Sunday , 28 April 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Msikimbilie kufanya kazi mijini – Ridhiwani Kikwete

  NAIBU waziri, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amewataka watumishi wa umma, kutokimbia kufanya kazi pembezoni mwa nchi. Anaripoti...

Habari za Siasa

Majaliwa apiga marufuku watumishi kujitolea ardhi

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amepiga marufuku watumishi wa kujitolea katika sekta ya ardhi, hususan kwenye eneo la upimaji viwanja, akisema wanachochea migogoro...

Habari za SiasaTangulizi

Kongamano la kina Dk. Slaa kupinga mkataba bandari lakwaa kisiki

KONGAMANO la kujadili mkataba wa bandari na upatikanaji katiba mpya, lililoandaliwa na wanaharakati akiwemo Dk. Wilbroad Slaa, kwa kushirikiana na taasisi ya Tanzania...

Habari za Siasa

Bilioni 6.1 kumaliza tatizo la maji Katoro-Buseresere – Geita

Makamu mwenyekiti wa Umoja wa wanawake CCM, (UWT), Zainab Shomari amesema Serikali imeendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwemo ya ujenzi wa miundombinu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali kupokea ndege ya 14 ya ATCL, safari kuongezeka

  SERIKALI ya Tanzania, kesho tarehe 3 Oktoba 2023, inatarajia kupokea ndege mpya ya masafa ya kati aina ya Boeng 737-9, ya Kampuni...

Habari za Siasa

Serikali yawaangukia viongozi wa dini

SERIKALI imewaomba viongozi wa dini, waendelee kuelimisha wananchi kudumisha amani na umoja, ili kuleta maendeleo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Wito huo umetolewa na...

Habari za Siasa

Azzim Dewji aitaka Serikali iwanyooshe mafisadi

MFANYABIASHARA maarufu nchini, Azzim Dewji, ameitaka Serikali iwachukulie hatua wezi wa fedha za umma, akisema kitendo cha kuwaacha huru kinawaibua wengine. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi Desemba mwaka huu, utekelezaji wa mradi wa kusambaza umeme vijijini wa awamu ya...

Habari za Siasa

Mgongano wa kimasilahi wamhamisha Chande TTCL

  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Maharage Chande, ameondolewa katika Shirika la Mawasiliano la Tanzania (TTCL) ndani ya muda...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme: Rais Samia ampa miezi sita bosi mpya TANESCO

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa miezi sita Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga, amalize changamoto ya...

Habari za Siasa

Rais Samia avunja bodi ya REA

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Jacob Kingu, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Chande aliyeng’olewa TANESCO kwenda TTCL apelekwa Posta

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawaasiliano  Tanzania (TTCL), Maharagande Chande, kuwa Postamasta wa Shirika la Posta...

Habari za Siasa

Kamugisha aanika utekelezaji mpango kazi 2022/23

MWENYEKITI wa Ngome ya Vijana ya Chama Cha ACT-Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam, Felix Kamugisha, amebabainisha masuala sita yaliyofanyiwa kazi kupitia mpango...

Habari za Siasa

Vijana ACT-Wazalendo wakabidhiwa kivumbi kulinda kura uchaguzi 2024,2025

NGOME ya Vijana ya Chama cha  ACT-Wazalendo, imetakiwa kuwanoa wafuasi wake ili wahakikishe chama hicho kinapata ushindi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua, atengua, Msigwa apelekwa wizara ya michezo

  RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya teuzi na utenguzi wa viongozi mbalimbali, akiwemo aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ambaye amepelekwa kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme wang’oa vigogo TANESCO

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewahamisha waliokuwa vigogo wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), katika kipindi ambacho kuna changamoto ya ratiba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mchengerwa amtumbua mkurugenzi Busega

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega...

Habari za SiasaTangulizi

SMZ yasalimu amri, yashusha viwango vya malipo Bandari ya Malindi

  SERIKALI imerudisha viwango vya malipo ya uingizaji mizigo kupitia Bandari Kuu ya Malindi, mjini hapa, baada ya “kishindo kikubwa” cha malalamiko ya...

