Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Pinda mgeni rasmi mahafali DECCA
Elimu

Pinda mgeni rasmi mahafali DECCA

Spread the love

MIZENGO Pinda, Waziri Mkuu Mstaafu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mahafali ya Tatu ya Chuo cha Uuguzi (DECCA), yatakayofanyika tarehe 13 Desemba 2019, katika Kampasi ya Nala, Jijini Dodoma. Anaripoti Dandon Kaijage, Dodoma…(endelea).

Akizungumza na waandishi wa habari, Hilda Mgimba ambaye ni Ofisa Utawala wa chuo hicho, amesema decca kinatarajia kuwatunukia vyeti na diploma ya uuguzi wahitimu 588.

Amesema, chuo hicho kimekuwa kikitoa masomo mbalimbali ikiwa ni pamoja na mambo ya maabara, utabibu na ufamasia, ukunga na uuguzi.

Hilda ameeleza, chuo kimekuwa kikijitahidi kuhakikisha kinafundisha wanachuo kufanya kazi kwa kuzingatia maadili ya kazi na ueledi mkubwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanawake GGML wawanoa wanafunzi Kalangalala Sec. kujitambua

Spread the loveKATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Umoja wa...

error: Content is protected !!