MAHAKAMA ya kijeshi nchini Sudan Kusini imewahukumu wanajeshi 10 vifungo vya kati ya miaka saba na maisha kwa makosa ya mauaji na ubakaji. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).
Wanajeshi hao wamekutwa na hatia ya makosa hayo waliyoyatenda mwaka 2016 kwenye ghasia zilizotokana na shambulizi liliofanyika katika hoteli ya Terrain iliyoko mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba.
Katika ghasia hizo, mwandishi wa habari John Gatluak aliuawa, na wafanyakazi wa kutoa huduma za kibinadamu walibakwa.
Tukio hilo lilikuwa baya zaidi dhidi ya raia wa kigeni tangu Wanajeshi wa Sudan Kusini kutuhumiwa kuendesha uhalifu mara kadhaa tangu yazuke mapigano ya wenyewe kwa wenyewe mwaka 2013.
Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...
By Gabriel MushiApril 18, 2024Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...
By Mwandishi WetuApril 9, 2024Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...
By Mwandishi WetuApril 4, 2024Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...
By Mwandishi WetuApril 3, 2024
Leave a comment