Habari za Siasa

CCM yatetea jimbo Mbarali

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuvigaragaza vyama vya upinzani baada ya kutetea jimbo la Mbarali katika uchaguzi mdogo uliofanyika jana Jumanne. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo aanika miradi ya maendeleo Musoma

  OFISI ya Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof. Sospster Muhongo, imeishukuru Serikali na wadau wa maendeleo kwa kufanikisha ujenzi wa miradi ya maendeleo...

Habari za Siasa

Ubunge Mbarali: ACT-Wazalendo yamtega Rais Samia

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema kinashiriki uchaguzi wa marudio wa ubunge katika Jimbo la Mbarali, ili kuipima Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Prof Mwafenga ulijiamini katika utendaji wako na degree zako 10 – Maige

KIFO cha Prof Hadley Mpoki Mwafenga- Afisa Usimamizi wa Fedha Mkuu Daraja la kwanza wa kitengo cha ubia kati ya Sekta umma na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia agoma ombi la wananchi kumwondoa mwekezaji

RAIS Samia Suluhu Hassan, amekataa ombi la wananchi lililotaka afute hati ya umiliki ardhi inayodaiwa kuporwa kinyume cha sheria na mwekezaji Kampuni ya...

Habari za Siasa

Serikali kujenga bandari ya uvuvi Bagamoyo

SERIKALI ina mpango wa kujenga bandari ya uvuvi wilayani Bagamoyo, ili kuimarisha shughuli za uchumi wa buluu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Wapiga kura 216,282 kupiga kura uchaguzi mdogo Mbarali, kata sita  

Wapiga kura 216,282 walioandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wanatarajiwa kupiga kura kesho tarehe 19 Septemba 2023 kwenye uchaguzi mdogo wa...

Habari za Siasa

Chadema yalishukia Bunge kuhusu bei ya mafuta

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimehoji kwa nini Bunge limeshindwa kuisimamia Serikali katika kutatua changamoto ya kuadimika kwa Dola ya Marekani...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Waziri Majaliwa wadhifa wake ni mkubwa

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake lazima imuenzi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa kutekeleza miradi ya maendeleo katika jimbo lake...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yapinga msimamo wa Baraza la Vyama

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekosoa msimamo wa Baraza la Vyama vya Siasa wa kuipa muda Serikali katika mchakato wa marekebisho ya...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Hii ndio sura halisi ya Rais Samia

KILA zama na kitabu chake. Hizi ni zama za Rais Samia Suluhu Hassan na kitabu anachotumia ni tofauti na kilichotumiwa na mtangulizi wake...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Bagonza ampa mbinu Samia jina liandikwe kwa wino wa dhahabu

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Karagwe, Dk. Benson Bagonza amemtaka Rais Samia kuweka mfumo mzuri wa kidemokrasia...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo: Hatutabakisha jimbo Pemba

WAKATI joto la Uchaguzi mkuu likizidi kupanda, Chama cha ACT-Wazalendo kimesema kutokana na mikakati ya ushindi iliyowekwa, wana uhakika wa kushinda majimbo yote...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia airushia dongo Chadema

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema kuna chama kikipewa madaraka baadhi ya viongozi wake wataunda chama kingine ili wawapinge wenzao walioko madarakani. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Wanasiasa tusiburuze wananchi mchakato wa katiba mpya

RAIS Samia Suluhu Hassan amevitaka vyama vya siasa kutohodhi mchakato wa marekebisho ya katiba, akisema suala hilo si mali yao bali ni mali...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba amkumbusha Samia Katiba mpya kwa maandalizi uchaguzi 2024, 2025

MWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Profesa Ibahimu Lipumba amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutimiza ahadi yake ya kukamilisha mchakato wa katiba...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe alaani ukamatwaji wa Lissu, “Tuna hofu kubwa”

MWENYEKITI wa Chadema, Freema Mbowe amelaa ukamataji, unyanyasaji, usumbufu aliodai unafanywa  na Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya Dola kwa Makamu Mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu akamatwa Arusha

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Arusha, ikiwa ni siku moja tangu...

