Thursday , 30 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Anna Mghwira afariki dunia
Habari za SiasaTangulizi

Anna Mghwira afariki dunia

Marehemu Anna Elisha Mghwira
Spread the love

 

ANNA Elisha Mghwira, Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, amefariki dunia leo Alhamisi, tarehe 22 Julai 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea)

Anna alikuwa mgombea urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu mwaka 2015 kupitia chama cha ACT-Wazalendo.

Pia, Alikuwa Mwenyekiti wa chama hicho kabla ya Hayati Rais John Magufuli kumteua kuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro. Nafasi iliyomfanya kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Endelea kufuatilia MwanaHALISI TV, MwanaHALISI Online na mitandao yetu ya kijamii kwa habari na taarifa zaidi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

TEMESA iliyokarabati Kivuko kwa Bil 7.5 yapata hati chafu

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yakusanya Mil 8.5/- kodi ya zuio na kutokomea nazo

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

DC Kasilda Mgeni ahamasisha chakula shuleni

Spread the love  MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni...

Habari za Siasa

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka 2 ya SSH

Spread the love  ZAIDI ya Sh. bilioni 223.9 zimepelekwa Wilaya ya Tunduru...

error: Content is protected !!