Wednesday , 24 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Waandishi wa habari za uchunguzi wahukumiwa kifungo
Kimataifa

Waandishi wa habari za uchunguzi wahukumiwa kifungo

Kyaw Soe Oo
Spread the love

WAANDISHI wa habari wawili wa mtandao wa Reuters wa Lone na Kyaw Soe Oo, wamehukumiwa kifungo cha miaka saba jela na Mahakama nchini Myanmar, kwa kosa la kufanya uchunguzi wa siri katika taifa hilo kuhusu mgogoro wa Rohingya. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Lone na Soe Oo walishikiliwa kwa kosa la kuwa na nyaraka za serikali ambazo zilizodaiwa kutolewa na askari polisi .

Kabla ya hukumu hiyo, katika utetezi wao waandishi hao walijitetea kwamba waliwekewa mtego na vyombo vya dola kwa kupewa nyaraka hizo nyeti za serikali na askari polisi ili ziwatie hatiani.

Hukumu hiyo imepingwa na watu wengi kwa kuwa imelenga kuminya uhuru wa habari nchini humo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!