Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Mwanamke anayetuhumiwa kumchomea ndani kwa petroli mpenzi wake akamatwa
Habari MchanganyikoTangulizi

Mwanamke anayetuhumiwa kumchomea ndani kwa petroli mpenzi wake akamatwa

Spread the love

 

POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Grace Janes Mushi (25), kwa tuhuma za kumchoma moto ndani ya nyumba aliyekua mpenzi wake, Khamis Abdallah (25). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo, Jumanne Muliro amesema, tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana Ijumaa tarehe 16 Julai 2021, majira ya saa 8:30 usiku, maeneo ya Mbezi Makabe kwa Mzungu Wilaya ya Ubungo.

Amesema, mtuhumiwa Grace majira hayo ya saa nane usiku aliamka na kumfungia mlango kwa nje Khamis Abdallah kisha kumwagia mafuta ya petroli nyumba hiyo, kitendo kilichosababusha Khamisi kuungua na  kufariki dunia akiwa ndani.

Kamanda Muliro amesema, uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa kimapenzi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Watendaji Kata, Mitaa watakaoshindwa kusimamia usafi kukiona

Spread the love  WATENDAJI wa kata, mitaa na vitongoji na maofisa afya...

Habari Mchanganyiko

Mtia nia urais TLS kukata rufaa kupinga kuenguliwa

Spread the love  MTIA nia ya kugombea Urais wa Chama cha Mawakili...

Habari Mchanganyiko

NBC yazindua kampeni ya mkeka wa ushindi na ATM zake

Spread the loveBENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza uzinduzi wa kampeni...

Habari Mchanganyiko

Uholanzi wampongeza Rais Samia kuimarisha vyombo vya habari, demokrasia

Spread the love  UBALOZI wa Uholanzi nchini Tanzania, umempongeza Rais Samia Suluhu...

error: Content is protected !!