WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali imedhamiria kuboresha miundombinu ya bandari ili kuvutia idadi kubwa ya watumiaji zikiwemo nchi za...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2021JESHI la Polisi nchini Tanzania, linawashikilia watu 275 kwa tuhuma za mauaji, yaliyotokea nchi nzima kuanzia Mei hadi Julai 2021. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeJuly 21, 2021KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania-Chadema, Freeman Mbowe na wenzake zaidi ya 10, wanadaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2021KONGAMANO la kudai katiba mpya, lililoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), liko njia panda baada ya Mkuu wa Mkoa wa...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2021SERIKALI ya Uingereza, imelegeza masharti iliyoweka kwa ajili ya kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2021Rais wa Serikali ya Mpito Mali, Assimi Goita, amenusurika kifo baada ya watu wasiojulikana kujaribu kutaka kumchoma kisu tumboni. Inaripoti BBC …...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa Sh.100 milioni kwa ajili ya ujenzi wa paa la kisasa la kuzuia jua na mvua...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2021MIKAKATI mipya ya Halima Mdee na wenzake 18, kutaka kuendelea kuwa bungeni kinyume cha sheria na kukivuruga Chama cha Demokrasia na Maendekeo...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2021WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene, amemtaka Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dk. Anold Kihaule,...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2021MUHAMMAD Bin Salman, Mwanamfalme wa Saudia, ameidhinisha kutolewa fedha milioni 3.74 za riyali, sawa na dola milioni 1 za kimarekani, ili zigawiwe...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2021CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimejitokeza kumpongeza Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan, kwa kusikia malalamiko ya wananchi...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2021HALIMA Mdee na wenzake 18, wamebakisha siku 12 kujua hatma yao juu ya uamuzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema ),...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2021WATUMISHI watatu wa Serikali na wengine watano, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, kwa tuhuma za kujihusisha...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2021FREEMAN Mbowe amesema, watafanya kongamano la Katiba jijini Mwanza keshokutwa Jumatano, tarehe 21 Julai 2021 na mikoa mingine yataendelea “hadi Katiba mpya...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2021CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeomba huduma ya utoaji chanjo ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2021GHASIA zilizoibuliwa na wafuasi wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, zimesababisha uharibifu wa mali zenye thamani ya Dola za...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2021MWENYEKITI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania- Chadema, Freeman Mbowe, amemtaka Waziri wa Afya, Dk. Dorothy Gwajima na wasaidizi wake, wajiuzulu...
By Masalu ErastoJuly 19, 2021TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Dodoma, leo Jumatatu, tarehe 19 Julai 2021, inamfikisha mahakama Maliselo Kapampa Saveli...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2021SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefungua rasmi dirisha kubwa la usajili litakalodumu kwa siku 42, baada ya kumalizika kwa msimu...
By Kelvin MwaipunguJuly 19, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango, itafute suluhu ya malalamiko ya wananchi kuhusu viwango vya tozo...
By Regina MkondeJuly 19, 2021MKUU wa Mkoa wa Mara (RC), Ally Hapi amesema, mkoa huo hauna mpango wa kuanzisha makambi ya wanafunzi kwa ajili ya kuwaandaa...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2021AFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Mhandisi Leonard Kapongo, amefariki dunia jioni ya jana, tarehe 17...
By Regina MkondeJuly 18, 2021WAKALA wa Barabara Tanzania (Tanroads), umekubali kuongeza muda wa notisi kwa wamiliki wa nyumba na vibanda vya biashara, vilivyopo katika hifadhi ya...
By Hamisi MgutaJuly 18, 2021JESHI la Polisi Kinondoni, Mkoa wa Dar es Salaam, limesema chanzo cha tukio la mauaji ya watu wawili katika Baa ya Lemax...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2021WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima, ametoa siku 10 kwa Taasisi ya Tiba na Mifupa Muhimbili...
By Hamisi MgutaJuly 18, 2021UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), mkoani Shinyanga, wameuomba Rais Samia Suluhu Hassan, apunguze kiwango cha tozo ya mitandao ya...
By Hamisi MgutaJuly 18, 2021WANANCHI wa Jimbo la Konde, Visiwani Zanzibar, leo Jumapili tarehe 18 Julai 2021, wanachagua mbunge wao, ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2021MENEJA WA Baa ya Lemax iliyopo Sinza kwa Remi mkoani Dar es Salaam, Godlisten Augustine, amesimulia tukio la mauaji ya watu wawili...
