WANANCHI wa vijiji vinne vya kata ya Ulaya, wilaya ya Kilosa, Morogoro wanatarajia kuondoka gizani kufuatia mradi wa umeme vijijini (REA) awamu ya...
By Christina HauleDecember 16, 2019WAZIRI Kilimo, Japhet Hasunga amewataka Maofisa ugani nchini kuweka mipango kazi yao itakayowawezesha kufanikisha ufanisi wa kilimo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....
By Danson KaijageDecember 16, 2019WATU 53 wanaosadikiwa kula chakula chenye sumu katika msiba kata ya Mtumba Jijini Dodoma na kukimbizwa katika hospitali ya Rufaa, afya zao zimeimarika...
By Danson KaijageDecember 16, 2019MCHUNGAJI Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini amewashukia wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wanao kikosoa chama hicho mitandaoni. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuDecember 16, 2019WIZARA ya Elimu imeagiza Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HELSB), kukutana na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es...
By Mwandishi WetuDecember 16, 2019WADAU wa elimu nchini wamehoji walimu kutoshirikishwa katika mchakato wa kuandaa mtaala wa elimu mwaka 2016, kabla ya serikali kuupeleka mashuleni. Anaripoti Danson...
By Danson KaijageDecember 16, 2019NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Msafiri Mtemelwa, ametangaza kujiuzulu nyazifa zake, kufuatia kuvuja kwa mazungumzo yake na mbunge wa Moshi Vijijini...
By Hamisi MgutaDecember 15, 2019FAMILIA ya mwanachama wa siku nyingi na maarufu ndani ya Klabu ya soko ya Yanga Ibrahim Akilimali, yaeleza kuwa ugonjwa wa saratani ndio...
By Faki SosiDecember 15, 2019LICHA ya kuwa na namba za utambulisho wa uraia (NIDA), watu 3,000,000 hawajasajili laini zao za simu kwa alama za vidole. Anaripoti Faki...
By Faki SosiDecember 15, 2019KOMREDI Yusuf Makama, Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameonesha kutotikiswa na wito uliotolewa na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya...
By Mwandishi WetuDecember 15, 2019WAZIRI wa zamani wa mambo ya nje na mahusiano ya kimataifa nchini Tanzania, Benard Membe amesema, anasubiri kwa hamu, barua ya wito ya...
By Regina MkondeDecember 14, 2019KLABU ya Yanga imemlilia aliyekuwa Katibu wa Baraza la Wazee wa klabu ya Yanga, Mzee Ibrahim Akilimali, aliyefariki dunia alfajiri ya leo tarehe...
By Kelvin MwaipunguDecember 14, 2019CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeelekeza wanachama wake watatu, makatibu wastaafu, Yusuf Makamba na Abdulrahaman Kinana, kuhojiwa na kamati yake ya Ulinzi, Usalama na...
By Regina MkondeDecember 13, 2019MAALIM Seif Sharif Hamad, Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, ‘amemvimbia’ Hamadi Massauni, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, kwamba hawezi...
By Mwandishi WetuDecember 13, 2019CHAMA cha Conservative cha Uingereza, kimeshinda uchaguzi wa mapema nchini humo. Kimepata viti 364, kutoka 326 ilivyokuwa inavihitaji kutangazwa mshindi. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuDecember 13, 2019ANNA Henga, Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), amesema baadhi ya wasaidizi wa Rais John Magufuli, wanampotosha kwa maslahi...
By Mwandishi WetuDecember 13, 2019HALIMA James Mdee, ametetea kiti chake cha Uenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) Taifa kwa kupata kura nyingi za ndio. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaDecember 13, 2019SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, imeagiza Waganga Wakuu wa Vituo vya Afya na Hospitali zote nchini, kuanzisha mfuko wa fedha za dawa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 12, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, amelazimika kutoa ufafanuzi wa kile kilichoonekana woga, baada ya kuomba muafaka kwa Rais John Magufuli. Anaripoti Regina Mkonde...
By Regina MkondeDecember 12, 2019RAIS John Magufuli ametuhumu baadhi ya asasi za kiraia (AZAKI) na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO’s), zinazofanya kazi ya ‘ukuadi.’ Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Amesema,...
By Mwandishi WetuDecember 12, 2019MIZENGO Pinda, Waziri Mkuu Mstaafu katika Serikali ya Awamu ya Nne, ameeleza kutamani Rais John Magufuli adumu madarakani kwa zaidi ya miaka 10...
By Mwandishi WetuDecember 12, 2019HASHIMU Juma Issa, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Wakati huo...
By Regina MkondeDecember 12, 2019RAIS John Magufuli amesema, ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) Bombardier Q400, iliyoshikiliwa nchini Canada, imeachwa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akishiriki kwenye Semina...
By Regina MkondeDecember 12, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imemuhukumu Jamali Malinzi aliyekuwa Rais Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Selestine Mwesigwa aliyekuwa Katibu...
By Mwandishi WetuDecember 11, 2019WILLIAM Ole Nasha, Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, amewataka wakuu wa shule nchini kushawishi wanafunzi kuchangamkia fursa za mashindano ya uandishi...
By Danson KaijageDecember 11, 2019MTANDAO wa Elimu Tanzania (MET), unaojumuisha asasi za kiraia 210 umeeleza, kuna haja ya kuboresha elimu nchini kwa lengo la kupata wasomi makini. Anaripoti...
