Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Waitara kutikisa Ukonga kesho
Habari za SiasaTangulizi

Waitara kutikisa Ukonga kesho

Mwita Waitara, Naibu wa Waziri wa TAMISEMI
Spread the love

ALIYEKUWA Mbunge wa Ukonga, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mwita Mwaikabe Waitara, kesho Ijumaa, atapokelewa rasmi jimboni humo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Waitara ambaye aliondoka Chadema Jumamosi iliyopita na kujiunga na Chama Cha Mapimduzi (CCM), anatarajiwa kupokelewa kwenye chama chake hicho kipya, kupitia mkutano maalum wa jimbo la Ukonga.

Kwa mujibu wa Waitara, katika mkutano huo, viongozi kadhaa wa Kata na matawi kutoka jimbo la Ukonga na jimbo jirani la Segerea, wanatajiwa kuondoka na Chadema na kujiunga na CCM.

“Kesho ndio naanza kazi rasmi ya kubomoa Chadema pale Ukonga,” amesema Waitara na kuongeza, “Nataka kuwaonyesha kuwa mimi nina watu na kwamba uamuzi wangu wa kuondoka Chadema ulikuwa sahihi.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!