Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Anna Mghwira afariki dunia
Habari za SiasaTangulizi

Anna Mghwira afariki dunia

Marehemu Anna Elisha Mghwira
Spread the love

 

ANNA Elisha Mghwira, Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, amefariki dunia leo Alhamisi, tarehe 22 Julai 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea)

Anna alikuwa mgombea urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu mwaka 2015 kupitia chama cha ACT-Wazalendo.

Pia, Alikuwa Mwenyekiti wa chama hicho kabla ya Hayati Rais John Magufuli kumteua kuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro. Nafasi iliyomfanya kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Endelea kufuatilia MwanaHALISI TV, MwanaHALISI Online na mitandao yetu ya kijamii kwa habari na taarifa zaidi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!