Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mwanamke anayetuhumiwa kumchomea ndani kwa petroli mpenzi wake akamatwa
Habari MchanganyikoTangulizi

Mwanamke anayetuhumiwa kumchomea ndani kwa petroli mpenzi wake akamatwa

Spread the love

 

POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Grace Janes Mushi (25), kwa tuhuma za kumchoma moto ndani ya nyumba aliyekua mpenzi wake, Khamis Abdallah (25). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo, Jumanne Muliro amesema, tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana Ijumaa tarehe 16 Julai 2021, majira ya saa 8:30 usiku, maeneo ya Mbezi Makabe kwa Mzungu Wilaya ya Ubungo.

Amesema, mtuhumiwa Grace majira hayo ya saa nane usiku aliamka na kumfungia mlango kwa nje Khamis Abdallah kisha kumwagia mafuta ya petroli nyumba hiyo, kitendo kilichosababusha Khamisi kuungua na  kufariki dunia akiwa ndani.

Kamanda Muliro amesema, uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa kimapenzi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!