Monday , 5 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Mzee miaka 61 akutwa na funguo 83 bandia, misumari 47 Dar
Habari Mchanganyiko

Mzee miaka 61 akutwa na funguo 83 bandia, misumari 47 Dar

Dk. Lazaro Mambosasa
Spread the love

 

KAMANDA wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema, wanamshikilia Mzee Said Abdallah (61), baada ya kumkuta akiwa na funguo bandia 83, misumari ya aina mbalimbali 47 anazodaiwa kutumia kwa wizi. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea).

Akizungumza na waandishi wa habari, leo Alhamisi, tarehe 6 Mei 2021, Mambosasa amesema, Mzee huyo, anatuhumiwa kwa wizi kwenye Maghala na maduka kwa kutumia funguo bandia.

Amesema, Mzee huyo Mkazi wa Mbagala Kilungule, alikamatwa tarehe 04 Mei 2021, huko Mbagala Kilungule akiwa na funguo bandia 83, misumari ya aina mbalimbali 47 ambayo ni malighafi za kutengenezea funguo bandia.

“Mtuhumiwa alihojiwa na kukiri kufanya uhalifu tangu mwaka 2013 maeneo mbalimbali ya Jiji kwa kutumia funguo bandia,” amesema Mambosasa

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Tunduma watenga 60 milioni kujenga machinjio ya kisasa

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma Imetenga kiasi cha Tshs Miloni 60...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 17 kujenga bandari kavu Tunduma

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma iliyopo wilayani  Momba mkoani Songwe imepatiwa...

Habari Mchanganyiko

Bandari ya Kigoma kuongezewa uwezo wa kutoa huduma zake

Spread the love  SERIKALI kupitia mamlaka ya Bandari nchini (TPA), imewekeza takribani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kifo cha mwanafunzi UDOM: Tume yamsafisha naibu waziri

Spread the loveTUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini (THBUB),...

error: Content is protected !!