Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Kamishna wa TRA anusurika ajalini Dodoma
Habari MchanganyikoTangulizi

Kamishna wa TRA anusurika ajalini Dodoma

Kamishna wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Charles Kichere
Spread the love

KAMISHNA wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Charles Kichere amepata ajali asubuhi ya leo tarehe 11 Septemba 2018 mkoani Dodoma baada ya gari lake kugongana na gari jingine. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, RPC Girres Muroto amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo akisema kuwa, hakuna mtu aliyepoteza maisha katika ajali hiyo au majeruhi.

Ajali hiyo imetokea eneo la Nanenane jijini Dodoma ambapo gari la serikali aina ya V8 alilokuwamo Kichere, kugongana na gari binafsi.

Chanzo cha ajali hiyo kinadaiwa kuwa, gari la serikali lilikuwa linajaribu kulipita gari jingine kwenye njia panda ya kwenda Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM) ambapo gari binafsi likajitokeza kwa mbele wakati likielekea UDOM.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

error: Content is protected !!