WIZARA ya Afya imeanzisha kamati za kusimamia uadilifu ili kupunguza malalamiko ya wateja kwenye Hospitali ya Taifa, Hospitali Maalumu, hospitali za rufaa, za...
By Gabriel MushiSeptember 26, 2022CHUO cha Mafunzo Zanzibar, pamoja na wadau mbalimbali ikiwemo na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), kimekamilisha mchakato wa kupokea...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2022PADRI wa Kanisa Katoliki Parokia Teule ya Mtakatifu Deonis Aropagita, Jimbo la Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, Sostenes Bahati Soka amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2022MKUU wa mkoa wa Mwanza, Adam Malima, amesema Serikali imeingia kwenye makubaliano na kampuni ya OA Coal ambayo itajenga mgodi wa pili kwa...
By Masalu ErastoSeptember 26, 2022BIBI wa miaka 85 Tumu Haji Mbonde, anahofia kuporwa ardhi yake ya hekari tano iliyoko kijiji cha Mgomba Kaskazini, wilayani Ikwiriri mkoa wa...
By Regina MkondeSeptember 26, 2022Kwa mwaka wa pili mfululizo, Benki ya NMB imeshinda tuzo ya benki kiongozi wa kuwahudumia wateja binafsi nchini kutokana na ubora wa...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2022SERIKALI imepongeza shule ambazo hazina kawaida ya kuchuja wanafunzi unapofikia muda wa mitihani ya kitaifa iiwemo St Anne Marie Academy . Mwandishi...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2022IKIWA ni siku moja tangu kupinduliwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, leo amekutana na zengwe jingine baada ya kuzuiwa kufanya...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2022MKUTANO Mkuu wa dharura wa Chama cha NCCR -Mageuzi uliofanyika leo tarehe 24 Septemba, 2022 umemtimua aliyekuwa mwenyekiti wa Chama hicho, James Mbatia...
By Gabriel MushiSeptember 24, 2022MAKAMU Mwenyekiti Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Massoud Othman amewataka wanachama kuimarisha chama chao ili kuwa imara zaidi hatimae kuibuka na ushindi katika...
By Mwandishi WetuSeptember 24, 2022LICHA ya Mahakama Kuu Masjala ya Dar es Salaam kuweka amri ya zuio la muda la kutofanyika kwa mikutano ya Chama cha...
By Faki SosiSeptember 24, 2022RAIS wa Benki ya Dunia, David Malpass amesema kwamba hatajiuzulu kutokana ukosoaji dhidi ya matamshi yake aliyoyatoa kuhusiana na mabadiliko ya tabianchi....
By Mwandishi WetuSeptember 24, 2022JESHI la Polisi nchini, limewakamata watu 167 kwa tuhuma mbalimbali, ikiwemo kuvunja nyumba za raia, kujeruhi na kuiba mali. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeSeptember 24, 2022INAELEZWA kuwa kuna mzozo wa kwa nchi wanachama wa SCO unatokana na kuteteleka na kushindwa kufanya mkutano wa pamoja wa kujadili tishio...
By Mwandishi MaalumSeptember 24, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametakiwa kuingilia kati mgogoro wa kiongozi uliobuka ndani ya Chama cha NCCR-Mageuzi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2022SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, ameitaka Serikali iweke utaratibu mzuri wa kusimamia mifuko ya hifadhi ya jamii, ili iwabane waajiri wasiowasilisha michango...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameahirisha shughuli za Bunge hadi tarehe 1 Novemba 2022,zitakaporejea. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Majaliwa ameahirisha...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2022SERIKALI ya Tanzania, imeendelea kusisitiza kuwa, ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), litakalosafirisha nishati hiyo kutoka Hoima nchini Uganda,...
By Regina MkondeSeptember 23, 2022SERIKALI ya Tanzania imewasilisha na kusoma mara ya kwanza miswada ya sheria mbalimbali, ikiwemo Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote na Sheria...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2022SERIKALI ya Tanzania imewasilisha Muswada wa Sheria ya Uwekezaji, uliosomwa kwa mara ya kwanza Bungeni wenye malengo mbalimbali ikiwemo kufuta Sheria ya Uwekezaji...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2022WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amesema mashauri ya kikodi ya Sh 360 trilioni yalifutwa kufuatia makubaliano ya Serikali na kampuni...
By Jonas MushiSeptember 23, 2022BENKI ya NMB imetoa udhamini wa Sh. milioni 25 kwa Mashindano ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi Tanzania (NMB CDF Trophy 2022), kama...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022WIKI moja kabla ya kufanyika ya mbio za hisani za NMB Marathon ‘Mwendo wa Upendo,’ Benki ya NMB inayoandaa mbio hizo imetangaza wadhamini...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022IKIWA kawa sasa Ligi Kuu Tanzania Bara, imesimama kwa baadhi ya timu ili kupisha michezo ya kimataifa kwenye kalenda ya Shirikisho la...
