Thursday , 30 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Mwinyi amteua makamu mwenyekiti NEC kuwa…
Habari za Siasa

Rais Mwinyi amteua makamu mwenyekiti NEC kuwa…

Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar
Spread the love

 

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, amemteua Jaji mstaafu wa Mahakama ya Rufaa, Mbarouk Salim Mbarouk kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Shule ya Sheria Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea).

Taarifa ya Mhandisi Zena Said, Katibu Mkuu Kiongozi wa Zanzibar imesema, uteuzi wa Jaji Mbarouk umeanza leo Jumamosi, tarehe 17 Julai 2021.

Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Mbarouk Salim Mbarouk

Jaji Mbarouk ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

TEMESA iliyokarabati Kivuko kwa Bil 7.5 yapata hati chafu

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yakusanya Mil 8.5/- kodi ya zuio na kutokomea nazo

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

DC Kasilda Mgeni ahamasisha chakula shuleni

Spread the love  MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni...

Habari za Siasa

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka 2 ya SSH

Spread the love  ZAIDI ya Sh. bilioni 223.9 zimepelekwa Wilaya ya Tunduru...

error: Content is protected !!