Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Halima Mdee apeta Chadema
Habari za SiasaTangulizi

Halima Mdee apeta Chadema

Spread the love

HALIMA James Mdee, ametetea kiti chake cha Uenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) Taifa kwa kupata kura nyingi za ndio. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea).

Mdee ambaye ni Mbunge wa Kawe, jijini Dar es Salaam ameshinda nafasi hiyo kwa kura 317 za ndio, ambazo saba zikimkataa na sita zikiharibika.

Katika kinyang’anyiro hicho, Mdee alipigiwa kura za ndio na hapana, kutokana na kuwa mgombea pekee wa nafasi hiyo.

Mdee anaongoza baraza hilo kwa awamu ya pili, ambapo awamu ya kwanza ilikuwa 2014 alipopata kura 165, aliyemfuatia kwa karibu alikuwa Janeth Rithe aliyepata kura 35.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!