Tuesday , 21 May 2024

Month: July 2021

Habari Mchanganyiko

Serikali yaja na mikakati kupeleka mawasiliano mipakani

  SERIKALI ya Tanzania, imeanzisha mikakati ya kumaliza changamoto za mawasiliano, katika maeneo ya pembezoni mwa nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

AfyaTangulizi

Tanzania yakaza masharti kukabili ugonjwa wa Korona

  SERIKALI ya Tanzania, imetoa mwongozo mpya wa kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa korona (UVIKO-19). Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam, … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Tajirika yainua kiuchumi wakulima 2,000

  WAKULIMA 2,176 katika Mkoa  Morogoro, Iringa na Jombe, wamenufaika na mafunzo stadi katika kilimo  na ufugaji, yaliyotolewa kupitia mradi wa Tajirika na...

Michezo

Simba haishikiki, yatwaa tena kombe mbele ya Yanga

BAO la dakika ya 79, lilofungwa na Thadeo Lwanga, lillitosha kuifanya Simba kutetea ubingwa wake wa kombe la Shirikisho (ASFC), dhidi ya Yanga,...

Habari za Siasa

Dk. Hoseah  ajitosa sakata la Mbowe kukamatwa, TLS kutoa msimamo

  RAIS wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Dk. Edward Hoseah, ameiomba Serikali imfikishe mahakamani au imuache huru, Mwenyekiti wa Chama cha...

Habari za Siasa

Dk. Mpango amng’oa mkurugenzi Nanyumbu kwa tuhuma za ubadhirifu

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara, Hamis Dambaya, kupisha...

Michezo

Simba Vs Yanga: Mashabiki kupewa barakoa bure

  CHAMA cha soka Mkoa wa Kigoma nchini Tanzania, kitagawa barakoa bure kwa mashabiki watakaoudhuria mchezo wa fainali kombe la shirikisho utakaowakutanisha Simba...

Michezo

Mtibwa, Coastal zabaki ligi kuu, Waziri Ummy…

  TIMU za Mtibwa Sugar ya Morogoro na Coastal Union ya Tanga zimefanikiwa kubaki Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa msimu ujao wa...

Michezo

Kocha Simba: Sina presha, nimeshawasoma Yanga

  KOCHA wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam nchini Tanzania, Didier Gomes amesema, hana presha kuelekea mchezo wa fainali wa kombe...

Michezo

Azam yawatema wanne wakimataifa, yuko Chirwa

  TIMU ya Azam FC ya Chamanzi Dar es Salaam nchini Tanzania, imetangaza kuachana na wachezaji wake wanne wa kimataifa akiwemo mshambuliaji Obrey...

Michezo

Kocha Yanga aingia mitini Kigoma, TFF yamtimua Siwa

  KOCHA mkuu wa kikosi cha Yanga, Nasriddine Nabi ameshindwa kutokea kwenye mkutano na wanahabari kuelekea mchezo wa fainali wa kombe la Shirikisho,...

Habari za Siasa

Silinde apigwa butwaa, maabara kutokamilika miaka 10

  NAIBU Waziri Ofisi ya Rais-Tamisemi, David Silinde ameshangazwa na kutofautiana kwa taarifa ya ujenzi wa maabara ambayo imechukua takribani miaka kumi pasina...

Habari za Siasa

Waziri Ummy alipia mashabiki 1000 Coastal, wachezaji awaahidi…

  WAZIRI Ofisi ya Rais-Tamisemi, Ummy Mwalimu amewaahidi Sh.5 milioni, wachezaji wa Coastal Union endapo watafanikiwa kubaki Ligi Kuu Tanzania bara huku akilipia...

Habari za Siasa

Majaliwa awatangazia neema watumishi umma

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuboresha maslahi ya...

Habari za Siasa

Kukamatwa Mbowe: Prof. Lipumba “Rais Samia hatokwepa lawama”

  MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, hawezi kukwepa lawama kufuatia tukio la kukamatwa kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe kumrudisha Lissu Tanzania

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)- Tanzania Bara, Tundu Lissu amesema, anashauriana na viongozi wa chama hicho, namna ya...

