WaBUNGE wa Chadema – Saed Kubenea (Ubungo) na Cecilia Paresso (Viti Maalum), mkoani Arusha – wamemtumia mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, kumuombea...
By Mwandishi WetuAugust 7, 2018BAADA ya aliyekuwa Mbunge wa Ukonga, Mwita Mwikabe Waitara kuzungumzia tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, tarehe 7 Septemba mwaka jana, Mbunge huyo...
By Mwandishi WetuAugust 5, 2018RAIS wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ameshinda uchaguzi wa urais nchini Zimbabwe kwa kwa asilimia 50.8 ya kura dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka...
By Mwandishi WetuAugust 3, 2018WALIO MPOTOSHA MH. RAIS KUHUSU MAPATO YA HALMASHAURI ZA MKOA WA DAR ES SALAAM WA WAJIBISHWE Tangu jana nimepigiwa simu na Waandishi wa...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2018ALIYEKUWA Mbunge wa Ukonga, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mwita Mwaikabe Waitara, kesho Ijumaa, atapokelewa rasmi jimboni humo. Anaripoti Mwandishi Wetu …...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2018TAARIFA KWA UMMA Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama, Halima Mdee (Mb) pamoja na viongozi wengine, wanachama na...
By Mwandishi WetuAugust 1, 2018SERIKALI imekusudia kuchukua baadhi ya mashamba yanayomilikiwa na Kampuni ya Mohammed Enterprises na kuwapa wananchi kwa kuwa kampuni hiyo imeshindwa kutimiza masharti ya...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2018CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kina mkondo ambao kila ajaye lazima aupite. Tusijidanganye kwamba, yupo anayeweza kubadili taswira na mfumo ndani ya CCM. Anaandika Ndoimba Nainda...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2018BABA utufundishe kusema lakini kusema sawasawa. Kusema ni kukiri na kukana kwa wakati mmoja. Serikali ya watu husema na watu wake. Anaandika Mwalimu...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2018SHWAIBU Jumanne, maarufu kwa jina la Mredii, amenusurika kifo, lakini amepata ulemavu wa maisha. Amehasiwa na hivyo hana uwezo tena wa kupata mtoto...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2018Wah. Viongozi na Wabunge! Amani iwe kwenu wote! Ujenzi wa Demokrasia ni safari ndefu yenye milima, mabonde, miiba, mawe na kila aina ya...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2018SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limewatangazia neema wakulima wa mazao ya chakula nchini, ambapo imewahakikishia kwamba itanunua...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2018WATOTO tisa wenye umri kuanzia miezi mitatu hadi 17 wamefanyiwa upasuaji wa kufungua kifua na Madaktari Bingwa wa upasuaji wa Moyo kwa watoto wa...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2018AUGUSTINO Mrema, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha TLP, amemtaka Rais John Magufuli kuwa macho anapofanya uteuzi wa viongozi wa umma, huku akimshauri...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2018MANGE Kimambi, raia wa Tanzania anayeishi Marekani, ni miongoni mwa wanawake wanaharakati wa kisiasa wanaotajwa kwenye orodha ya kugombea tuzo ya mwanamke mhamasishaji...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2018SERIKALI imesimamisha shughuli za mgodi unaochimbwa madini ya Kaolin unaomilikiwa na kampuni ya RAK Kaolin kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa uendeshaji wake...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2018KARNE ya 21 inatarajiwa kushuhudia tukio kubwa na la muda mrefu la kupatwa kwa mwezi Ijumaa ya Julai 27, 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2018IMEKUWA utaratibu uliozoeleka maeneo mengi duniani, kwamba kila kiongozi wa nchi anapoingia madarakani vyombo vya habari humpachika jina “jepesi,” mbali na majina yake...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2018WAKAZI wa Mtaa wa Nyakabungo “A” katika Kata ya Isamilo, Nyamgana jijini Mwanza, ‘wamemuhukumu’ Selina Francis (50) na Abdallah Mwita kwa kuchoma moto...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2018SERIKALI ina mpango wa kuanzisha soko huria la madini (Tanzania Mineral Exchange) ifikapo mwezi Desemba mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kauli...
By Mwandishi WetuJuly 25, 2018MWANAFUNZI mmoja anayefahamika kwa jina la Junaid Khan (21) ametumikia kifungo cha miezi mitano gerezani nchini India kwa kuwa msimamizi wa kundi la...
By Mwandishi WetuJuly 25, 2018WATOTO wachanga takribani 11 wamefariki dunia nchini Uholanzi kutokana na mama zao kupewa dawa ya kuongeza nguvu za kiume inayofahamika kama Viagra. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 25, 2018Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Tanzania, Phaustine Martin Kasike amefanya mabadiliko ya kiuongozi kwa wakuu wa Magereza wa mikoa na vituo nchini....
By Mwandishi WetuJuly 24, 2018WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi Vijana na Ajira, Jenista Mhagama ameivunja Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi...
By Mwandishi WetuJuly 24, 2018MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Seleman Israel ‘Akayesu’ (54) anayetuhumiwa kuwa jambazi amefariki dunia kwa kupigwa risasi wakati akijaribu kuwatoroka askari polisi...
