Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Mwinyi amteua makamu mwenyekiti NEC kuwa…
Habari za Siasa

Rais Mwinyi amteua makamu mwenyekiti NEC kuwa…

Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar
Spread the love

 

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, amemteua Jaji mstaafu wa Mahakama ya Rufaa, Mbarouk Salim Mbarouk kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Shule ya Sheria Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea).

Taarifa ya Mhandisi Zena Said, Katibu Mkuu Kiongozi wa Zanzibar imesema, uteuzi wa Jaji Mbarouk umeanza leo Jumamosi, tarehe 17 Julai 2021.

Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Mbarouk Salim Mbarouk

Jaji Mbarouk ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!