Habari za Siasa

Mbunge CCM ataka zigo la kodi lihamishwe kwa wabunge

  Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Slaa, ameshauri wabunge wakatwe kodi katika mishahara yao, ili wachangie maendeleo ya nchi, kama wananchi wanavyochangia kupitia...

Habari Mchanganyiko

Waziri awataka mafundi sanifu kujisajili ERB

  WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanzania, Dk. Leonard Chamuriho amewataka mafundi sanifu 15,260 ambao wamehitimu katika vyuo mbalimbali nchini kujisajili kwa...

Habari Mchanganyiko

Spika Ndugai awashukia wapinga tozo miamala ya simu

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amewataka watu wanaopinga tozo ya miamala ya simu, waeleze njia mbadala itakayowezesha Serikali kupata fedha...

Habari za Siasa

Majaliwa azungumzia tatizo la maji Tanzania

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kumaliza tatizo la upatikanaji wa huduma ya...

AfyaTangulizi

Corona yaua 29 Tanzania, Dk. Gwajima “tuchukue tahadhari”

  SERIKALI ya Tanzania imesema, mpaka sasa wagonjwa 29 walioambukizwa virusi vya corona (COVID-19), wamefariki dunia. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam …...

Michezo

Tiketi elfu 11 zimeshauzwa mchezo Simba na Yanga

  JUMLA ya tiketi elfu 11 zimeshauzwa kuelekea mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho (FA) kati ya Simba dhidi ya Yanga utakaopigwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rufaa za kina Mdee hatihati kusikilizwa Chadema

  HATIMA ya kufanyika au kutofanyika kwa kikoa cha Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), utajulikana kesho Jumamosi, tarehe 24...

Habari Mchanganyiko

Mbowe apate pigo jingine, baba yake mdogo afariki dunia

  MANASE Alphayo Mbowe, baba mdogo wa Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Freeman Mbowe, amefariki dunia asubuhi ya leo Ijumaa,...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu azungumzia kukamatwa, tuhuma za Mbowe

  MAKAMU mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanania cha Chadema, Tundu Lissu amesema, tukio la kukamatwa kwa mwenyekiti wa chama hicho, Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

Marekani yajitosa sakata la Mbowe, Tanzania yajibu

  KAMATI Ndogo ya Mambo ya Nje ya Afrika ya Baraza la Wawakilishi nchini Marekani, imeiomba Serikali ya Tanzania, imuache huru Kiongozi wa...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo, NCCR-Mageuzi walaani kushikiliwa Mbowe na wenzake, wasema…

  VYAMA vya siasa vya upinzani nchini Tanzania vya NCCR-Mageuzi na ACT-Wazalendo, vimeiomba Serikali nchini humo kukaa pamoja na vyama vya siasa, kwa...

Kimataifa

Uchunguzi Covid-19: China yaigomea WHO

  SERIKALI ya China, imepinga mpango wa Shirika la Afya Duniani (WHO), wa kurudia uchunguzi dhidi ya mlipuko wa kwanza wa Virusi vya...

Michezo

Dk. Abbas aitaka Cosota kuwabana ‘wanaomnyonya’ Mb Dogg

  WIZARA ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania, imeiagiza Taasisi ya Hakimiliki nchini humo (COSOTA), kufuatilia na kuhakikisha msanii Mb Dogg...

Kimataifa

Magaidi 30 wauawa Msumbiji

  WANAJESHI wa Rwanda, walioko nchini Msumbiji kukabiliana na ugaidi, wamewauwa wanamgambo wa kiislamu 30, waliovamia Jimbo la Cabo Delgado, Kaskazini mwa nchi...

Habari za Siasa

Waziri Mwigulu ajipendelea kodi kwenye ‘kampuni yake’

  WAZIRI wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba, amegundulika kuwa na mgongano wa kimaslahi, kufuatia taarifa kuwa mke wake...

Habari za SiasaTangulizi

Mtoto wa Mbowe amlilia baba yake, amtaja Rais Samia

  DUDLEY, mtoto wa Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania- Chadema, Freeman Mbowe ameshangazwa na tuhuma zinazomkabili baba yake. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

AfyaTangulizi

Wagonjwa wa Covid-19 waongezeka Tanzania

  WAGONJWA wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (Covid-19), nchini Tanzania, imeongezeka kutoka 408 hadi kufikia 682....

