Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa JPM atosa wanachama wapya CCM
Habari za Siasa

JPM atosa wanachama wapya CCM

Spread the love

RAIS John Magufuli amegoma kupokea wanachama wapya wanaotaka kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaandika Faki Sosi … (endelea).

Taarifa za awali zinadai kuwa, kulikuwa na watu waliotaka kujiunga na chama hicho mbele yake.

Akiwa katika ziara ya kikazi mjini Nansio, Ukerewe mkoani Mwanza leo Septemba 4, 2018 Rasi Magufuli alisema, ziara yake ni ya kikazi na sio ya kisiasa.

“Najua nikisema hapa wanaotaka kuhamia CCM wajitokeza watakuja wengi.

“Lakini sitaki kufanya hivyo kwa sababu ziara yangu na mkutano huu siyo wa kisiasa. Wafanye hivyo kwenye vikao rasmi,” amesema Rais Magufuli.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!