Wednesday , 27 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa JPM atosa wanachama wapya CCM
Habari za Siasa

JPM atosa wanachama wapya CCM

Spread the love

RAIS John Magufuli amegoma kupokea wanachama wapya wanaotaka kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaandika Faki Sosi … (endelea).

Taarifa za awali zinadai kuwa, kulikuwa na watu waliotaka kujiunga na chama hicho mbele yake.

Akiwa katika ziara ya kikazi mjini Nansio, Ukerewe mkoani Mwanza leo Septemba 4, 2018 Rasi Magufuli alisema, ziara yake ni ya kikazi na sio ya kisiasa.

“Najua nikisema hapa wanaotaka kuhamia CCM wajitokeza watakuja wengi.

“Lakini sitaki kufanya hivyo kwa sababu ziara yangu na mkutano huu siyo wa kisiasa. Wafanye hivyo kwenye vikao rasmi,” amesema Rais Magufuli.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za Siasa

Mgongano wa kimasilahi wamhamisha Chande TTTCL

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme: Rais Samia ampa miezi sita bosi mpya TANESCO

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa miezi sita Mkurugenzi...

Habari za Siasa

Rais Samia avunja bodi ya REA

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Jacob Kingu, kuwa...

error: Content is protected !!