WAKATI vyombo vya habari vikiripoti kuwa nchi ya Saudi Arabia ipo kwenye maandalizi ya kumpokea Rais wa China Xi Jinping, Waziri wa Mambo...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2022CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema mwitikio wa wadau mbalimbali kuchangia ujenzi wa mabweni ya wasichana katika kampasi yake mkoani Mbeya...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2022BAADA ya kilio cha zaidi ya mwaka mmoja kutoka kwa Watanzania na wadau mbalimbali, hatimaye Serikali imefuta tozo kwenye miamala ya kielektroniki uamuazi...
By Gabriel MushiSeptember 20, 2022BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imekabidhi msaada wa matenki ya maji manne ya ujazo wa lita 40,000 yenye thamani ya zaidi ya...
By Gabriel MushiSeptember 19, 2022BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imekutana na wateja wake wakubwa (Corporates) wa jijini Arusha ili kujadili fursa za biashara, kutambulisha huduma mpya...
By Gabriel MushiSeptember 16, 2022SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameiagiza serikali kuchukua hatua za haraka kudhibiti uhalifu unaoendelea kufanywa na vijana katika mikoa ya Dar...
By Mwandishi WetuSeptember 15, 2022HATIMAYE majaji sita ambao walikuwa wameteuliwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) nchini Kenya mwaka 2019 na majina yao kukataliwa na...
By Masalu ErastoSeptember 14, 2022SERIKALI imeagiza maofisa elimu katika halmashauri zote nchini kusimamia na kutekeleza ipasavyo muongozo wa kuwarejesha shuleni wanafunzi walioacha au kukatishwa masomo kwa...
By Masalu ErastoSeptember 14, 2022WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema jumla ya watoto 14,690,597 wametiwa huduma ya chanjo ya polio ya matone sawa na asilimia 118.6...
By Masalu ErastoSeptember 14, 2022MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) amepinga uanzishwaji wa mahabusu za watuhumiwa wa dawa za kulevya pamoja na masharti ya kumuweka mtu...
By Masalu ErastoSeptember 14, 2022SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, ameshauri mauaji yanayosababishwa na watu wanaojichukulia sheria mkononi kutokana na sababu sambalimbali ikiwemo imani...
By Regina MkondeSeptember 14, 2022WAKATI mataifa kadhaa yanatumia raslimalifedha kubadilisha maji ya chumvi ili kupata maji ya matumizi ya nyumbani, Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali...
By Jabir IdrissaSeptember 14, 2022SERIKALI inaridhishwa na jinsi Benki ya NMB inavyozihudumia tawala za mikoa na serikali za mitaa pamoja na taifa kwa ujumla. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Gabriel MushiSeptember 14, 2022KWA wanaofahamu jinsi serikali inavyofanya kazi, wanaofahamu kutungwa kwa muswada, kufikishwa kwa mswada huo bungeni na hadi kuwa sheria, hakuna shaka kuwa...
By Mwandishi MaalumSeptember 14, 2022MJUMBE wa Kamati ya Utendaji ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Nevile Meena, ameishauri Serikali ikamilishe mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia...
By Mwandishi WetuSeptember 13, 2022KAMATI ya Kitaifa ya Maaskofu na Mashehe ya Maadili Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu Dini nchini imemshauri Rais Samia...
By Mwandishi WetuSeptember 13, 2022WATU 116 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kuvunja nyumba na uporaji wa mali...
By Regina MkondeSeptember 13, 2022MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amezitaka mamlaka za udhibiti kukomesha matumizi ya dawa zisizofaa katika...
By Mwandishi WetuSeptember 13, 2022ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, John Ackland Ramadhani amefariki dunia jana tarehe 12 Septemba, 2022 katika Hospitali ya Taifa...
By Masalu ErastoSeptember 13, 2022SAA chache baada ya kuapishwa kuwa Rais wa tano wa Kenya, Dk. William Ruto ameonekana kuanza kazi kwa kasi ya ajabu, baada...
By Mwandishi WetuSeptember 13, 2022SERIKALI imesema licha ya kuwepo kwa idadi kubwa wa wachezaji wa kigeni katika Ligi Kuu Bara, itaendelea kulishauri Shirikisho la Mpira wa...
By Mwandishi WetuSeptember 13, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemuahidi Rais mpya wa Tano wa Kenya, Dk. William Ruto kufanya kazi kwa kushirikiana kwa karibu katika...
By Gabriel MushiSeptember 13, 2022SAA chache kabla ya kuapishwa kuwa Rais wa tano wa Kenya, Dk. William Ruto ameteta na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ambaye...
By Gabriel MushiSeptember 13, 2022NI rasmi sasa Dk. William Samoei Ruto ndiye Rais wa Tano wa Jamhuri ya Kenya, baada ya kuapishwa leo Jumanne tarehe 13 Septemba,...
By Gabriel MushiSeptember 13, 2022KUFUATIA wimbi la vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi katika vyombo vya usafiri, Mbunge wa Hai (CCM), Saashisha Mafuwe, ameishauri Serikali iweke...
