Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Hashimu, Lutembeka warudishwa Baraza la Wazee Chadema
Habari za Siasa

Hashimu, Lutembeka warudishwa Baraza la Wazee Chadema

Hashimu Juma Issa, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema
Spread the love

HASHIMU Juma Issa, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Wakati huo huo, Roderick Lutembeka ameteuliwa tena kuwa Katibu wa Baraza hilo, katika uchaguzi uliofanyika hivi karibuni.

Kabla ya uchaguzi huo, Lutembeka alikuwa Katibu wa baraza hilo, na Hashimu alikuwa mwenyekiti.

Taarifa ya kuchaguliwa kwa viongozi hao, imetolewa leo tarehe 12 Desemba 2019 na Chadema katika ukurasa wake wa Twitter.

Hivi karibuni Chadema imefanya uchaguzi wa viongozi wa mabaraza yake, ambapo matokeo ya uchaguzi wa Baraza lale la Vijana  (BAVICHA) yameshatangazwa.

Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) bado halijafanya uchaguzi wake.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!