By Danson KaijageDecember 11, 2019MAHAKAMA ya Milimani nchini Kenya, imemuacha kwa dhamana ya Ksh. 15 milioni, Mike Sonko, Gavana wa Nairobi anayekabiliwa na mashataka ya ufisadi. Inaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 11, 2019SERIKALI ya Irelanda imeahidi kuendelea na kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto nchini ili kutokomeza vitendo hivyo vinavyo...
By Moses MsetiDecember 11, 2019TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ametetea uamuzi wa Freeman Mbowe, ‘kuomba maridhiano’ na Rais John Magufuli. Anaripoti...
By Faki SosiDecember 11, 2019WADAU wa elimu nchini, wameishauri serikali kupitia upya sera ya elimu bure, ili kuondoa changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wake. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Ushauri huo...
By Regina MkondeDecember 11, 2019MAISHA ya mfanyabiashara bilionea, Ali Abdul Mufuruki (60), aliyefariki dunia Jumapili iliyopit, nchini Afrika Kusini, yamegusa watu wengi na kutoka kada tofauti. Anaripoti Faki Sosi...
By Faki SosiDecember 10, 2019MERAD Abraham, aliyekuwa mfungwa katika gereza kuu la Ruanda, mkoani Mbeya, amegoma kutoka gerezani, kufuatia kupata msamaha wa rais. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Taarifa kutoka...
By Mwandishi WetuDecember 10, 2019HATUA ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kuomba Rais wa Jamhuri, Dk. John Pombe Magufuli, kile alichoita, “maridhiano...
By Mwandishi WetuDecember 10, 2019ADIL Mufuruki, mdogo wa marehemu Ali Mufuruki, ameeleza ujumbe wa mwisho ulioachwa na mfanyabiashara huyo maarufu barani Afrika, kwa familia yake. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Mwandishi WetuDecember 10, 2019MWILI wa mfanyabiashara mzalendo na ambaye amejipatia umashuhuri mkubwa nchini, Ali Abdul Mufuruki, aliyefariki dunia Jumapili iliyopita, nchini Afrika Kusini, unaagwa leo jijini...
By Mwandishi MaalumDecember 10, 2019RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli ametoa msamaha kwa wafungwa 5,533 leo Desemba 9, 2019. Anaripoti Martin Kamote … (endelea)...
By Kelvin MwaipunguDecember 9, 2019CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimepanga kufanyia mikutano yake ya Halmashauri Kuu ya taifa (NEC) na Kamati Kuu (CC), mjini Mwanza, kuanzia wiki hii....
By Mwandishi WetuDecember 9, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia Maendeleo (Chadema) amesema sababu za kushiriki katika sherehe za Maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru ni...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2019MFANYABIASHARA mashuhuri na mmoja wa mabilionea wakubwa nchini, Ali Mufuruki (60), amefariki dunia. Alikuwa akisumbuliwa na homa ya mapafu. Anaripoti Saed Kubenea …...
By Saed KubeneaDecember 8, 2019MOHAMMED Dewji ‘Mo’ Mwekezaji wa klabu ya Simba, ameweka wazi kuwa klabu hiyo haitamvumilia mchezaji yeyote atakayeihujumu timu hiyo. Anaripoti Faki Sosi …(endelea)....
By Faki SosiDecember 8, 2019JESHI la Polisi Zanzibar limesema, litashughulika kikamilifu na mfuasi yeyote wa Prof. Ibrahim Lipumba (CUF), ama Maalim Seif Sharif Hamad (ACT-Wazalendo) iwapo watatibua...
By Regina MkondeDecember 7, 2019RAIS John Magufuli, amewaeleza wakazi wa Mwanza kwamba ‘wapinzani wataisoma namba.’ Ni baada ya kile alichoita ushindi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwenye...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2019MIZENGO Pinda, Waziri Mkuu Mstaafu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mahafali ya Tatu ya Chuo cha Uuguzi (DECCA), yatakayofanyika tarehe 13 Desemba 2019,...
By Danson KaijageDecember 7, 2019JOB Ndugai, Spika wa Bunge ameingia hofu kwa wachawi kukwamisha ujenzi wa daraja la Daraja la Kigongo Busisi, Mwanza. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hivyo,...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anatarajia kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho, cha kuteua wagombea wa...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam, imeahirisha kusikiliza kesi inayowakabili viongozi waandamizi wa Chadema, kutokana na upande wa mashtaka kumtaka...
By Faki SosiDecember 6, 2019CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimejigamba kuwa kinawasubiri wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), waliopanga kuchukua kwa nguvu, mali na majengo, wanayodai ni mali yao. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 6, 2019NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Juma Aweso amemsimamisha kazi Meneja wa Mamlaka ya Maji Misungwi, Charles Kampuni pamoja na kuvunja bodi ya...
By Moses MsetiDecember 6, 2019VITENDO vya ukatili, mila potofu na mimba za utotoni, vimewaibua na kuwakutanisha wazee wa mila 225 kutoka mikoa tisa nchini na kuunda mtandao...
By Moses MsetiDecember 6, 2019DAKTARI Abdullah Hasnuu Makame, leo tarehe 6 Desemba 2019, amefikisha azimio la kubadilisha jina la Ziwa Victoria, katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA)....
By Regina MkondeDecember 6, 2019