By Gabriel MushiSeptember 13, 2022BAADHI ya wabunge wameihoji Serikali bungeni, kuhusu mikakati yake ya kudhibiti mfumuko wa bei nchini hususa za vyakula. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Maswali...
By Gabriel MushiSeptember 13, 2022SERIKALI ya Tanzania imeombwa kuweka mazingira yatakayowezesha wafungwa na mahabusu kupata haki ya faragha na wenzao wao, ili kutokomeza tabia ya baadhi yao...
By Gabriel MushiSeptember 13, 2022SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Akson leo tarehe 13 Septemba, 2022 amemuapisha Tamima Haji Abass kuwa mbunge...
By Gabriel MushiSeptember 13, 2022MACHO yote leo tarehe 13 Septemba, 2022 yanaelekezwa katika uwanja wa Kimataifa wa Moi, Kasarani Nairobi ambapo ndipo Dk. William Ruto ataapishwa kuwa...
By Gabriel MushiSeptember 13, 2022Mfalme wa Uingereza Charles amelihutubia bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza kama kiongozi wa ufalme. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Alitoa hotuba...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022RAIS mteule William Ruto leo Jumatatu tarehe 12 Septemba, 2022, amekutana na rais anayeondoka madarakani Uhuru Kenyatta katika Ikulu ya Rais Jijini Nairobi....
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022WAZIRI wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji ametoa wito kwa wanawake na vijana kutumia Kongamano la Wanawake na Vijana wa Eneo...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022ILI kuongeza wigo wa biashara miongoni mwa nchi za Afrika, wito umetolewa kwa nchi hizo kuondoa vikwazo visivyo vya kiushuru (NTB’s). Anaripoti Jonas...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022CHAMA cha ACT Wazalendo, kimeitaka Serikali kupitia Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali kufanya ukaguzi maalumu wa matumizi ya fedha za tozo ya...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022WAGOMBEA Ubunge wa Afrika Mashariki kupitia Chama cha Wananchi CUF wamedaiwa kuchezeana rafu baada ya baadhi yao kujipenyeza kwenye makundi ya wabunge na...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022MAARIFA ya asili katika uhifadhi wa misitu, vyanzo vya maji na mazingira yamesaidia jamii ya wafugaji kata ya Enguserosambu wilayani Longido mkoani Arusha...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022MWENYEKITI wa Chama Cha CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amemteua Rashid Sudi Khamis, kuwa Naibu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuna haja ya vijana wa Afrika kuweka msukumo zaidi katika matumizi ya...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022KATIKA jitihada za kuhakikisha jamii inanufaika kutokana na shughuli za uchimbaji dhahabu nchini, wafanyakazi wanawake wa Kampuni ya Geita Gold Mine Limited (GGML)...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022BENKI ya NMB imechangia kiasi cha Sh120 milioni kufanikisha maandalizi na kufanyika mkutano mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Serikali za Mitaa (ALAT)...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia wananchi uwepo wa chakula cha kutosha licha ya mavuno hafifu katika msimu uliopita. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...
By Gabriel MushiSeptember 11, 2022SHERIA ya Bima ya Afya kwa wote inatarajia kupitishwa katika Bunge linaloanza mwezi huu wa Septemba 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo yameezwa leo...
By Gabriel MushiSeptember 11, 2022WAWATA wamlilia Samia njaa, bima ya afya MWENYEKITI wa Wanawake Wakatoliki Taifa (WAWATA), Evelyne Ntenga ameiomba Serikali kuweka mikakati madhubutu itakayowezesha upatikanaji wa...
By Gabriel MushiSeptember 11, 2022SERIKALI imempongeza Mbunge wa Bukoba Vijijini (CCM), Dk. Jasson Rweikiza kwa kuwekeza kwenye elimu na kusaidia jitihada za serikali kuboresha sekta hiyo...
By Kelvin MwaipunguSeptember 11, 2022WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana wamewachagua wagombea nane kati ya 26 watakaokwenda kugombea Ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) tarehe...
By Gabriel MushiSeptember 11, 2022WAKATI dunia ikiomboleza kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza, watumiaji wa mtandao wa Twitter wameibua Tweet ya mganga mmoja matata aliyebashiri...
By Masalu ErastoSeptember 10, 2022WATANI wa jadi Simba na Yanga wameanza vema kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa baada ya kuibuka na ushindi mnono ugenini katika raundi ya...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2022BARAZA la Kukabidhi Mamlaka la Uingereza, limetangaza rasmi mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth II, Charles Philip Arthur George, kuwa mfalme wa...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2022MATAJIRI wa madini, Klabu ya Geita Gold kesho wanatarajia kurusha karata yao ya kwanza katika michuano ya kimataifa kwenye Kombe la Shirikisho Barani...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2022SERIKALI Mkoani Mara imeshangazwa na kitendo cha Wachimbaji wadogo wa madini ya Dhahabu wa Mgodi wa Ilasanilo uliopo Wilayani Butiama Mkoani Mara,...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2022