Wednesday , 22 May 2024

Month: July 2021

Habari Mchanganyiko

Tanzania kuzindua mfumo wa biashara, duka la kidigitali

  SERIKALI ya Tanzania, iko mbioni kuzindua nembo maalumu itakayotambulisha bidhaa zinazotengenezwa nchini, pamoja na mfumo wa kusambaza taarifa za biashara nchini humo....

Kimataifa

Mazishi ya TB Joshua kufanyika siku 7

  MWILI wa aliyekuwa Muasisi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nations (SCOAN), Temitope Balogun Joshua ‘TB Joshua’ (57), unatarajiwa kuzikwa Jumapili...

Habari Mchanganyiko

Wenye maduka ya fedha wacharuka

  WAMILIKI wa maduka ya kubadilishia fedha ambao walikuwa wakisubiri kwa hamu majibu ya Bunge kuhusu hatima ya mali na mabilioni ya fedha...

Kimataifa

Wafuasi wa Zuma wamkingia kifua asipelekwe gerezani

  WAFUASI wa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, wamezingira nyumba yake ili kuzuia kiongozi huyo asikamatwe. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa...

Afya

Vita dhidi ya Covid-19: Serikali yawaangukia viongozi wa kisiasa, kidini

  SERIKALI imewaomba viongozi wa dini na wa vyama vya siasa, wawe mstari wa mbele katika kuwahimiza wananchi kufuata miongozo ya kujikinga na...

Habari za Siasa

Chadema wamkalia kooni Rais Samia

  BAADA ya Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), kuanza harakati za kudai katiba mpya, Baraza la Wanawake la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mbunge CCM, mchumba ake kortini

  MBUNGE wa Korogwe Vijijini (CCM), Timotheo Mnzava, anatarajiwa kuburuzwa mahakamani kesho Jumanne, tarehe 6 Julai 2021, kufuatia kuibuka kwa mgogoro katika ndoa...

MichezoTangulizi

Manara: Tukifungwa na Yanga Kigoma naacha kazi

  KUFUATIA klabu yake ya Simba kupoteza mchezo wao dhidi ya Yanga, kwa bao 1-0, Afisa Habari wa klabu hiyo, Haji Manara ameahidi...

MichezoTangulizi

Mambo matano makubwa mchezo Simba na Yanga

  MARA baada ya kufanyika kwa mchezo mkubwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kati ya Simba ambao walikuwa wenyeji mbele ya Yanga na...

AfyaHabari Mchanganyiko

Mabilioni yamwagwa taasisi za utafiti Tanzania

  SERIKALI ya Tanzania, kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetoa zaidi ya shilingi bilioni tatu kwa taasisi mbalimbali zinazofanya utafiti katika...

Habari za Siasa

Mdude Chadema aibua mjadala, UVCCM yamuonya

  KAULI ya kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali ya kutaka kumnyoa kwa wembe Rais Samia Suluhu Hassan, imezua...

Habari za Siasa

Muongozo Covid-19: Serikali yaagiza shule zenye mrundikano ziwe na ‘Shift’

  SERIKALI ya Tanzania,  imeagiza uongozi wa shule, vyuo na taasisi za elimu zenye wanafunzi wengi, ziweke utaratibu wa kuingia kwa awamu ‘Shifting’,...

Habari Mchanganyiko

Chanjo ya Covid-19 mbioni kuingia Tanzania, wananchi kuchanjwa bure

  SERIKALI ya Tanzania imesema imekamilisha muongozo wa kuingiza na kutoa chanjo ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya...

Habari za Siasa

IGP Sirro awapa kibarua wenyeviti, watendaji Serikali za Mitaa

  INSPEKTA Jenerali wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amewataka wenyeviti na watendaji wa Serikali za Mitaa, kuibua vitendo vya uhalifu...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene : Serikali imewadhibiti  majambazi 

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema Jeshi la Polisi limefanikiwa kudhibiti vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha ‘ujambazi’...

Michezo

Yanga yapita mlango mdogo, wagoma kuingia vyumbani

  Katika hali ya kustajabisha, kwenye mchezo watani wa jadi kati ya Simba na Yanga, kikosi cha klabu ya Yanga ambao walikuwa wageni...

Michezo

Kocha Yanga: Tulitaka kuwaonesha sisi ni wakubwa

  MARA baada ya kuondoka na ushindi wa bao 1-0. kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kocha Mkuu wa klabu ya Yanga,...

MichezoTangulizi

Yanga yaipiga Simba mbele ya Rais Samia

  TIMU ya Yanga ya Dar es Salaam, imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya watani zao Simba, katika mchezo wa Ligi Kuu...

