Thursday , 25 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Wenye maduka ya fedha wacharuka
Habari Mchanganyiko

Wenye maduka ya fedha wacharuka

Spread the love

 

WAMILIKI wa maduka ya kubadilishia fedha ambao walikuwa wakisubiri kwa hamu majibu ya Bunge kuhusu hatima ya mali na mabilioni ya fedha zao walizoporwa, wamebaki njiapanda. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea).

Mabilioni hayo yaliporwa wakati wa msako maalumu wa Serikali kwa wafanyabiashara wa maduka hayo, katika miji ya Arusha na Dar es Salaam.

Katika operesheni hiyo iliyoacha maumivu kwao, zaidi ya maduka 100 ya kubadilisha fedha za kigeni (Bureaux de Changes), yalifungwa na kusababisha adha kubwa kwa watalii, wasafiri na wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi.

Ndani ya Bunge, mara kwa mara kulikuwa na mjadala ukiibuka na kufa, bila majibu ya kuridhisha, kuhusu hatima ya fedha za wafanyabiashara hao.

Nini wanakusudia kukifanya ili kurejeshewa fedha zao, soma Gazeti la Raia Mwema, toleo la leo Jumatatu, tarehe 5 Julai 2021.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

THRDC yaongeza mkataba wa ushirikiano na ABA

Spread the love  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC),...

error: Content is protected !!