By Masalu ErastoSeptember 22, 2022BUNGE la Tanzania limepitisha muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali za fedha wa 2022, wenye lengo la kurekebisha sheria zinazosimamia kodi na mrabaha,...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022MSHAMBULIAJI wa klabu ya Yanga, Fiston Kalala Mayele ameonekana kutokuwa na wasiwasi na mchezo ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya...
By Masalu ErastoSeptember 22, 2022MKURUGENZI mpya wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC), Keneth Weston, amefanya mazungumzo na Mtandao wa Watetezi wa Haki za...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amewataka wabunge tisa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), kusimamia maslahi ya Tanzania pamoja na...
By Regina MkondeSeptember 22, 2022SERIKALI imewataka wananchi wanaofanya biashara ya mkaa kufuata sheria, kanuni na taratibu kwa kuwa kumekuwepo na wimbi la uvunaji wa mazao ya misitu,...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022MBUNGE wa Geita Mjini, Joseph Kasheku ‘Msukuma’, ameibua vicheko bungeni, huku baadhi ya wabunge wakimtunza fedha, kufuatia hatua yake ya kumuuliza swali Mhandisi...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022JESHI la Polisi mkoani Arusha limemkamata, Benson Emmanuel (28), akisafirisha shehena ya madawa ya kulevya aina ya mirungu yenye uzito wa kilo 158.5...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, ‘ameteka’ uchaguzi wa wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, kufuatia hotuba yake na...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022MBUNGE wa Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, ameitaka Serikali iwaruhusu wananchi 90 wa Ubungo Kiswani, waendelee na shughuli zao kama kawaida, baada ya kuchelewa...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022MBUNGE wa Liwale, Zubeir Kuchauka (CCM), amesema Wilaya ya Liwale mkoani Lindi, haina jengo la Kituo cha Polisi kwa muda miaka 47, badala...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, ameibana Serikali bungeni, kuhusu hatma ya kesi 1,097 za malimbikizo ya kodi yenye thamani ya Sh. 360 trilioni...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeingia makubaliano na Chuo Kikuu cha Western Kentucky cha Marekani (WKU) kwa ajili ya...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2022CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimesema chama chochote cha cha siasa chenye shauku ya kuvunja Muungano au viongozi wake wakipania kuligawa Taifa huo si ushujaa...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2022BAADHI ya wananchi wa Mtaa wa Vikawe Shule, Kata ya Pangani, Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani wamemuomba Waziri wa Maji, Jumaa Aweso kuingilia...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022KILA mtu ana kipaji chake alichozaliwa nacho hapa duniani. Shida tunayokutana nayo ni namna ya kukivumbua kipaji hicho ili kiwe sehemu ya maisha...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022NI KASHFA! Ndivyo unavyoweza kuelezea kile kilichojiri mkoani Kilimanjaro katika Manispaa ya Moshi mjini ambapo madiwani wa Kata nne za manispaa hiyo, wamedaiwa...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Eliezer Feleshi, amesema mwaka huu wataanzisha chama cha mawakili wa umma Tanzania (public bar association) ili kukuza kiwango na...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022KUFUATIA mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchi jirani ya Uganda, Serikali ya Tanzania imewaondoa hofu wananchi wake kwa kueleza kuwa hakuna kisa hata...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na mwenzake wa Msumbiji, Filipe Nyusi wamekubaliana kushirikiana katika eneo la ulinzi na usalama ili kuondokana na...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Rukwa, Rainer Lukala, anadaiwa kumtwanga ngumi Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM)...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Sheria ndogo, Jasson Rweikiza amesema baadhi ya kanuni za sheria ndogo zilizotungwa na kutumiwa Mamlaka ya Udhibiti...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022BAADA ya kufanikiwa kuishawishi Serikali kwa hoja yake ya kutaka kuwepo kwa tozo za miamala ili kuongeza mapato, Naibu Spika na Mbunge wa...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022MSANII maarufu wa muziki wa Pop, Netta amemshirikisha staa mkubwa wa muziki wa Nigeria, Mr Eazi katika ngoma mpya ya Playground Politica ambayo...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita na Halmashauri ya Mji wa Geita...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mashindano ya mbio za NMB Marathon 2022 yanayotarajiwa kufanyika Oktoba mosi katika viwanja vya...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022MSEMAJI Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari nchini, unaendelea na kwamba umefikia...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022