Tuesday , 21 May 2024

Month: September 2022

Habari Mchanganyiko

Ujenzi wa madaraja ya mawe kuwanufaisha wananchi Hai

UJENZI wa madaraja ya upinde wa mawe (stone arch bridges) ya Mkalama–Kikavuchini, Ngira na Kisereni unaotekelezwa katika wilaya ya Hai, unatarajiwa kuondoa kero...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Wizara afya fanyeni tathmini hali ya Uviko-19

RAIS Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Afya kufanya tathmini ya hali ya ugonjwa wa Uviko-19 nchini na kutoa utaratibu kama watu waendelee...

Habari Mchanganyiko

TARURA Siha waagizwa kukamilisha ujenzi wa barabara Sanya juu

MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amewaagiza Meneja wa TARURA Mkoa wa Kilimanjaro pamoja na meneja...

Habari Mchanganyiko

Barabara za TARURA zawakomboa wananchi Hai

IMEELEZWA kuwa ujenzi wa barabara za Makoa Darajani-Mferejini (7.3 KM) na Kwasadala -Longoi (6.0 KM) kwa kiwango cha changarawe umeleta faraja kwa wananchi...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yakubali kusikiliza mapingamizi ya akina Mdee

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeamua kusikiliza mapingamizi yaliyowasilishwa mahakamani hapo na Mawakili wa Mbunge wa viti Maalum (Chadema), Halima Mdee...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watano wafariki, 54 wajeruhiwa ajali ya basi Shinyanga

  WATU watano wamepoteza maisha huku 54 wakijeruhiwa Katika ajali ya Basi lililogongana na Fuso  uso kwa uso eneo la Ibadakuli Manispaa ya...

Habari Mchanganyiko

Vijana 150 wapigwa msasa kuimarisha biashara

TAASISI ya Jakaya Mrisho Kikwete (JMKF) kwa kushirikiana na Asasi ya Umoja wa Mataifa (UNA) Tanzania na wadau mbalimbali imewakutanisha jumla ya vijana...

Habari Mchanganyiko

Kamishna Makarani wa ZAECA ajiuzulu

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi Zanzibar (ZAECA), Ahmed Khamis Makarani amejiuzulu. Anaripoti Jabir Idrissa, Zanzibar … (endelea)....

Tangulizi

Simba yapata pigo, daktari wao afariki

  Klabu ya soka ya Simba ya Jijini Dar es Salaam leo Septemba 2 2022 imepata pigo baada aliyekuwa daktari wa timu ya...

HabariMichezo

Simba Queen wapewa basi kwa Safari za ndani

  Timu ya Soka ya wanawake ya Simba (Simba Queens) leo  Septemba 2 2022 imepewa basi na kampuni ya  uuzaji wa magari ya...

Habari Mchanganyiko

Wawekezaji Arusha wampongeza Samia ujenzi barabara za TARURA

WAWEKEZAJI na wananchi wa kata ya Themi, Halmashauri ya Jiji la Arusha wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali na kuwajengea kwa kiwango...

Habari za Siasa

Rais Samia azindua kituo kipya cha Polisi Kizimkazi

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo tarehe 2 Septemba, 2022 ameanza ziara visiwani Zanzibar ambapo pamoja na mambo mengine amezindua kituo kipya...

Elimu

UDSM yafadhili walimu 16 kufundisha masomo ya sayansi

CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kupitia Ndaki ya Sayansi Tumizi na Sayansi Asili (CoNAS), kimewezesha wanafunzi 16 waliohitimu masomo ya ualimu...

Kimataifa

Ubalozi wa Marekani nchini Kenya watoa tahadhari kwa raia wake

  UBALOZI wa Marekani nchini Kenya umewataka raia wake kuchukua tahadhari kubwa nchini humo wakati huu ambapo , mahakama ya juu inatarajiwa kutoa...

KimataifaTangulizi

Haya hapa maswali magumu ya Majaji kwa mawakili wa Ruto na IEBC

  KESI ya kupinga uchaguzi wa rais mteule William Ruto katika mahakama ya Juu nchini Kenya leo Ijumaa tarehe 2 Septemba, 2022, imeingia...

Habari za Siasa

Bashungwa: Tozo ni mwarobaini maboresho ya sekta muhimu

  WAZIRI wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) nchini Tanzania, Innocent Bashungwa, amesema tozo za miamala zimekuwa mwarobaini wa kuboresha...

Afya

Waziri Ummy aagiza wakuu wa mikoa, wilaya kusimamia chanjo polio

  WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya nchini kusimamia kikamilifu utekelezaji wa kampeni ya chanjo ya...

Habari za Siasa

Mwigulu atetea tozo licha ya kukiri kusababisha maumivu kwa wananchi

  WAZIRI wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba ametetea tozo zinazotozwa kwenye miamala ya kielekroniki licha ya kukiri kuwa anatambua...

Habari MchanganyikoTangulizi

Udanganyifu, magonjwa yasiyo ya kuambukiza tishio NHIF

  WIZARA ya Afya imeeleza chanzo cha kuelemewa kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF), ni kuongezeka kwa idadi kubwa ya wananchi...

HabariMichezo

Kisinda, Ntibazonkiza wafunga dirisha la usajili Tanzania

  WACHEZAJI wa kimataifa Tuisila Kisinda pamoja na nyota kutoka Burundi Saido Ntibanzokiza wameng’ara dakika za mwisho wakati wa kufungwa kwa dirisha la...

error: Content is protected !!