SPIKA wa Bunge Job Ndugai amemzuia Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Susan Kolimba kujibu maswali ya...
By Regina MkondeSeptember 13, 2018WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameagiza kufukuzwa kazi afisa ardhi wa wilaya ya Monduli Kitundu Mkumbo. Anaandika Mwandishi...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2018KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hussein Bashe anaweza kuondoka kwenye chama hicho pale kitakapoboronga. Anaandika Faki Sosi … (endelea). Amesema kuwa, anaweza...
By Faki SosiSeptember 12, 2018WATUMISHI takribani 29 wa Taasisi ya Elimu nchini (TIE) wamesimamishwa kazi na kufunguliwa mashtaka ya kinidhamu kutokana na sakata la baadhi ya vitabu...
By Regina MkondeSeptember 12, 2018CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimepinga kauli za Rais John Magufuli alizozitoa alipokuwa kwenye ziara yake Kanda ya Ziwa. Anaripoti Faki Sosi …...
By Faki SosiSeptember 12, 2018VITA vya kisiasa ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) vinawasogeza karibu viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na sasa wanampigia hesabu...
By Faki SosiSeptember 11, 2018TAIFA la Marekani ambalo ni kubwa na lenye nguvu leo linaadhimisha miaka 17 ya shambulio la kigaidi na lisiloweza kusahaulika kwa miaka mingi...
By Faki SosiSeptember 11, 2018BAADA kukamilika kwa zoezi la uchukuaji fomu kuwania uongozi ndani ya klabu ya Simba, kamati ya uchaguzi ndani ya klabu hiyo imetoa orodha...
By Kelvin MwaipunguSeptember 11, 2018KAMISHNA wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Charles Kichere amepata ajali asubuhi ya leo tarehe 11 Septemba 2018 mkoani Dodoma baada ya gari...
By Regina MkondeSeptember 11, 2018TANGU kufanyika kwa Mapinduzi ya Iran ya mwaka 1979, ambapo viongozi wa kidini wenye msimamo mkali walichukua mamlaka na kumaliza utawala wa Kifalme...
By Yusuph KatimbaSeptember 10, 2018KAMATI ya Maadili ya Shirikisho la Mpira Miguu Tanzania (TFF) kupitia mwenyekiti wake Hamidu Mbwezeleni imemfungia Meneja wa Simba, Robert Richard kutojihusisha na...
By Kelvin MwaipunguSeptember 10, 2018SERIKALI imeanzisha kitengo maalum cha kitakachowezesha kupatikana kwa masoko sahihi ndani na nje ya nchi ili kuwafanya wakulima kutozalisha kwa mazoea bali kwa...
By Christina HauleSeptember 10, 2018RAIS John Magufuli amemchimba mkwara Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwele kwamba atamfukuza kazi endapo mkandarasi wa ujenzi wa daraja...
By Regina MkondeSeptember 10, 2018SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Job Ndugai, amepiga marufuku wabunge wanawake kuingia bungeni wakiwa wamebandika kucha na kope za...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2018UTAWALA wa Rais wa Marekani, Donald Trump umetishia kuchukua hatua kali dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC), ikiwemo kuwawekea...
By Regina MkondeSeptember 10, 2018RAIS John Magufuli amesema hatoipa kipaumbele wilaya ya Chato iliyoko mkoani Geita, katika utekelezaji wa miradi ya maji, kutokana na baadhi ya wakazi...
By Regina MkondeSeptember 8, 2018MAKONTENA 20 yenye samani mbalimbali yaliyoingizwa nchini na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda yanayopigwa mnada na Mamlaka ya Mapato nchini...
By Regina MkondeSeptember 8, 2018RAIS John Magufuli ameapa kuibana kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia ili ikamilishe ujenzi wa mradi wa maji unaojengwa wilayani Tarime mkoa wa...
By Regina MkondeSeptember 7, 2018MBUNGE wa Viti Maalumu (Chadema), Cecilia Pareso ameitaka serikali kufanya tathimini na uchunguzi wa kina kuhusu matumizi ya fedha za Mpango wa Kunusuru...
By Masalu ErastoSeptember 7, 2018MAHAKAMA ya kijeshi nchini Sudan Kusini imewahukumu wanajeshi 10 vifungo vya kati ya miaka saba na maisha kwa makosa ya mauaji na ubakaji....
By Regina MkondeSeptember 7, 2018MBUNGE wa Serengeti kupitia Chadema, Marwa Lyoba amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuzomewa na wafuasi wa CCM alipobanwa na Rais John Magufuli...
By Regina MkondeSeptember 6, 2018RAIS John Magufuli amewaweka mtegoni Wakuu wa Wilaya na Mikoa walioko katika maeneo yenye migogoro sugu ya ardhi, akiwataka kusema iwapo wameshindwa kuitatua...
By Regina MkondeSeptember 6, 2018SUSAN Lyimo, Mbunge wa Viti Maalum Chadema ametaka kutengenezwa mazingira ili wanaotaka kufanya ngono haraka, wawe na amani. Anaandika Mwandishi Maalum…(endelea). Lyimo ameitaka...
By Mwandishi MaalumSeptember 6, 2018MBUNGE wa Kyadondo Mashariki nchini Uganda, Robert Kyagulanyi hali yake kiafya ni tete, amelazwa katika chumba cha uangalizi maalumu (ICU) nchini Marekani alikokwenda...