By Mwandishi WetuJuly 24, 2018WATU watano wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya Mahakama Kuu Tanzania Kanda ya Moshi kuwakuta na hatia ya kumuuwa kwa kukusudia Mfanyabiashara wa...
By Mwandishi WetuJuly 23, 2018UMASIKINI katika jamii si msamiati mgeni, hasa wakati huu ambapo kumekuwepo na jitihada mbalimbali za kitaifa na za kimataifa za kuuangamiza. Anaandika Mbonea...
By Mwandishi WetuJuly 23, 2018MPAKA sasa bado siku tano dirisha la usajili lifungwe, Yanga haijasajili mchezaji mwenye hadhi yake, ambaye angeweza kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha...
By Mwandishi WetuJuly 22, 2018MUDA mchache baada ya Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoa wa Mbeya kupendekeza kuwavua uanachama madiwani watatu mkoani huyo, mmoja...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2018ALIYEDAIWA kuhusika na tukio la kumshambulia kwa risasi Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam, Sheikh Issa Ponda, Benedict Nyamagatara ametajwa kufariki dunia...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2018KESI ya uchochezi inayowakabili viongozi nane waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imeahirishwa mpaka Julai 25, mwana huu, ili kupisha kusikilizwa...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2018MFANYABIASHARA maarufu mjini Tunduma, Isakwisa Thobias Lupembe, anatuhumiwa na Idara ya Uhamiaji mkoani Songwe, kuwa sio raia wa Jamhuri ya Muungano; huku akihusisha...
By Mwandishi WetuJuly 17, 2018RAIS John Magufuli ambaye pia Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) leo ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa chuo cha uongozi cha Mwl. Julius...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2018GIZA nene limetanda kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Iringa baada ya wagombea wake watatu wa udiwani katika uchaguzi mdogo...
By Mwandishi WetuJuly 15, 2018DIWANI wa Kata ya Manuzi, Elias Shukia na dereva wa halmashauri ya Wilaya ya Meatu, Haruna Ngata wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa...
By Mwandishi WetuJuly 14, 2018SERIKALI ya Tanzania imeitaka taasisi ya utafiti isiyo ya kiserikali ya Twaweza kueleza ni kwa nini ilifanya utafiti kuhusu maoni ya wananchi ‘bila...
By Mwandishi WetuJuly 11, 2018KUFUKUZWA KWA MADIWANI WETU WANNE WA TANGA! Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, jana jioni (09 Julai 2018) ametangaza kuwafukuza udiwani, madiwani wanne wa...
By Mwandishi WetuJuly 10, 2018KAMATI Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo kimebariki msimamo wa kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe wa kushirikiana na vyama vingine vya upinzani...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2018KANGE Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani, amesema wizara hiyo haihusiki na kupotea kwa mwandishi wa habari wa kampuni ya Mwananchi Communication Limited...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2018STEVEN Ngonyani aliyefahamika zaidi kwa jina la Profesa Majimarefu, Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), amefariki dunia leo usiku Jumatatu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2018KUONDOLEA kwa Mwigulu Nchemba katika nafasi ya Waziri wa Mambo na Ndani ya Nchi kumezua mijadala mikali kwa wadau wa siasa, huku kila...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2018RAIS John Magufuli amefanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri na kumteua Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Kangi...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2018WATU wasiojulikana wamevamia ofisi za gazeti la Capital Gazette na kufyatua risasi na kuua watu watano na kuwajeruhi wengine, katika jiji la Maryland,...
By Mwandishi WetuJune 29, 2018KOMBE Dunia linaingia katika hatua ya mtoano bila kuwa na timu kutoka Bara la Afrika, baada timu zote tano kutolewa hatua ya makundi....
By Mwandishi WetuJune 29, 2018MBUNGE wa Mtama kwa tiketi ya CCM, Nape Nnauye ameitabiria mabaya chama chake, kuwa kisipokuwa makini kitakufa na kupotea kabisa katika mikoa ya Kusini kama...
By Mwandishi WetuJune 25, 2018AJALI mbaya imetokea mapema leo maeneo ya Kiguza, Mkuranga mkoa wa Pwani na kusadikika kuuwa watu zaidi ya 14 waliokuwa katika gari dogo la...
By Mwandishi WetuJune 25, 2018VIONGOZI tisa wa Chama cha Demokrasia na Maanedeleo (Chadema), wanatarajiwa kutinga mahakamani tena kesho kusikiliza kesi inayowakabili. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Wanaotarajiwa...
By Mwandishi WetuJune 24, 2018MTANDAO wa MwanaHALISI unaopatikana kupitia www.mwanahalisionline.com umererejea tena mtaani kwa wasomaji wake. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hii ni baada ya kukamilisha taratibu zote...
By Mwandishi WetuJune 22, 2018HAWA Mushi, diwani wa Chadema katika kata ya Mawenzi, katika halmashauri ya Manispaa ya Moshi, hatimaye amezikwa mchana huu, nyumbani kwake Mawenzi. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJune 9, 2018UJENZI wa barabara, ujenzi wa vyoo, shule na uchimbaji visima umeimarisha taswira ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Halmashauri ya Mji...
By Mwandishi WetuJune 9, 2018