By Regina MkondeJuly 18, 2021KAMATI ya Miss Tanzania imebainisha makosa sita yaliyosababisha Miss Tanzania 2020, Rose Manfere kuvuliwa uwakilishi wa nchi katika mashindano ya urembo duniani....
By Masalu ErastoJuly 17, 2021RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, amemteua Jaji mstaafu wa Mahakama ya Rufaa, Mbarouk Salim Mbarouk kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Shule...
By Mwandishi WetuJuly 17, 2021ASKARI Polisi nchini Kenya, Koplo Caroline Kangogo, aliyekuwa akitafutwa kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili, amepatikana akiwa amefariki dunia kwa kujipiga...
By Mwandishi WetuJuly 17, 2021POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Grace Janes Mushi (25), kwa tuhuma za kumchoma moto ndani ya nyumba aliyekua mpenzi...
By Mwandishi WetuJuly 17, 2021MSANII wa muziki nchini Tanzania, Ali Kiba amesaini mkataba wa kinywaji cha “Power Horse” kuwa balozi wa kinywaji hicho. Anaripoti Matlida Peter,...
By Masalu ErastoJuly 16, 2021MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam, imeiweka pembeni kesi ndogo namba 305, ya zuio la shughuli za uchaguzi TFF, na kutaka...
By Kelvin MwaipunguJuly 16, 2021MBUNGE wa Viti Maalum, Conchesta Rwamlaza amekutana na vijana zaidi ya 300 wa jimbo la Bukoba vijijini lengo ikiwa kusikiliza kero, maoni...
By Danson KaijageJuly 16, 2021CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kitamshughulikia Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Aida Khenani, kutokana na uamuzi wake wa kwenda bungeni, kinyume...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2021RAIS wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (Fifa), Gianni Infantino, ameipongeza timu ya soka ya Simba ya Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2021JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, linawashikilia watu 40 kwa makossa mbalimbali ya unyan’ganyi wa kutumia nguvu...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekwisha kuwasili nchini Burundi kuanzia ziara ya siku mbili. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kabla ya...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2021CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema, kimeshindwa kuitisha kikao cha baraza lake kuu, kwa ajili ya kusikiliza rufaa ya Halima Mdee...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2021RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, ameteua wakurugenzi wanne, akiwemo Khamis Kona Khamis, aliyemteua kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi visiwani humo...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2021KLABU ya Biashara United, kutoka Mara imefanikiwa kushiriki michuano ya kimataifa kwa msimu ujao, mara baada ya kumaliza katika nafasi ya nne...
By Kelvin MwaipunguJuly 16, 2021KOCHA wa klabu ya Simba, Didier Gomes pamoja na mshambuliaji wa klabu hiyo John Bocco wameshinda tuzo, mwezi Juni kwenye Ligi Kuu...
By Kelvin MwaipunguJuly 16, 2021CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeiomba Serikali ifute kodi ya mitandao ya simu, kwa maelezo kwamba inaumiza wananchi, hasa wa kipato cha chini. Anaripoti...
By Regina MkondeJuly 16, 2021KIUNGO wa klabu ya Yanga, Feisal Salum ambaye ndiye mfunga wa mabao yote mawili kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, dhidi...
By Kelvin MwaipunguJuly 15, 2021JESHI la Polisi Kanda ya Magharibi, limewakamata waganga wa kienyeji 16, wanaotuhumiwa kufanya shughuli zao kinyume cha sheria. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuJuly 15, 2021KODI ya mitandao ya simu imeibua mjadala, baada ya kupingwa kila kona na baadhi ya watu, kwa maelezo kwamba itaumiza wananchi hasa...
By Mwandishi WetuJuly 15, 2021KODI ya mitandao ya simu imeibua mjadala, baada ya kupingwa kila kona na baadhi ya watu, kwa maelezo kwamba itaumiza wananchi hasa...
By Mwandishi WetuJuly 15, 2021JOSEPH Sinde Warioba, Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, amewataka viongozi kujenga utamaduni wa kusikiliza kero za wananchi wanapokwenda kwenye mikutano mbalimbali. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 15, 2021VITA dhidi ya dawa za kulevya imelipuka upya nchini Tanzania, baada kuanza kufahamika kwa mtandao wa watumishi ndani ya taasisi za umma,...
By Kelvin MwaipunguJuly 15, 2021