By Regina MkondeSeptember 6, 2018RAIS John Magufuli amemteua Kamishna wa Polisi, Diwani Athuman kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU). Anaripoti Regina...
By Regina MkondeSeptember 6, 2018KATIKA keulekea mchezo dhidi ya Uganda unaotarajia kuchezwa Septemba 8, 2018 Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars,’ Emannuel Amunike...
By Kelvin MwaipunguSeptember 5, 2018KUMEKUWA na hali ya sintofahamu toka kwa mashabiki na wanachama wa Yanga juu ya kiungo aliyesajiliwa msimu akitokea Mtibwa Sugar, Mohamed Banka kutoonekana...
By Kelvin MwaipunguSeptember 5, 2018RAIS John Magufuli amemuagiza Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Prof. Kitila Mkumbo kufanya uchunguzi...
By Regina MkondeSeptember 5, 2018RAIS John Magufuli amesema, atamkaba Waziri wa Ardhi, William Lukuvi ili amlipe Sh. 1 milioni fedha alizowapa wazee wawili ambao mmoja wao alidhulumiwa...
By Regina MkondeSeptember 5, 2018HATUA ya Mahakama ya Juu nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kutangaza kuwa, mgombea wa chama kikuu cha upinzani-MCL- Jean-Pierre Bemba hana...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2018WACHINA walilia hata kufikia hatua ya kukufuru kuwa aliyeaga dunia ni mungu wao. Walikuwa wakiomboleza msiba wa muasisi wa taifa lao, Mao Tse...
By Faki SosiSeptember 5, 2018RAIS John Magufuli amegoma kupokea wanachama wapya wanaotaka kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaandika Faki Sosi … (endelea). Taarifa za awali zinadai...
By Faki SosiSeptember 4, 2018KATIBU Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dk. Charles Msonde amesema kuwa kuanzia mwaka huu muundo wa mtihani ya darasa la...
By Masalu ErastoSeptember 4, 2018WATU wawili wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa, katika ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo tarehe 4 Septemba mwaka huu, iliyohusisha magari mawili...
By Regina MkondeSeptember 4, 2018MBUNGE wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amewasilisha swali la maandishi bungeni akiitaka serikali iueleze umma kuhusu idadi ya kesi zilizofunguliwa kwenye mahakama za...
By Regina MkondeSeptember 4, 2018MATUKIO yaliyotikisa katika Uchaguzi Mdogo wa udiwani na ubunge sasa yameanza kuhojiwa bungeni. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea) Miongoni mwa matukio hayo ni...
By Regina MkondeSeptember 4, 2018NGOME pekee ya Chama cha Demokrasia naMaendeleo (Chadema), iliyokuwa imesalia – halmashauri ya wilaya ya Karatu – iko hatarini kuvunjika muda wowote kutoka...
By Mwandishi WetuSeptember 3, 2018MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Donald Ngoma bado ataendelea kuwa nje ya uwanja baada ya kuendelea kutibu jeraha lake la goti lililomsumbua kwa muda...
By Kelvin MwaipunguSeptember 3, 2018RAIS wa China, Xi Jinping amesema serikali yake itatoa dola za kimarekani 60 bilioni katika mpango wake wa miaka mitatu wa ushirikiano na...
By Mwandishi WetuSeptember 3, 2018SHIRIKISHO la mpira wa miguu Tanzania TFF, kupitia kamati yake ya uendeshaji wa ligi (Kamati ya Masaa 72) iliyokaa jumamosi imewatia hatiani waamuzi...
By Kelvin MwaipunguSeptember 3, 2018WAANDISHI wa habari wawili wa mtandao wa Reuters wa Lone na Kyaw Soe Oo, wamehukumiwa kifungo cha miaka saba jela na Mahakama nchini...
By Regina MkondeSeptember 3, 2018MWALIMU Respicius Patrick Mtazangira na Julieth Gerald wa Shule ya Msingi Kibeta iliyoko Manispaa ya Bukoba wanaotuhumiwa kumuua kwa viboko mwanafunzi wa darasa...
By Mwandishi WetuSeptember 3, 2018MKUTANO wa 12 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unatarajiwa kuanza Jumanne ya tarehe 4 Septemba 2018, huku maswali 16 ya...
By Regina MkondeSeptember 3, 2018RAIS John Magufuli ameahidi kutoa kiasi cha Sh. 3.7 bilioni ndani ya wiki mbili, kwa ajili ya kulipa malimbikizo ya mishahara ya miezi...
By Regina MkondeSeptember 3, 2018MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa polisi wa mikoa nchini, kwa kumhamisha Kamanda...
By Regina MkondeSeptember 3, 2018BARAZA Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) limekuwa likituhumiwa kwa mambo mengi ikiwa ni pamoja na kufanya kazi kwa maslahi ya serikali badala ya...
By Faki SosiSeptember 1, 2018TIMU ya Mbeya City imeendelea kupata tabu katika Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kupoteza mchezo wa tatu mfululizo dhidi ya Mtibwa Sugar...
By Kelvin MwaipunguSeptember 1, 2018NDANI ya Baraza la Wawakilishi lililoanza mkutano wake wa kujadili na ikibidi kuidhinisha bajeti ya serikali ya mwaka mpya wa fedha unaoanza mwezi...
By Jabir IdrissaSeptember 1, 2018BAADHI ya samani zilizokuwemo kwenye makontena yaliyoingizwa nchini na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na kukwama bandarini kutokana na...
By Regina MkondeSeptember 1, 2018