Wednesday , 27 September 2023
Habari MchanganyikoTangulizi

Tumerejea

Spread the love

MTANDAO wa MwanaHALISI unaopatikana kupitia www.mwanahalisionline.com umererejea tena mtaani kwa wasomaji wake. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Hii ni baada ya kukamilisha taratibu zote zinazohitajika za kupata leseni ya kurusha taarifa zake mitandaoni.

Kufuatia hatua hiyo kubwa, uongozi wa kampuni ya Hali Halisi Pubilishers Limited (HHPL), unaomiliki mtandao huo pamoja na ule wa MwanaHALISI Forum, unaahidi kuendelea kuwaletea wasomaji wake taarifa sahihi na za kweli.

Aidha, kufuatia kuvuka katika tundu hilo, tunatarajia kujiimarisha zaidi kwa kuongeza uzalishaji, ikiwamo kuripoti matukio mbalimbali kwa haraka na kwa usahihi.

Tunawatakia usomaji mwema.

Robert Katula,
Meneja Mkuu,
HHPL

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme: Rais Samia ampa miezi sita bosi mpya TANESCO

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa miezi sita Mkurugenzi...

Habari Mchanganyiko

Wizara ya madini kurusha ndege ya utafiti wa madini Geita

Spread the loveKutokana na mchango wa wachimbaji wadogo wa madini kwenye pato...

Habari Mchanganyiko

Jafo aagiza kampuni za madini kuzingatia utunzaji mazingira, azitaka zijifunze kwa GGML

Spread the loveWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na...

error: Content is protected !!