Michezo

Mapokezi ya Simba yasimamisha Kigoma

KIKOSI cha klabu ya Simba, kimewasili mkoani Kigoma kwa ajili ya mchezo wa Fainali wa kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga. Anaripoti Kelvin...

Michezo

Kisa Simba, Yanga wamkataa refa wa Fainali

  KLABU ya Yanga imeonekana kusikitishwa na kitendo cha Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kumchagua Ahmed Arajiga kuwa mwamuzi wa mchezo...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi Tanzania: Mbowe anatuhumiwa kupanga njama za ugaidi, kuua viongozi wa serikali

  JESHI la Polisi nchini Tanzania limesema, linamshikiliwa kiongozi wa chama cha kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman Mbowe kwa tuhuma...

Habari Mchanganyiko

Wajane, watoto wadai kuporwa ardhi “Rais Samia tusaidie”

  WANAWAKE wawili na watoto wao wa familia ya Marehemu Amiri Mrisho wa Dar es Salaam wamemuomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na Tony Blair Ikulu, waahidi…

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu wa Uingereza, Tony Blair, Ikulu Jijini Dar es Salaam....

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: Mghwira ameacha historia

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimemlilia aliyekuwa mwenyekiti wake wa kwanza, Anna Mghwira, kikisema kwamba kifo chake kimeacha pigo katika medani za kisiasa nchini...

Habari za SiasaTangulizi

Kongamano kudai katiba lamponza Mbowe, Polisi wafukua makosa yake

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, aliyekamatwa jijini Mwanza alfajiri ya jana, anahojiwa na Jeshi la Polisi Kanda...

Michezo

Simba, Yanga kufanya mazoezi uwanja mmoja Kigoma

  KUELEKEA mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation) siku ya tarehe 25 Julai, 2021, vikosi vya Simba na Yanga...

Habari za SiasaTangulizi

Anna Mghwira afariki dunia

  ANNA Elisha Mghwira, Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, amefariki dunia leo Alhamisi, tarehe 22 Julai 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha …...

MichezoTangulizi

Yanga yaiwahi Simba Kigoma, yapokelewa kwa shangwe

  KIKOSI cha klabu ya Yanga kimetua rasmi mkoani Kigoma, kwa ajili ya mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya...

Michezo

Shabiki wa Yanga atisha, atoka Arusha mpaka Kigoma kwa baiskeli

  KUELEKEA mchezo wa Fainali wa Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation), Shabiki wa klabu ya Yanga, Iddi Mkuu (69) ametinga Kigoma leo...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kukutana kwa dharura kumtafuta Mbowe, yamwomba Rais Samia…

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania-Chadema, kimeitisha kikao cha dharura cha kamati kuu, kwa ajili ya kumtafuta mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, ambaye...

Michezo

Azam FC yaendelea kusajili kimyakimya

  TIMU ya Azam FC ya Chamanzi, Tanzania imeendelea kukisuka kikosi chake cha msimu ujao wa 2021/22, kwa kusajili wachezaji wanne wa Kimataifa....

MichezoTangulizi

Haji Manara atangaza kung’atuka Simba

  HAJI Manara, Msemaji wa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21, Simba ya Dar es Salaam, ametangaza kung’atuka katika nafasi hiyo. Anaripoti...

AfyaHabari Mchanganyiko

Chanjo Covid-19 yaingia rasmi Tanzania, wananchi waitwa

  SERIKALI ya Tanzania, imesema chanjo ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (Covid-19), imeshaingia...

Habari Mchanganyiko

Wakulima Njombe walia na bei za pembejeo

  WAKULIMA wa Mkoa wa Njombe, wamefikisha kilio cha bei kubwa za pembejeo serikalini, wakitaka ipungue. Anaripoti Mwandishi Wetu, Njombe … (endelea). Wakulima...

Habari za SiasaTangulizi

Kongamano la Chadema kudai katiba  laota mbawa, Polisi wazingira ukumbi

  JESHI la Polisi mkoani Mwanza, limezingira Ukumbi wa Tourist Hotel, ambao Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema), kilipanga kufanya kongamano lake...

error: Content is protected !!