizwa ikiwemo...

Afya

Tanzania yang’ang’aniwa kutoa takwimu za Corona

  SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limeitaka serikali ya Tanzania kutoa takwimu za maambukizi ya virusi vya Covid 19, ili kuwezesha kujulikana idadi...

ElimuHabari Mchanganyiko

Jinsi Prof. Bisandu wa Chuo Kikuu anavyowindwa

  HATUA ya Profesa Elifas Bisanda, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria (OUT), kutoa waraka wa tahadhari ya maambukizi ya corona, imemuingiza matatani...

Habari za Siasa

Siku 100 za Dk. Mwinyi madarakani

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amesema katika siku 100 za uongozi wake, amefanikiwa kuimarisha umoja wa Wazanzibari na kuongeza ukusanyaji mapato....

Habari za SiasaTangulizi

Moto Katiba Mpya wachipuka upinzani

  KASI ya kutaka Katiba Mpya kabla ya uchaguzi mkuu 2025, imevisukuma vyama vya upinzani kutaka kuungana. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kupangua wakurugenzi makao makuu

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefanyia mabadiliko makubwa muundo wake wa sektarieti ya Kamati Kuu (CC), kwa lengo la kujipanga ili...

Habari Mchanganyiko

Uagizaji magari, TBS yatoa mwongozo

  SHIRIKA la Viwango Tanzanianchini (TBS), limeeleza linatengeneza mfumo imara ili kuhakikisha, magari yote yatakayoingizwa nchini yanakuwa na viwango stahili. Anaripoti Brightness Boaz,...

Habari za SiasaTangulizi

Bawacha wajipanga ‘kuwazika’ Mdee na wenzake

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), linapanga mkakati mzito unaolenga kumzika kabisa kisiasa, aliyekuwa mwenyekiti wao wa taifa,...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi unaoaminika, hauwezi kusimamiwa na wanaotiliwa shaka – Dk. Amani Karume

  WIKI mbili zilizopita, Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume, alizungumzia kwa kirefu historia ya Mapinduzi Visiwani. Akakumbusha jinsi mwafaka wa...

Afya

Waziri Gwajima aanza safari kuukabili ukatili

  WIZARA ya Afya nchini Tanzania, imetaka wananchi wanaokabiliwa na vitendo vya kikatili kwenye familia/nyumba zao, kuwasiliana na maofisa wa wizara hiyo moja...

Michezo

Diamond: Nalipwa milioni 220 kwa mwezi

  MSANII wa muziki nchini Tanzania, Naseeb Abdul maarufu ‘Diamond Platnum’ amesema, kiwango cha fedha anachoingiza kwa mwezi, kutokana na mikataba mbalimbali ya...

Habari Mchanganyiko

Tukikukamata tutakutandika faini – DED Temeke

  MTU yeyote atakayekamatwa akitupa takataka katika Mamispaa ya Temeke, jijini Dar es Salaam, atatozwa faini.Anaripoti Brightness Boaz, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za Siasa

Mbatia: Tuchukue tahadhari ya corona

  JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi, ameshauri wananchi kuendelea kuchukua tahadhari ya maambukizi ya virusi...

Habari Mchanganyiko

Watanzania 64 wahukumiwa kulipa milioni 25 au jela mwaka 1

  WATANZANIA 64 wamehukumiwa kulipa faini zaidi ya Sh.25 million au kwenda jela mwaka mmoja kwa kosa la kwenda nje ya nchi bila...

error: Content is protected !!