Wednesday , 1 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Tanzania yachukua tahadhari mlipuko wa Ebola Uganda
Habari Mchanganyiko

Tanzania yachukua tahadhari mlipuko wa Ebola Uganda

Spread the love

KUFUATIA mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchi jirani ya Uganda, Serikali ya Tanzania imewaondoa hofu wananchi wake kwa kueleza kuwa hakuna kisa hata kimoja na imeanza kuchukua hatua za tahadhari. Anaripoti Jonas Mushi…(endelea)

Uganda ilitangaza mlipuko wa Ebola jana tarehe 20 Septemba, 2022, baada ya watu kadhaa kuripotiwa kufariki kwa ugonjwa huo unaosababishwa na kirusi cha Ebola.

Katika taarifa yake kwa umma leo Jumatano tarehe 21, 2022, Naibu Waziri wa Afya wa Tanzania,, Godwin Mollel amesema hadi sasa hakuna mgonjwa wa Ebola nchini humo lakini akawataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo.

Amesema kuwa tayari amewaagiza waganga wakuu wa mikoa na halamashauri nchini humo kuimarisha utoaji eleimu, ufuatiliaji wa ugonjwa huo, uchunguzi w akitaalamu na kuhakikisha upatikanaji wa vifaa tiba na kinga muhimu katika maeneo yao.

“Vilevile nimeagiza kuimarisha uchunguzi wa wageni wanaoingia nchini kupitia mipaka yetu ikiwemo matumizi ya vipima joto,” amesema Mollel.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Habari Mchanganyiko

TMA yapongezwa kuimarisha ubora na usahihi wa taarifa za Hali ya Hewa

Spread the love  WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),...

error: Content is protected !!