Habari Mchanganyiko

RC Mtaka: Napokea malalamiko 130 ya ardhi kila siku

  MKUU wa Mkoa wa Dodoma (RC), Anthony Mtaka amesema, kwa kipindi cha siku 30 alizoanza kufanya kazi katika ofisi hiyo, amekuwa akipokea...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mapya yaibuka sakata la ndoa ya mbunge CCM

  MWANAMKE anayedai kuwa ni mchumba, aliyezaa na kuishi na mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Timotheo Mnzava, anamtuhumu Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili...

Habari za Siasa

Spika Ndugai ampa somo CAG

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, imetaka Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali, kujikita katika kuandaa ripoti...

Michezo

Simba waapa kutangaza ubingwa mbele ya Yanga

  KESHO Mafahari wawili kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara, klabu za Simba na Yanga, zinashuka dimbani kusaka pointi tatu, huku kila upande ukijinasibu...

Michezo

TEF yamuonya Manara, kuisusia Simba

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), wameutaka uongozi wa Klabu ya Simba umwonye, msemaji wake, Haji Manara kwa udhalilishaji alioufanya dhidi ya Mwandishi...

MichezoTangulizi

Jaji atoa uamuzi kupinga uchguzi TFF

  MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, imetoa mwongozo wa kesi ya zuio la uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), isikilizwe...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Tuishi kwa kuacha alama

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amewataka wananchi kila mmoja kwenye nafasi yake, kuhakikisha anatumia muda alionao kufanya mambo yatakayoacha alama pindi...

Michezo

TAFCA zaweka hadharani kamati tano

  SHIRIKISHO la Sanaa za Ufundi Tanzania (TAFCA), limetangaza Kamati tano zitakazofanyakazi kama wizara za shirikisho hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Serikali: Mhandisi Mfugale alifariki ghafla

  WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanzania, imesema aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi Patrick Mfugale (67), alifariki...

Habari Mchanganyiko

THRDC yaomba kamati ya kitaifa ya NGO’s

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeiomba Serikali iunde kamati ya kitaifa, kwa ajili ya kuratibu na kutangaza shughuli ...

MichezoTangulizi

Mahakama kuamua hatima uchaguzi TFF leo

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam nchini Tanzania, leo Ijumaa saa 6:00 mchana, itatoa hukumu ndogo ya ama kuzuia uchaguzi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu aeleza kitakachomrejesha Tanzania

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amesema chama hicho kikitengeneza utaratibu wa kufanya mikutano ya hadhara kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mdude ajitosa madai katiba mpya, atoa ahadi nzito

  KADA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali amekula kiapo cha kusaka katiba mpya, kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2025....

Habari za Siasa

Askofu Mwamakula aitahadharisha CCM

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania na Afrika Mashariki, Emmaus Mwamakula, amekishauri Chama Cha Mapinduzi (CCM), kisikatae marekebisho ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamgomea Rais Samia, wamtaka aunde tume kusaka katiba mpya

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania- Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekataa ombi la Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan la kutaka...

MichezoTangulizi

TFF yafikishwa Mahakamani

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imepokea kesi ya kupinga uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), iliyofunguliwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia akabidhiwa ripoti BoT, CAG aweka wazi ‘madudu’

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amemkabidhi Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ripoti ya matumizi ya...

Michezo

Jeshi la Polisi latoa tahadhari Simba na Yanga

   JESHI la Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limesema kuwa limejipanga kuimalisha ulinzi, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi wa siasa, dini, wanasheria wakataa subira ya Rais Samia

  KAULI ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuweka kiporo suala la Katiba Mpya na kuendeleza zuio la mikutano ya hadhara ili...

Michezo

Morrison ashikiki Simba, atwa tuzo siku moja kabla ya mchezo wa Yanga

KUELEKEA mtanange wa watani wa jadi, kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba, Bernard Morrison amechaguliwa kuwa mchezi bora wa mashabiki wa klabu hiyo,...

Michezo

KMC warudisha Dar mchezo wao dhidi ya Simba

  Klabu ya KMC ya jijini Dar es Salaam, imerejesha mchezo wake dhidi ya Simba jijini Dar es Salaam, kwenye dimba la Benjamin...

Habari MchanganyikoTangulizi

THRDC yalia na changamoto za kodi, TRA yajibu

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeiomba Serikali iondoe changamoto za kikodi zinazokabili Asasi za Kiraia nchini (Azaki). Anaripoti...

Michezo

Refa Mwandembwa apewa tena Rungu, mechi Simba na Yanga

EMMANUEL Mwandembwa kutoka Arusha, ndiye atakayekuwa mwamuzi wa mchezo wa watani wa jadi kati ya Simba na Yanga utakaopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi: Rais Samia atafakari upya uamuzi wake

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania, NCCR-Mageuzi, kimemwomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan, kuufikilia upya uamuzi wake kuhusu suala...

error: Content is protected !!