Habari za SiasaTangulizi

500 kujadili ripoti ya kikosi kazi, demokrasia, hali ya siasa

ZAIDI ya watu 500 kutoka taasisi za kisiasa, dini, asasi za kiraia na wengine watakutana kwa siku tatu jijini Dar es Salaam kupokea...

Habari za Siasa

Bashungwa aanza na wadaiwa sugu TBA, aagiza watimuliwe

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameuagiza Wakala wa Majengo (TBA) kuhakikisha unakusanya deni la Sh 81.5 bilioni wanazodai kwa wapangaji wao sambamba na...

Habari za Siasa

UVCCM yakemea vijana kuilalamikia Serikali, yawataka kugeukia kilimo, ufugaji

VIJANA wa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma wameshauriwa kuchangamkia fursa katika sekta ya kilimo, uvuvi na ufugaji ili waweze kujiajiri na kuajiri wezao...

Habari za Siasa

Madiwani, wenyeviti wa vijiji watengewa posho bilioni 22.5

SERIKALI imesema katika mwaka wa fedha 2023/ 2024 imetenga kiasi cha Sh 22.5 bilioni kwa ajili ya kulipa posho za madiwani na wenyeviti...

Habari za Siasa

Wastaafu 1,744 EAC walipwa bilioni moja

SERIKALI imesema katika mwaka wa fedha 2023/24 hadi kufikia Septemba, 2023 imelipa jumla ya Sh bilioni moja wastaafu 1,744 wa iliyokuwa Jumuiya ya...

Habari za SiasaTangulizi

Uhaba wa dola, Serikali yaanza kubana matumizi

WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imechukua hatua ya kubana matumizi ya ndani hasa katika maeneo ya matumizi ya kawaida ili...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu afufua matukio ya wasiojulikana, ambana Rais Samia

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (Chadema) Bara, Tundu Lissu, amedai bila ya wahanga wa vitendo vya watu wasiojulikana kupatiwa haki zao, falsafa...

Habari za Siasa

Mdee, wenzake wamvaa Mwigulu sheria ya manunuzi ikisubiri kupitishwa

WAKATI muswada wa Sheria ya Ununuzi wa Umma ya 23, ikisubiri kupitishwa bungeni jijini Dodoma, baadhi ya wabunge wamedai bila Serikali kuweka mikakati...

Habari za Siasa

Rais Samia ataja mikakati kutatua changamoto masoko kwa wakulima

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali, kwa ajili ya kumsaidia mkulima kupata masoko ya mazao yake...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa ampa Biteko mfupa ulioshinda Makamba, atoa siku 7

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amemuagiza Naibu wake, Dotto Biteko, kutafuta muarobaini wa changamoto ya uhaba wa mafuta ndani ya siku saba. Anaripoti...

Habari za Siasa

 Bashe aanika mikakati ya kumuinua mkulima

WAZIRI wa Kilimo Hussein Bashe amesema mradi wa kuchimba visima 67,500 na wa kumpatia kila mkulima hekari 2.5 za umwagiliaji bure na tenki...

Habari za Siasa

Jerry Silaa awageukia wakuu wa mikoa migogoro ya ardhi

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amewataka wakuu wa mikoa kutekeleza maagizo yaliyotolewa na kamati ya mawaziri nane, kwa...

Habari za Siasa

Dotto Biteko afunguka uteuzi wa Rais Samia

NAIBU Waziri Mkuu, Dotto Biteko, amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa jukumu kubwa baada ya kumteua kushika wadhifa huo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Makatibu wakuu SADC wakutana kujadili usalama DRC

KATIBU Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dk. Samwel Shelukindo ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa...

error: Content is protected !!